Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,196
- 12,379
Yes.Sio leo wala kesho.Kwahiyo hairudi Leo wala kesho?
Watu mnashauriwa muendelee kungalia TBC kwa taarifa zaidi.
Yes.Sio leo wala kesho.Kwahiyo hairudi Leo wala kesho?
Ww kima usikute upo kwa mtogoleNikajua ni South Africa tuu, kumbe ni kote
Iko freshTelegram vip jaman??
Hii hujuma ya simba kwa manara! Najua leo hajaingiza pesa kabisaInasemekana Facebook, Instagram na WhatsApp zimekuwa hacked na watu wasiojulikana hadi Mda huu Wafanyakazi wa Mitandao hiyo Wameshindwa kutatua tatizo hilo,
Duniani Kuna ma professional hackers hadi wameweza kuhack Apps zote kwa wakati mmoja hadi mdaa huu Mmiliki na wafanyakazi wameshindwa kutatua tatizo,
Inasemekana Kama Kuna wafanyakazi watabainika kuhusika na Kudukua Hizo Apps Watafukuzwa kazi
Kushutdown kwa Apps linaweza kuchukua Mda hadi kupatikana Solution
Poleni sana watumiaji wa mitandao kujitangaza na kuuza bidhaa zenu
Nilikosea instead of Hack nikaandika Huck
Acha kupotosha watuWamerudi hewana now
Iko vizuri, hackers wamedili na Zuckerman tu.Telegram vip jaman??