Maoni yangu kuhusu Web 3.0, Cryptocurrency, na NFTs ( For developers)

Kuchwizzy

JF-Expert Member
Oct 1, 2019
1,072
2,306
Nitajitahidi hii mada iwe fupi kadri iwezekanavyo, nikianza na utangulizi kidogo sana kuhusu Web 3.0, Cryptocurrency na NFTs.

Disclaimer :
Hii mada inawalenga zaidi developers, na haitokua na msaada wowote kwa wale wanaotaka kujifunza kuhusu Cryptos au NFTs kwa lengo la kuwekeza (investment), kwahio maswali kama "Jinsi gani naweza wekeza kwenye Bitcoin (BTC), au Coin ipi ipo kwenye soko, hayatokua na majibu.

UTANGULIZI

Nini maana ya Web 3.0?

Turudi mwaka 1970....

Wakati wa vita baridi kati ya Marekani(USA) na umoja wa kisovieti (USSR) ikiwa imepamba moto, hofu ya kutumika silaha za Nyuklia kati ya hizi nchi mbili ilizidi kupata nafasi.

Kwa wakati huu, Marekani walikua na Computer moja (Centralized Computer) ambayo ilikua inaongoza sehemu kubwa ya mifumo ya silaha zake, haswa silaha za Nyuklia.

Hii iliwapa hofu kubwa Marekani, kwa sababu walikua na single point of failure, yaani kama USSR wakifanikiwa kushambulia Data center yenye hio Computer, USA hawatokua na uwezo wa kujibu Mashambulizi

Kutatua, hili tatizo, kitengo cha ulinzi cha Marekani, kikaanzisha mpango mkakati ambao baadae ukaja kuzaa Internet

Internet lilikua ni jibu, badala ya kuwa na Computer moja yenye kila taarifa muhimu, tunaweza kuwa na Muunganiko wa Computer nyingi ambazo zinaweza zungumza kwa pamoja na kugawana hizi taarifa.

Kama moja ya computer ikishambuliwa, taarifa hazitopotea kwani kutakua na Computer nyingine zenye taarifa au Program hizo hizo.

Kwahio lengo kubwa la kuundwa Internet ni decentralization of resources or data

Baadae Tim Berners-Lee, akawa mtu wa kwanza kuunda application ya kwanza ya Internet, ambao wote tunaijua kama Worldwide wide web, au kwa kifupi Web

Version hii ya Web, ilikua "decentralized", kulikua hakuna Central Computer yenye web pages zote, badala yake kila Computer ilikua na uwezo wa ku access Web pages kutoka kwenye Computers nyingine.

Changamoto kubwa ya version hii ya Web, ilikua ni "Read Only".
Kulikua hakuna namna ya User ku interact na taarifa ( content)

Web nzima ilikua kama kurasa ya Wikipedia, ambayo huwezi fanya chochote zaidi ya kuisoma.

Kulikua hakuna namna ya mtumiaji ku comment, like, share, na interactivity nyingine tunazozifanya sasa. Pia kutengeneza content ilikupaswa uwe na uelewa na HTML, kitu kilichofanya creators wakubwa wa contents wawe developers wenyewe.

Kwa kua Static, na read-only aina hii ya Web ikapewa jina la Web 1.0 ikiwa ni vision ya kwanza ya Internet ambayo mtumiaji alikua ni Consumer wa resources ( data)

Web 1.0 ilidumu kwanzia miaka ya 90,mpaka mwishoni mwa mwaka 2003.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kuendelea, Developers kwa msaada wa Server side scripting languages Kama PHP na Ruby ambazo zilikua zikipata umaarufu mkubwa kwenye Dev community kwa wakati ule, walianza kutengeneza Web apps ambazo zilimpa mtumiaji wa kawaida, ambae hana mafunzo yoyote ya HTML au programming kuunda contents.

Hapa ndipo zilizo zaliwa Web apps kama Facebook, Youtube, Twitter, MySpace na nyingine nyingi.

Content creators wakiwa ni normal users,
Aina hizi za Web apps zilikua dynamic na more interactive kuliko static web pages za Web 1.0

Kwa kua Dynamic na interactive aina hii ya Web ikapewa jina la Web 2.0,ikiwa ni vision ya pili ya Internet, ambapo mtumiaji wa kawaida ni Consumer na Creator wa resources ( data)

Web 2.0 tunayo kwanzia miaka ya 2003s mpaka sasa, asilimia kubwa ya Apps unazozitumia mpaka sasa ni Web 2.0 Softwares
Kwanzia Tiktok, YouTube, SnapChat, Alibaba, Jamiiforums, Twitter, Instagram,na hio billion dollars idea uliyonayo kichwani kwako sasa hivi probably ni Web 2.0 software

Bahati mbaya, hii sio vision ya Internet ambayo waasisi kama kina Tim Berners-Lee waliitaka

Badala ya kuwa Decentralized ambayo ndio original purpose ya Internet imekua Centralized.

Fikiria kuhusu hili, katikati ya mwezi October mwaka huu, Facebook servers ( kwa sasa Meta Platforms) zilipotea kwenye Internet na kufanya Apps zake kama Facebook, Instagram na WhatsApp kutopatikana kwa mda.

Ndani ya kipindi hiki kulikua hakuna Service yoyote,

Physical au Cryber Attack, itakayoelekezwa Kwenda kwenye Data centers za Google, itafanya 60% ya Internet users wawe offline

Hii ni sawa sawa na hofu, iliyopelekea US defense system watengeneze Internet, lengo ni kuipa nguvu decentralization

But now, taarifa na softwares muhimu duniani zimehifadhiwa kwenye Centralized Servers zinazo milikiwa na hizi Big tech corporations kama Facebook Meta, Google, Twitter, Bytedance etc.

Hizi zikitoweka hata kwa masaa, Internet nzima inakua down.

Tatizo jingine la Web 2.0 ukiacha kuwa na Single point of failure ni Data Bleaching

Jinsi Mafuta yalivyo muhimu kwenye uchumi,ndivyo data zilivyo

Data ni taarifa yoyote unayoiweka kwenye Internet, video unayo upload Youtube, Status yako Whatsapp, Tweet yako twitter, picha yako Instagram, Post ulizo like Facebook, virtually kila taarifa kuhusu wewe mtandaoni ni Data.


Kwa kua tunategemea zaidi hizi popular Apps, zinazomilikiwa na Private companies na zinazohifadhi data zetu kwenye Central Servers zao.

Tunajikuta tumewakabidhi taarifa zetu muhimu, kama malipo ya "Free services zao".
Kama msemo unavyosema, "if you're not paying for service, you become the product "

Kwa kua Web 2.0 services nyingi ni free, na nyuma yao kuna VCs na stakeholders wanaohitaji Profit, Web 2.0 Apps kama Facebook na nyingine zikaja na namna ya kutengeneza faida kupitia taarifa zetu.

User targeted Advertisements ndio ikawa business model ya Web 2.0 software nyingi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira YouTube itajua kwa kutumia data zako, (aina za video unazotazama sana) kisha itaanza kuku target na Ads kutoka Meridian bets mwanzoni mwa kila video utakayofungua YouTube)

Mbaya zaidi, hatujui ni kwa njia gani wanachukua na kutumia data zetu,
Kuna explicit data, ambazo sisi wenyewe tunawapa kama likes au video tunazo tazama, na implicit data ambazo wanazichukua on the background.

Ukiacha Targeting Ads, pia wana uwezo wa kuuza data zetu kwa third party companies kama Facebook na Cambridge Analytics scandal

Pia wanaweza uza taarifa zetu kwa serikali,

Tatizo jingine la Web 2.0 ni Censorship

Kwa kua zina run on Centralized Servers ni rahisi mno kwa Serikali kuzi ban.
Wote tunajua kilichoikumba Facebook,Youtube,Whatsapp na Twitter kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana.
Hio kwa tanzania tu, kuna cases kama hizo Dunia nzima

Tatizo jingine ni kuwa, taarifa yako sio yako kwa 100%, JF wanaweza ban account yako mda wowote ( mfano tu) au YouTube wanaweza block video yako.
Ku sum up, changamoto za Web 2.0 ni
1.Single point of failure
2.Data bleaching and Privacy issues
3.Censorship

Satoshi's Whitepaper...

Mwaka 2008,wakati dunia inapitia mtikisiko mkubwa wa uchumi, Legend asiyejulikana aliyejitambulisha kwa jina la Satoshi Nakamoto, alichapisha Document inayoelezea mfumo mpya wa Malipo aliyoupa jina la Bitcoin

Bitcoin's Software ya Satoshi, ilikua na sifa kuu tatu,
Kwanza ilikua ni *Decentralized *, badala ya kuwa hosted kwenye centralized computer / Server, Bitcoin software inakua hosted kwenye peer to peer servers au Nodes,yaani kwa kila Computer iliyowahi participate kwenye Bitcoin transactions

Hii inafanya Bitcoin kuwa secure zaidi, kwani ni ngumu kui hack, au kui ban as long as 51% ya honest nodes zinaunda part ya Bitcoin Network

Sifa ya pili, Bitcoin software ni anonymously, yaani transaction yoyote ya Bitcoin haiwi associated na personal details za users wanaofanya transactions, hakuna breaking of privacy

Sifa ya tatu, ilikua ni ownership, kila Bitcoin transaction ni unique, na inakua owned na single user kwenye historia nzima ya Bitcoin

Hizi sifa tatu, Decentralization, Anonymity na Ownership zinaifanya Bitcoin, na Cryptos nyingine kuwa unique

Protocol inayo run Bitcoin, ilikua implemented kwa mara ya kwanza na Satoshi mwenyewe, na kupewa jina la Blockchain.

Essentially Blockchain ni database, ambayo badala ya kuwa hosted kwenye single computer kama traditional databases zilivyo, inakua hosted kwenye multiple peer to peer computers au nodes kwenye Bitcoin networks nzima

Bitcoin ni decentralized database.

Ndipo ilipozaliwa Web 3.0

Web 3.0 ni vision mpya ya Web, inayolenga kutumia BlockChain technology ku develop Web Apps ambazo ni decentralized, anonymous, na yenye true ownership of data

Kwenye Web 3.0,user anakua sio tu creator, au consumer wa data, bali true owner wa data zake

Imagine Web ambayo unalipwa baada ya App kutumia data zako.

Na sio tu, ownership of data, user pia anakua mmiliki wa Software husika

Aina hii mpya ya Web apps zinazotumia BlockChain zinajulikana kama DApps, au "Decentralized Apps "

Mpaka kufikia mwakani, tunatarajia kuzaliwa kwa idadi nyingi za DApps..

Kwa ambao bado hatujaona umuhimu wa Web 3.0,
Fikiria hivi, kwasasa Software industry imekuwa well established & occupied

Hizo Big companies tayari zimekua monopoly kwenye market

Huwezi kuja tena na Social media Apps ambayo ita compete na Facebook, Instagram, YouTube, Snapchat, Twitter etc....

Huwezi, kwa sababu tayari wao wana First mover advantages, walianza mda so wame set barrier of entry juu sana, na wana user base ya kutosha

Kwanini?, kwasababu wao ndio pioneers wa Web 2.0
Wao ndio wame develop Web Apps zilizofanya Web 2.0 iwe reality na sio just buzzword

Fortunately, na wewe pia kama developer umepewa opportunity ile ile aliyopewa Mark Zuckerberg miaka ya 2000.

Internet lazima i shift kutoka Web 2.0,kuja Web 3.0
So kuna 90% empty space kwenye Market.
Unatakiwa wewe na idea yako, who know unaweza kuwa the next Zuckerberg?

Chagamoto ya Web 3.0

Changamoto ya Web 3.0 ni uchanga wake,
Currently, ipo 10% tu kwenye development
Hii inafanya development ya Dapps iwe ngumu kuliko normal apps, kwa sababu ya uchache wa tools

Japo platforms kama Euthereum zimeondoa ugumu wa ku implement Blockchain yako from the scratch, lakini kuna a lot of works to do.

Impact ya Web 3.0 kwenye Web development

Kawaida, Application yoyote ina part mbili, Front-end na Back-end
Kwenye Web 3.0,frontend haijabadilika,
Still utatumia Html, Css, na Javascript

Kitu ambacho kimebadilika kabisa, ni Back-end
Cha kwanza, kwa kua Web 3.0, ni decentralized, Client server model, haipo

Hakuna centralized server wala client,na back-end haiwi hosted kwenye single server kama tulivyozoea

Backend ina runs on BlockChain, au Euthereum virtual machine,

Architecture yake ni ngumu (kwa maoni yangu)
Pia your favorite programming language haito tumika, at least kwa sasa.

Programming languages zinazotumika kwenye Web 3.0 kwa sasa ni Javascript na solidity.

Kwahio, maoni yangu ni, Web 3.0 ni opportunity kubwa sana kwa developers

Lakini ina learning curve kubwa sana,

Web developer, 0748333586
 
Ufafanuzi mzuri mkuu, hii kitu inatrend sana kwa dev community ya kule Twitter, kitu muhimu ni kujiandaa kwa yajayo
Ni great opportunity, nashangaa kwanini Dev wengi wa hapa hawana interest nayo....

Opportunity kama hizi ndio zinazo tengeneza successful tech business

I know inahitaji Hard work, kwasababu most of the tools hakuna, you have to create them yourself
 
IMG_2931.jpg


umegundua nini hapo
 
Nimekuelewa sanaa Broo...

Sema unaweza kuunda FB app ambayo inakuwa Decentralize...???

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
It's possible...
Nasikia kuna Web 3.0 za Facebook na YouTube tayari, but hazina User Experience nzuri kama zilivyo counterparts zake za Web 2.0

Pia ni ngumu sana kuzi develop, unatumia effort kubwa sana ku develop feature ambayo ni rahisi kui achieve kwenye Web 2.0 na kwa efficiency kubwa

Nadhani isssue ni, Social Media App ni inextricably part ya Web 2.0,
Ni easy ku build Social media kwenye Web 2.0, kwa sababu hio ndio nature yake

Kama ilivyo rahisi ku build cryptocurrency kwenye Web 3.0 na blockchain

Uki try ku build crypto au NFTs kwenye Web 2.0 utakutana na ugumu mkubwa,

Chagamoto nyingine ya ku build App kwenye Web 3.0 na blockchain ni scalability

Blockchain ni power hungry, na kadri network ya nodes/users inapokua ndefu ndipo more CPU power inapotumika

Let say tuna develop Web 3.0 alternative ya Facebook, every time user anapo upload "new post", unahitaji "miners" watakao validate ownership ya hii post kabla hawaja i add kwenye new block

Miners ni users wa hii App, wanao dedicate skills na CPU powers zao kwa ajiri ya ku validate blockchain

Hawawezi fanya kazi for free, kwenye Bitcoin kwa mfano, hawa miners wana kuwa rewarded kwa kupewa kiasi fulani cha Bitcoin, kwenye Euthereum kuna gas fees

So kwenye App yako, inabidi utafute namna ya kuwalipa hawa miners ili waweze ku validate kila incoming post

Hii itafanya App iwe slow, user anaweza kusubiri dakika kadhaa kabla pesa haijamfikia ila awezi kusubiri dakika ili post yake iwe posted

Pia blockchain na Euthereum VM zipo slow sana.

Nadhani projects rahisi za kuanza nazo ni za Crypto, au NFTs... Au idea yoyote ambayo ipo compatible na original idea ya blockchain

Original idea ya blockchain ni ku develop records ambazo haziwezi kubadilishwa na zitakua distributed equally kwa kila user kwenye network

Kwenye Web 3.0,native part ya Social Media App ni Metaverse

Ni rahisi ku build New social media app kwenye Metaverse kuliko Blockchain
 
It's possible...
Nasikia kuna Web 3.0 za Facebook na YouTube tayari, but hazina User Experience nzuri kama zilivyo counterparts zake za Web 2.0

Pia ni ngumu sana kuzi develop, unatumia effort kubwa sana ku develop feature ambayo ni rahisi kui achieve kwenye Web 2.0 na kwa efficiency kubwa

Nadhani isssue ni, Social Media App ni inextricably part ya Web 2.0,
Ni easy ku build Social media kwenye Web 2.0, kwa sababu hio ndio nature yake

Kama ilivyo rahisi ku build cryptocurrency kwenye Web 3.0 na blockchain

Uki try ku build crypto au NFTs kwenye Web 2.0 utakutana na ugumu mkubwa,

Chagamoto nyingine ya ku build App kwenye Web 3.0 na blockchain ni scalability

Blockchain ni power hungry, na kadri network ya nodes/users inapokua ndefu ndipo more CPU power inapotumika

Let say tuna develop Web 3.0 alternative ya Facebook, every time user anapo upload "new post", unahitaji "miners" watakao validate ownership ya hii post kabla hawaja i add kwenye new block

Miners ni users wa hii App, wanao dedicate skills na CPU powers zao kwa ajiri ya ku validate blockchain

Hawawezi fanya kazi for free, kwenye Bitcoin kwa mfano, hawa miners wana kuwa rewarded kwa kupewa kiasi fulani cha Bitcoin, kwenye Euthereum kuna gas fees

So kwenye App yako, inabidi utafute namna ya kuwalipa hawa miners ili waweze ku validate kila incoming post

Hii itafanya App iwe slow, user anaweza kusubiri dakika kadhaa kabla pesa haijamfikia ila awezi kusubiri dakika ili post yake iwe posted

Pia blockchain na Euthereum VM zipo slow sana.

Nadhani projects rahisi za kuanza nazo ni za Crypto, au NFTs... Au idea yoyote ambayo ipo compatible na original idea ya blockchain

Original idea ya blockchain ni ku develop records ambazo haziwezi kubadilishwa na zitakua distributed equally kwa kila user kwenye network

Kwenye Web 3.0,native part ya Social Media App ni Metaverse

Ni rahisi ku build New social media app kwenye Metaverse kuliko Blockchain
Kwenye eth unahitaji uwe eth 32 ulli uweze kuvalidate transaction as long as inatumia proof of stake kwa sasa
 
Ni great opportunity, nashangaa kwanini Dev wengi wa hapa hawana interest nayo....

Opportunity kama hizi ndio zinazo tengeneza successful tech business

I know inahitaji Hard work, kwasababu most of the tools hakuna, you have to create them yourself
Hii ndio sababu watu wanaikimbia programming na kuifanya kua career yenye fursa nyingi za kupiga hela, msuli sio wa kitoto ofsa!
 
Mkubwa ili mtu akae mguu sawa kupiga pesa kwenye Web3 unashauri akomae na programming languages gani ?

Halafu mtu anwezaje kuutumia ujuzi wa JavaScript, html & CSS kupiga hela kwenye metaverse kwa sasa
 
Thread bomba sana, Web3 is the future but most of us tunachanganya web3 na ethereum... web3 runs even in other blockchains Devs need to invest in learning now ... sema Vitalik anaonesha support via Ethereum ngoja nione after eth2.0 i remember argument ya Dorsey na some web3 pioneers on ethereum
Nitajitahidi hii ada iwe fupi kadri iwezekanavyo, nikianza na utangulizi kidogo sana kuhusu Web 3.0, Cryptocurrency na NFTs.

Disclaimer :
Hii mada inawalenga zaidi developers, na haitokua na msaada wowote kwa wale wanaotaka kujifunza kuhusu Cryptos au NFTs kwa lengo la kuwekeza (investment), kwahio maswali kama "Jinsi gani naweza wekeza kwenye Bitcoin (BTC), au Coin ipi ipo kwenye soko, hayatokua na majibu.

UTANGULIZI

Nini maana ya Web 3.0?

Turudi mwaka 1970....

Wakati wa vita baridi kati ya Marekani(USA) na umoja wa kisovieti (USSR) ikiwa imepamba moto, hofu ya kutumika silaha za Nyuklia kati ya hizi nchi mbili ilizidi kupata nafasi.

Kwa wakati huu, Marekani walikua na Computer moja (Centralized Computer) ambayo ilikua inaongoza sehemu kubwa ya mifumo ya silaha zake, haswa silaha za Nyuklia.

Hii iliwapa hofu kubwa Marekani, kwa sababu walikua na single point of failure, yaani kama USSR wakifanikiwa kushambulia Data center yenye hio Computer, USA hawatokua na uwezo wa kujibu Mashambulizi

Kutatua, hili tatizo, kitengo cha ulinzi cha Marekani, kikaanzisha mpango mkakati ambao baadae ukaja kuzaa Internet

Internet lilikua ni jibu, badala ya kuwa na Computer moja yenye kila taarifa muhimu, tunaweza kuwa na Muunganiko wa Computer nyingi ambazo zinaweza zungumza kwa pamoja na kugawana hizi taarifa.

Kama moja ya computer ikishambuliwa, taarifa hazitopotea kwani kutakua na Computer nyingine zenye taarifa au Program hizo hizo.

Kwahio lengo kubwa la kuundwa Internet ni decentralization of resources or data

Baadae Tim Berners-Lee, akawa mtu wa kwanza kuunda application ya kwanza ya Internet, ambao wote tunaijua kama Worldwide wide web, au kwa kifupi Web

Version hii ya Web, ilikua "decentralized", kulikua hakuna Central Computer yenye web pages zote, badala yake kila Computer ilikua na uwezo wa ku access Web pages kutoka kwenye Computers nyingine.

Changamoto kubwa ya version hii ya Web, ilikua ni "Read Only".
Kulikua hakuna namna ya User ku interact na taarifa ( content)

Web nzima ilikua kama kurasa ya Wikipedia, ambayo huwezi fanya chochote zaidi ya kuisoma.

Kulikua hakuna namna ya mtumiaji ku comment, like, share, na interactivity nyingine tunazozifanya sasa. Pia kutengeneza content ilikupaswa uwe na uelewa na HTML, kitu kilichofanya creators wakubwa wa contents wawe developers wenyewe.

Kwa kua Static, na read-only aina hii ya Web ikapewa jina la Web 1.0 ikiwa ni vision ya kwanza ya Internet ambayo mtumiaji alikua ni Consumer wa resources ( data)

Web 1.0 ilidumu kwanzia miaka ya 90,mpaka mwishoni mwa mwaka 2003.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kuendelea, Developers kwa msaada wa Server side scripting languages Kama PHP na Ruby ambazo zilikua zikipata umaarufu mkubwa kwenye Dev community kwa wakati ule, walianza kutengeneza Web apps ambazo zilimpa mtumiaji wa kawaida, ambae hana mafunzo yoyote ya HTML au programming kuunda contents.

Hapa ndipo zilizo zaliwa Web apps kama Facebook, Youtube, Twitter, MySpace na nyingine nyingi.

Content creators wakiwa ni normal users,
Aina hizi za Web apps zilikua dynamic na more interactive kuliko static web pages za Web 1.0

Kwa kua Dynamic na interactive aina hii ya Web ikapewa jina la Web 2.0,ikiwa ni vision ya pili ya Internet, ambapo mtumiaji wa kawaida ni Consumer na Creator wa resources ( data)

Web 2.0 tunayo kwanzia miaka ya 2003s mpaka sasa, asilimia kubwa ya Apps unazozitumia mpaka sasa ni Web 2.0 Softwares
Kwanzia Tiktok, YouTube, SnapChat, Alibaba, Jamiiforums, Twitter, Instagram,na hio billion dollars idea uliyonayo kichwani kwako sasa hivi probably ni Web 2.0 software

Bahati mbaya, hii sio vision ya Internet ambayo waasisi kama kina Tim Berners-Lee waliitaka

Badala ya kuwa Decentralized ambayo ndio original purpose ya Internet imekua Centralized.

Fikiria kuhusu hili, katikati ya mwezi October mwaka huu, Facebook servers ( kwa sasa Meta Platforms) zilipotea kwenye Internet na kufanya Apps zake kama Facebook, Instagram na WhatsApp kutopatikana kwa mda.

Ndani ya kipindi hiki kulikua hakuna Service yoyote,

Physical au Cryber Attack, itakayoelekezwa Kwenda kwenye Data centers za Google, itafanya 60% ya Internet users wawe offline

Hii ni sawa sawa na hofu, iliyopelekea US defense system watengeneze Internet, lengo ni kuipa nguvu decentralization

But now, taarifa na softwares muhimu duniani zimehifadhiwa kwenye Centralized Servers zinazo milikiwa na hizi Big tech corporations kama Facebook Meta, Google, Twitter, Bytedance etc.

Hizi zikitoweka hata kwa masaa, Internet nzima inakua down.

Tatizo jingine la Web 2.0 ukiacha kuwa na Single point of failure ni Data Bleaching

Jinsi Mafuta yalivyo muhimu kwenye uchumi,ndivyo data zilivyo

Data ni taarifa yoyote unayoiweka kwenye Internet, video unayo upload Youtube, Status yako Whatsapp, Tweet yako twitter, picha yako Instagram, Post ulizo like Facebook, virtually kila taarifa kuhusu wewe mtandaoni ni Data.


Kwa kua tunategemea zaidi hizi popular Apps, zinazomilikiwa na Private companies na zinazohifadhi data zetu kwenye Central Servers zao.

Tunajikuta tumewakabidhi taarifa zetu muhimu, kama malipo ya "Free services zao".
Kama msemo unavyosema, "if you're not paying for service, you become the product "

Kwa kua Web 2.0 services nyingi ni free, na nyuma yao kuna VCs na stakeholders wanaohitaji Profit, Web 2.0 Apps kama Facebook na nyingine zikaja na namna ya kutengeneza faida kupitia taarifa zetu.

User targeted Advertisements ndio ikawa business model ya Web 2.0 software nyingi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira YouTube itajua kwa kutumia data zako, (aina za video unazotazama sana) kisha itaanza kuku target na Ads kutoka Meridian bets mwanzoni mwa kila video utakayofungua YouTube)

Mbaya zaidi, hatujui ni kwa njia gani wanachukua na kutumia data zetu,
Kuna explicit data, ambazo sisi wenyewe tunawapa kama likes au video tunazo tazama, na implicit data ambazo wanazichukua on the background.

Ukiacha Targeting Ads, pia wana uwezo wa kuuza data zetu kwa third party companies kama Facebook na Cambridge Analytics scandal

Pia wanaweza uza taarifa zetu kwa serikali,

Tatizo jingine la Web 2.0 ni Censorship

Kwa kua zina run on Centralized Servers ni rahisi mno kwa Serikali kuzi ban.
Wote tunajua kilichoikumba Facebook,Youtube,Whatsapp na Twitter kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana.
Hio kwa tanzania tu, kuna cases kama hizo Dunia nzima

Tatizo jingine ni kuwa, taarifa yako sio yako kwa 100%, JF wanaweza ban account yako mda wowote ( mfano tu) au YouTube wanaweza block video yako.
Ku sum up, changamoto za Web 2.0 ni
1.Single point of failure
2.Data bleaching and Privacy issues
3.Censorship

Satoshi's Whitepaper...

Mwaka 2008,wakati dunia inapitia mtikisiko mkubwa wa uchumi, Legend asiyejulikana aliyejitambulisha kwa jina la Satoshi Nakamoto, alichapisha Document inayoelezea mfumo mpya wa Malipo aliyoupa jina la Bitcoin

Bitcoin's Software ya Satoshi, ilikua na sifa kuu tatu,
Kwanza ilikua ni *Decentralized *, badala ya kuwa hosted kwenye centralized computer / Server, Bitcoin software inakua hosted kwenye peer to peer servers au Nodes,yaani kwa kila Computer iliyowahi participate kwenye Bitcoin transactions

Hii inafanya Bitcoin kuwa secure zaidi, kwani ni ngumu kui hack, au kui ban as long as 51% ya honest nodes zinaunda part ya Bitcoin Network

Sifa ya pili, Bitcoin software ni anonymously, yaani transaction yoyote ya Bitcoin haiwi associated na personal details za users wanaofanya transactions, hakuna breaking of privacy

Sifa ya tatu, ilikua ni ownership, kila Bitcoin transaction ni unique, na inakua owned na single user kwenye historia nzima ya Bitcoin

Hizi sifa tatu, Decentralization, Anonymity na Ownership zinaifanya Bitcoin, na Cryptos nyingine kuwa unique

Protocol inayo run Bitcoin, ilikua implemented kwa mara ya kwanza na Satoshi mwenyewe, na kupewa jina la Blockchain.

Essentially Blockchain ni database, ambayo badala ya kuwa hosted kwenye single computer kama traditional databases zilivyo, inakua hosted kwenye multiple peer to peer computers au nodes kwenye Bitcoin networks nzima

Bitcoin ni decentralized database.

Ndipo ilipozaliwa Web 3.0

Web 3.0 ni vision mpya ya Web, inayolenga kutumia BlockChain technology ku develop Web Apps ambazo ni decentralized, anonymous, na yenye true ownership of data

Kwenye Web 3.0,user anakua sio tu creator, au consumer wa data, bali true owner wa data zake

Imagine Web ambayo unalipwa baada ya App kutumia data zako.

Na sio tu, ownership of data, user pia anakua mmiliki wa Software husika

Aina hii mpya ya Web apps zinazotumia BlockChain zinajulikana kama DApps, au "Decentralized Apps "

Mpaka kufikia mwakani, tunatarajia kuzaliwa kwa idadi nyingi za DApps..

Kwa ambao bado hatujaona umuhimu wa Web 3.0,
Fikiria hivi, kwasasa Software industry imekuwa well established & occupied

Hizo Big companies tayari zimekua monopoly kwenye market

Huwezi kuja tena na Social media Apps ambayo ita compete na Facebook, Instagram, YouTube, Snapchat, Twitter etc....

Huwezi, kwa sababu tayari wao wana First mover advantages, walianza mda so wame set barrier of entry juu sana, na wana user base ya kutosha

Kwanini?, kwasababu wao ndio pioneers wa Web 2.0
Wao ndio wame develop Web Apps zilizofanya Web 2.0 iwe reality na sio just buzzword

Fortunately, na wewe pia kama developer umepewa opportunity ile ile aliyopewa Mark Zuckerberg miaka ya 2000.

Internet lazima i shift kutoka Web 2.0,kuja Web 3.0
So kuna 90% empty space kwenye Market.
Unatakiwa wewe na idea yako, who know unaweza kuwa the next Zuckerberg?

Chagamoto ya Web 3.0

Changamoto ya Web 3.0 ni uchanga wake,
Currently, ipo 10% tu kwenye development
Hii inafanya development ya Dapps iwe ngumu kuliko normal apps, kwa sababu ya uchache wa tools

Japo platforms kama Euthereum zimeondoa ugumu wa ku implement Blockchain yako from the scratch, lakini kuna a lot of works to do.

Impact ya Web 3.0 kwenye Web development

Kawaida, Application yoyote ina part mbili, Front-end na Back-end
Kwenye Web 3.0,frontend haijabadilika,
Still utatumia Html, Css, na Javascript

Kitu ambacho kimebadilika kabisa, ni Back-end
Cha kwanza, kwa kua Web 3.0, ni decentralized, Client server model, haipo

Hakuna centralized server wala client,na back-end haiwi hosted kwenye single server kama tulivyozoea

Backend ina runs on BlockChain, au Euthereum virtual machine,

Architecture yake ni ngumu (kwa maoni yangu)
Pia your favorite programming language haito tumika, at least kwa sasa.

Programming languages zinazotumika kwenye Web 3.0 kwa sasa ni Javascript na solidity.

Kwahio, maoni yangu ni, Web 3.0 ni opportunity kubwa sana kwa developers

Lakini ina learning curve kubwa sana,

Web developer, 0748333586
 
Nitajitahidi hii mada iwe fupi kadri iwezekanavyo, nikianza na utangulizi kidogo sana kuhusu Web 3.0, Cryptocurrency na NFTs.

Disclaimer :
Hii mada inawalenga zaidi developers, na haitokua na msaada wowote kwa wale wanaotaka kujifunza kuhusu Cryptos au NFTs kwa lengo la kuwekeza (investment), kwahio maswali kama "Jinsi gani naweza wekeza kwenye Bitcoin (BTC), au Coin ipi ipo kwenye soko, hayatokua na majibu.

UTANGULIZI

Nini maana ya Web 3.0?

Turudi mwaka 1970....

Wakati wa vita baridi kati ya Marekani(USA) na umoja wa kisovieti (USSR) ikiwa imepamba moto, hofu ya kutumika silaha za Nyuklia kati ya hizi nchi mbili ilizidi kupata nafasi.

Kwa wakati huu, Marekani walikua na Computer moja (Centralized Computer) ambayo ilikua inaongoza sehemu kubwa ya mifumo ya silaha zake, haswa silaha za Nyuklia.

Hii iliwapa hofu kubwa Marekani, kwa sababu walikua na single point of failure, yaani kama USSR wakifanikiwa kushambulia Data center yenye hio Computer, USA hawatokua na uwezo wa kujibu Mashambulizi

Kutatua, hili tatizo, kitengo cha ulinzi cha Marekani, kikaanzisha mpango mkakati ambao baadae ukaja kuzaa Internet

Internet lilikua ni jibu, badala ya kuwa na Computer moja yenye kila taarifa muhimu, tunaweza kuwa na Muunganiko wa Computer nyingi ambazo zinaweza zungumza kwa pamoja na kugawana hizi taarifa.

Kama moja ya computer ikishambuliwa, taarifa hazitopotea kwani kutakua na Computer nyingine zenye taarifa au Program hizo hizo.

Kwahio lengo kubwa la kuundwa Internet ni decentralization of resources or data

Baadae Tim Berners-Lee, akawa mtu wa kwanza kuunda application ya kwanza ya Internet, ambao wote tunaijua kama Worldwide wide web, au kwa kifupi Web

Version hii ya Web, ilikua "decentralized", kulikua hakuna Central Computer yenye web pages zote, badala yake kila Computer ilikua na uwezo wa ku access Web pages kutoka kwenye Computers nyingine.

Changamoto kubwa ya version hii ya Web, ilikua ni "Read Only".
Kulikua hakuna namna ya User ku interact na taarifa ( content)

Web nzima ilikua kama kurasa ya Wikipedia, ambayo huwezi fanya chochote zaidi ya kuisoma.

Kulikua hakuna namna ya mtumiaji ku comment, like, share, na interactivity nyingine tunazozifanya sasa. Pia kutengeneza content ilikupaswa uwe na uelewa na HTML, kitu kilichofanya creators wakubwa wa contents wawe developers wenyewe.

Kwa kua Static, na read-only aina hii ya Web ikapewa jina la Web 1.0 ikiwa ni vision ya kwanza ya Internet ambayo mtumiaji alikua ni Consumer wa resources ( data)

Web 1.0 ilidumu kwanzia miaka ya 90,mpaka mwishoni mwa mwaka 2003.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kuendelea, Developers kwa msaada wa Server side scripting languages Kama PHP na Ruby ambazo zilikua zikipata umaarufu mkubwa kwenye Dev community kwa wakati ule, walianza kutengeneza Web apps ambazo zilimpa mtumiaji wa kawaida, ambae hana mafunzo yoyote ya HTML au programming kuunda contents.

Hapa ndipo zilizo zaliwa Web apps kama Facebook, Youtube, Twitter, MySpace na nyingine nyingi.

Content creators wakiwa ni normal users,
Aina hizi za Web apps zilikua dynamic na more interactive kuliko static web pages za Web 1.0

Kwa kua Dynamic na interactive aina hii ya Web ikapewa jina la Web 2.0,ikiwa ni vision ya pili ya Internet, ambapo mtumiaji wa kawaida ni Consumer na Creator wa resources ( data)

Web 2.0 tunayo kwanzia miaka ya 2003s mpaka sasa, asilimia kubwa ya Apps unazozitumia mpaka sasa ni Web 2.0 Softwares
Kwanzia Tiktok, YouTube, SnapChat, Alibaba, Jamiiforums, Twitter, Instagram,na hio billion dollars idea uliyonayo kichwani kwako sasa hivi probably ni Web 2.0 software

Bahati mbaya, hii sio vision ya Internet ambayo waasisi kama kina Tim Berners-Lee waliitaka

Badala ya kuwa Decentralized ambayo ndio original purpose ya Internet imekua Centralized.

Fikiria kuhusu hili, katikati ya mwezi October mwaka huu, Facebook servers ( kwa sasa Meta Platforms) zilipotea kwenye Internet na kufanya Apps zake kama Facebook, Instagram na WhatsApp kutopatikana kwa mda.

Ndani ya kipindi hiki kulikua hakuna Service yoyote,

Physical au Cryber Attack, itakayoelekezwa Kwenda kwenye Data centers za Google, itafanya 60% ya Internet users wawe offline

Hii ni sawa sawa na hofu, iliyopelekea US defense system watengeneze Internet, lengo ni kuipa nguvu decentralization

But now, taarifa na softwares muhimu duniani zimehifadhiwa kwenye Centralized Servers zinazo milikiwa na hizi Big tech corporations kama Facebook Meta, Google, Twitter, Bytedance etc.

Hizi zikitoweka hata kwa masaa, Internet nzima inakua down.

Tatizo jingine la Web 2.0 ukiacha kuwa na Single point of failure ni Data Bleaching

Jinsi Mafuta yalivyo muhimu kwenye uchumi,ndivyo data zilivyo

Data ni taarifa yoyote unayoiweka kwenye Internet, video unayo upload Youtube, Status yako Whatsapp, Tweet yako twitter, picha yako Instagram, Post ulizo like Facebook, virtually kila taarifa kuhusu wewe mtandaoni ni Data.


Kwa kua tunategemea zaidi hizi popular Apps, zinazomilikiwa na Private companies na zinazohifadhi data zetu kwenye Central Servers zao.

Tunajikuta tumewakabidhi taarifa zetu muhimu, kama malipo ya "Free services zao".
Kama msemo unavyosema, "if you're not paying for service, you become the product "

Kwa kua Web 2.0 services nyingi ni free, na nyuma yao kuna VCs na stakeholders wanaohitaji Profit, Web 2.0 Apps kama Facebook na nyingine zikaja na namna ya kutengeneza faida kupitia taarifa zetu.

User targeted Advertisements ndio ikawa business model ya Web 2.0 software nyingi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira YouTube itajua kwa kutumia data zako, (aina za video unazotazama sana) kisha itaanza kuku target na Ads kutoka Meridian bets mwanzoni mwa kila video utakayofungua YouTube)

Mbaya zaidi, hatujui ni kwa njia gani wanachukua na kutumia data zetu,
Kuna explicit data, ambazo sisi wenyewe tunawapa kama likes au video tunazo tazama, na implicit data ambazo wanazichukua on the background.

Ukiacha Targeting Ads, pia wana uwezo wa kuuza data zetu kwa third party companies kama Facebook na Cambridge Analytics scandal

Pia wanaweza uza taarifa zetu kwa serikali,

Tatizo jingine la Web 2.0 ni Censorship

Kwa kua zina run on Centralized Servers ni rahisi mno kwa Serikali kuzi ban.
Wote tunajua kilichoikumba Facebook,Youtube,Whatsapp na Twitter kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana.
Hio kwa tanzania tu, kuna cases kama hizo Dunia nzima

Tatizo jingine ni kuwa, taarifa yako sio yako kwa 100%, JF wanaweza ban account yako mda wowote ( mfano tu) au YouTube wanaweza block video yako.
Ku sum up, changamoto za Web 2.0 ni
1.Single point of failure
2.Data bleaching and Privacy issues
3.Censorship

Satoshi's Whitepaper...

Mwaka 2008,wakati dunia inapitia mtikisiko mkubwa wa uchumi, Legend asiyejulikana aliyejitambulisha kwa jina la Satoshi Nakamoto, alichapisha Document inayoelezea mfumo mpya wa Malipo aliyoupa jina la Bitcoin

Bitcoin's Software ya Satoshi, ilikua na sifa kuu tatu,
Kwanza ilikua ni *Decentralized *, badala ya kuwa hosted kwenye centralized computer / Server, Bitcoin software inakua hosted kwenye peer to peer servers au Nodes,yaani kwa kila Computer iliyowahi participate kwenye Bitcoin transactions

Hii inafanya Bitcoin kuwa secure zaidi, kwani ni ngumu kui hack, au kui ban as long as 51% ya honest nodes zinaunda part ya Bitcoin Network

Sifa ya pili, Bitcoin software ni anonymously, yaani transaction yoyote ya Bitcoin haiwi associated na personal details za users wanaofanya transactions, hakuna breaking of privacy

Sifa ya tatu, ilikua ni ownership, kila Bitcoin transaction ni unique, na inakua owned na single user kwenye historia nzima ya Bitcoin

Hizi sifa tatu, Decentralization, Anonymity na Ownership zinaifanya Bitcoin, na Cryptos nyingine kuwa unique

Protocol inayo run Bitcoin, ilikua implemented kwa mara ya kwanza na Satoshi mwenyewe, na kupewa jina la Blockchain.

Essentially Blockchain ni database, ambayo badala ya kuwa hosted kwenye single computer kama traditional databases zilivyo, inakua hosted kwenye multiple peer to peer computers au nodes kwenye Bitcoin networks nzima

Bitcoin ni decentralized database.

Ndipo ilipozaliwa Web 3.0

Web 3.0 ni vision mpya ya Web, inayolenga kutumia BlockChain technology ku develop Web Apps ambazo ni decentralized, anonymous, na yenye true ownership of data

Kwenye Web 3.0,user anakua sio tu creator, au consumer wa data, bali true owner wa data zake

Imagine Web ambayo unalipwa baada ya App kutumia data zako.

Na sio tu, ownership of data, user pia anakua mmiliki wa Software husika

Aina hii mpya ya Web apps zinazotumia BlockChain zinajulikana kama DApps, au "Decentralized Apps "

Mpaka kufikia mwakani, tunatarajia kuzaliwa kwa idadi nyingi za DApps..

Kwa ambao bado hatujaona umuhimu wa Web 3.0,
Fikiria hivi, kwasasa Software industry imekuwa well established & occupied

Hizo Big companies tayari zimekua monopoly kwenye market

Huwezi kuja tena na Social media Apps ambayo ita compete na Facebook, Instagram, YouTube, Snapchat, Twitter etc....

Huwezi, kwa sababu tayari wao wana First mover advantages, walianza mda so wame set barrier of entry juu sana, na wana user base ya kutosha

Kwanini?, kwasababu wao ndio pioneers wa Web 2.0
Wao ndio wame develop Web Apps zilizofanya Web 2.0 iwe reality na sio just buzzword

Fortunately, na wewe pia kama developer umepewa opportunity ile ile aliyopewa Mark Zuckerberg miaka ya 2000.

Internet lazima i shift kutoka Web 2.0,kuja Web 3.0
So kuna 90% empty space kwenye Market.
Unatakiwa wewe na idea yako, who know unaweza kuwa the next Zuckerberg?

Chagamoto ya Web 3.0

Changamoto ya Web 3.0 ni uchanga wake,
Currently, ipo 10% tu kwenye development
Hii inafanya development ya Dapps iwe ngumu kuliko normal apps, kwa sababu ya uchache wa tools

Japo platforms kama Euthereum zimeondoa ugumu wa ku implement Blockchain yako from the scratch, lakini kuna a lot of works to do.

Impact ya Web 3.0 kwenye Web development

Kawaida, Application yoyote ina part mbili, Front-end na Back-end
Kwenye Web 3.0,frontend haijabadilika,
Still utatumia Html, Css, na Javascript

Kitu ambacho kimebadilika kabisa, ni Back-end
Cha kwanza, kwa kua Web 3.0, ni decentralized, Client server model, haipo

Hakuna centralized server wala client,na back-end haiwi hosted kwenye single server kama tulivyozoea

Backend ina runs on BlockChain, au Euthereum virtual machine,

Architecture yake ni ngumu (kwa maoni yangu)
Pia your favorite programming language haito tumika, at least kwa sasa.

Programming languages zinazotumika kwenye Web 3.0 kwa sasa ni Javascript na solidity.

Kwahio, maoni yangu ni, Web 3.0 ni opportunity kubwa sana kwa developers

Lakini ina learning curve kubwa sana,

Web developer, 0748333586
Nimepata somo kubwa sana umeishawshi kuingia humu

Sent from my SLA-AL00 using JamiiForums mobile app
 
Mkubwa ili mtu akae mguu sawa kupiga pesa kwenye Web3 unashauri akomae na programming languages gani ?

Halafu mtu anwezaje kuutumia ujuzi wa JavaScript, html & CSS kupiga hela kwenye metaverse kwa sasa
Soma C++
Original blockchain implementation na Bitcoin software iliandikwa in C++

Kuna ugumu ku implement your own blockchain from the scratch, so most Web 3 dev wanatumia Ethereum (Programmable blockchain)
So soma Solidity pia..
Language inayotumia ku program Ethereum

Pia kwenye Metaverse hakuna CSS, HTML, na JS..
Hizi technologies ni specifically for web.
 
Nmesoma kitu cha maana sana leo tena kwa lugha yangu pendwa ya kiswahili, thread imeshiba kabisa hii. Usiache kuandika tena na tena kuhusi hii field mkuu. Swali langu ni moja cjui ntakua nmetoka nje ya mada... Mfano sisi wakulima hii tech ya web 3.0 inatuweka kwny kundi gan?, I mean hii web 3.0 itakua na msaada gan kwetu, ni nn tunatakiwa kujoandaa nacho ili ikishakua developed kiasi cha kutosha tusiachwe stand...!
 
Mkubwa ili mtu akae mguu sawa kupiga pesa kwenye Web3 unashauri akomae na programming languages gani ?

Halafu mtu anwezaje kuutumia ujuzi wa JavaScript, html & CSS kupiga hela kwenye metaverse kwa sasa
ndugu take it from me, ukiwa na mawazo ya kujifunza kitu ili upige hela, kuwa na uhakika hutaambulia hata cent, plus hutaweza kuelewa kitu , before hujawaza pesa waza kutatua changamoto hapo ndipo pesa ilipo, developers wengi wa kibongo mnashindwa kumove on kimaendeleo kwa sababu mawazo yenu yapo kwenye kupiga hela na sio kusolve world problems, ndio maana sio hoja unakuta mtu anakimbilia kusoma hizo kozi kichwani kwake ni mawazo ya kupiga hela yanamtawala...thus why mna end up kuunda local and cheap App au website ambazo unajiuliza huyu mtu kweli alisoma darasani au ni wa kuunga unga mwana mchuzi pangu pakavu naskia kiu nipe sigara?

ukitaka ufanikiwe na hii so kwenu developers tu vijana wote ,, before hujafikiria pesa fikiria kwanza how to solve..that's it bro.

japo nimeandika tu, me mwenyewe kama wewe, pesa kwanza....
 
Nitajitahidi hii mada iwe fupi kadri iwezekanavyo, nikianza na utangulizi kidogo sana kuhusu Web 3.0, Cryptocurrency na NFTs.

Disclaimer :
Hii mada inawalenga zaidi developers, na haitokua na msaada wowote kwa wale wanaotaka kujifunza kuhusu Cryptos au NFTs kwa lengo la kuwekeza (investment), kwahio maswali kama "Jinsi gani naweza wekeza kwenye Bitcoin (BTC), au Coin ipi ipo kwenye soko, hayatokua na majibu.

UTANGULIZI

Nini maana ya Web 3.0?

Turudi mwaka 1970....

Wakati wa vita baridi kati ya Marekani(USA) na umoja wa kisovieti (USSR) ikiwa imepamba moto, hofu ya kutumika silaha za Nyuklia kati ya hizi nchi mbili ilizidi kupata nafasi.

Kwa wakati huu, Marekani walikua na Computer moja (Centralized Computer) ambayo ilikua inaongoza sehemu kubwa ya mifumo ya silaha zake, haswa silaha za Nyuklia.

Hii iliwapa hofu kubwa Marekani, kwa sababu walikua na single point of failure, yaani kama USSR wakifanikiwa kushambulia Data center yenye hio Computer, USA hawatokua na uwezo wa kujibu Mashambulizi

Kutatua, hili tatizo, kitengo cha ulinzi cha Marekani, kikaanzisha mpango mkakati ambao baadae ukaja kuzaa Internet

Internet lilikua ni jibu, badala ya kuwa na Computer moja yenye kila taarifa muhimu, tunaweza kuwa na Muunganiko wa Computer nyingi ambazo zinaweza zungumza kwa pamoja na kugawana hizi taarifa.

Kama moja ya computer ikishambuliwa, taarifa hazitopotea kwani kutakua na Computer nyingine zenye taarifa au Program hizo hizo.

Kwahio lengo kubwa la kuundwa Internet ni decentralization of resources or data

Baadae Tim Berners-Lee, akawa mtu wa kwanza kuunda application ya kwanza ya Internet, ambao wote tunaijua kama Worldwide wide web, au kwa kifupi Web

Version hii ya Web, ilikua "decentralized", kulikua hakuna Central Computer yenye web pages zote, badala yake kila Computer ilikua na uwezo wa ku access Web pages kutoka kwenye Computers nyingine.

Changamoto kubwa ya version hii ya Web, ilikua ni "Read Only".
Kulikua hakuna namna ya User ku interact na taarifa ( content)

Web nzima ilikua kama kurasa ya Wikipedia, ambayo huwezi fanya chochote zaidi ya kuisoma.

Kulikua hakuna namna ya mtumiaji ku comment, like, share, na interactivity nyingine tunazozifanya sasa. Pia kutengeneza content ilikupaswa uwe na uelewa na HTML, kitu kilichofanya creators wakubwa wa contents wawe developers wenyewe.

Kwa kua Static, na read-only aina hii ya Web ikapewa jina la Web 1.0 ikiwa ni vision ya kwanza ya Internet ambayo mtumiaji alikua ni Consumer wa resources ( data)

Web 1.0 ilidumu kwanzia miaka ya 90,mpaka mwishoni mwa mwaka 2003.

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 na kuendelea, Developers kwa msaada wa Server side scripting languages Kama PHP na Ruby ambazo zilikua zikipata umaarufu mkubwa kwenye Dev community kwa wakati ule, walianza kutengeneza Web apps ambazo zilimpa mtumiaji wa kawaida, ambae hana mafunzo yoyote ya HTML au programming kuunda contents.

Hapa ndipo zilizo zaliwa Web apps kama Facebook, Youtube, Twitter, MySpace na nyingine nyingi.

Content creators wakiwa ni normal users,
Aina hizi za Web apps zilikua dynamic na more interactive kuliko static web pages za Web 1.0

Kwa kua Dynamic na interactive aina hii ya Web ikapewa jina la Web 2.0,ikiwa ni vision ya pili ya Internet, ambapo mtumiaji wa kawaida ni Consumer na Creator wa resources ( data)

Web 2.0 tunayo kwanzia miaka ya 2003s mpaka sasa, asilimia kubwa ya Apps unazozitumia mpaka sasa ni Web 2.0 Softwares
Kwanzia Tiktok, YouTube, SnapChat, Alibaba, Jamiiforums, Twitter, Instagram,na hio billion dollars idea uliyonayo kichwani kwako sasa hivi probably ni Web 2.0 software

Bahati mbaya, hii sio vision ya Internet ambayo waasisi kama kina Tim Berners-Lee waliitaka

Badala ya kuwa Decentralized ambayo ndio original purpose ya Internet imekua Centralized.

Fikiria kuhusu hili, katikati ya mwezi October mwaka huu, Facebook servers ( kwa sasa Meta Platforms) zilipotea kwenye Internet na kufanya Apps zake kama Facebook, Instagram na WhatsApp kutopatikana kwa mda.

Ndani ya kipindi hiki kulikua hakuna Service yoyote,

Physical au Cryber Attack, itakayoelekezwa Kwenda kwenye Data centers za Google, itafanya 60% ya Internet users wawe offline

Hii ni sawa sawa na hofu, iliyopelekea US defense system watengeneze Internet, lengo ni kuipa nguvu decentralization

But now, taarifa na softwares muhimu duniani zimehifadhiwa kwenye Centralized Servers zinazo milikiwa na hizi Big tech corporations kama Facebook Meta, Google, Twitter, Bytedance etc.

Hizi zikitoweka hata kwa masaa, Internet nzima inakua down.

Tatizo jingine la Web 2.0 ukiacha kuwa na Single point of failure ni Data Bleaching

Jinsi Mafuta yalivyo muhimu kwenye uchumi,ndivyo data zilivyo

Data ni taarifa yoyote unayoiweka kwenye Internet, video unayo upload Youtube, Status yako Whatsapp, Tweet yako twitter, picha yako Instagram, Post ulizo like Facebook, virtually kila taarifa kuhusu wewe mtandaoni ni Data.


Kwa kua tunategemea zaidi hizi popular Apps, zinazomilikiwa na Private companies na zinazohifadhi data zetu kwenye Central Servers zao.

Tunajikuta tumewakabidhi taarifa zetu muhimu, kama malipo ya "Free services zao".
Kama msemo unavyosema, "if you're not paying for service, you become the product "

Kwa kua Web 2.0 services nyingi ni free, na nyuma yao kuna VCs na stakeholders wanaohitaji Profit, Web 2.0 Apps kama Facebook na nyingine zikaja na namna ya kutengeneza faida kupitia taarifa zetu.

User targeted Advertisements ndio ikawa business model ya Web 2.0 software nyingi.

Kama wewe ni mpenzi wa mpira YouTube itajua kwa kutumia data zako, (aina za video unazotazama sana) kisha itaanza kuku target na Ads kutoka Meridian bets mwanzoni mwa kila video utakayofungua YouTube)

Mbaya zaidi, hatujui ni kwa njia gani wanachukua na kutumia data zetu,
Kuna explicit data, ambazo sisi wenyewe tunawapa kama likes au video tunazo tazama, na implicit data ambazo wanazichukua on the background.

Ukiacha Targeting Ads, pia wana uwezo wa kuuza data zetu kwa third party companies kama Facebook na Cambridge Analytics scandal

Pia wanaweza uza taarifa zetu kwa serikali,

Tatizo jingine la Web 2.0 ni Censorship

Kwa kua zina run on Centralized Servers ni rahisi mno kwa Serikali kuzi ban.
Wote tunajua kilichoikumba Facebook,Youtube,Whatsapp na Twitter kwenye uchaguzi mkuu mwaka jana.
Hio kwa tanzania tu, kuna cases kama hizo Dunia nzima

Tatizo jingine ni kuwa, taarifa yako sio yako kwa 100%, JF wanaweza ban account yako mda wowote ( mfano tu) au YouTube wanaweza block video yako.
Ku sum up, changamoto za Web 2.0 ni
1.Single point of failure
2.Data bleaching and Privacy issues
3.Censorship

Satoshi's Whitepaper...

Mwaka 2008,wakati dunia inapitia mtikisiko mkubwa wa uchumi, Legend asiyejulikana aliyejitambulisha kwa jina la Satoshi Nakamoto, alichapisha Document inayoelezea mfumo mpya wa Malipo aliyoupa jina la Bitcoin

Bitcoin's Software ya Satoshi, ilikua na sifa kuu tatu,
Kwanza ilikua ni *Decentralized *, badala ya kuwa hosted kwenye centralized computer / Server, Bitcoin software inakua hosted kwenye peer to peer servers au Nodes,yaani kwa kila Computer iliyowahi participate kwenye Bitcoin transactions

Hii inafanya Bitcoin kuwa secure zaidi, kwani ni ngumu kui hack, au kui ban as long as 51% ya honest nodes zinaunda part ya Bitcoin Network

Sifa ya pili, Bitcoin software ni anonymously, yaani transaction yoyote ya Bitcoin haiwi associated na personal details za users wanaofanya transactions, hakuna breaking of privacy

Sifa ya tatu, ilikua ni ownership, kila Bitcoin transaction ni unique, na inakua owned na single user kwenye historia nzima ya Bitcoin

Hizi sifa tatu, Decentralization, Anonymity na Ownership zinaifanya Bitcoin, na Cryptos nyingine kuwa unique

Protocol inayo run Bitcoin, ilikua implemented kwa mara ya kwanza na Satoshi mwenyewe, na kupewa jina la Blockchain.

Essentially Blockchain ni database, ambayo badala ya kuwa hosted kwenye single computer kama traditional databases zilivyo, inakua hosted kwenye multiple peer to peer computers au nodes kwenye Bitcoin networks nzima

Bitcoin ni decentralized database.

Ndipo ilipozaliwa Web 3.0

Web 3.0 ni vision mpya ya Web, inayolenga kutumia BlockChain technology ku develop Web Apps ambazo ni decentralized, anonymous, na yenye true ownership of data

Kwenye Web 3.0,user anakua sio tu creator, au consumer wa data, bali true owner wa data zake

Imagine Web ambayo unalipwa baada ya App kutumia data zako.

Na sio tu, ownership of data, user pia anakua mmiliki wa Software husika

Aina hii mpya ya Web apps zinazotumia BlockChain zinajulikana kama DApps, au "Decentralized Apps "

Mpaka kufikia mwakani, tunatarajia kuzaliwa kwa idadi nyingi za DApps..

Kwa ambao bado hatujaona umuhimu wa Web 3.0,
Fikiria hivi, kwasasa Software industry imekuwa well established & occupied

Hizo Big companies tayari zimekua monopoly kwenye market

Huwezi kuja tena na Social media Apps ambayo ita compete na Facebook, Instagram, YouTube, Snapchat, Twitter etc....

Huwezi, kwa sababu tayari wao wana First mover advantages, walianza mda so wame set barrier of entry juu sana, na wana user base ya kutosha

Kwanini?, kwasababu wao ndio pioneers wa Web 2.0
Wao ndio wame develop Web Apps zilizofanya Web 2.0 iwe reality na sio just buzzword

Fortunately, na wewe pia kama developer umepewa opportunity ile ile aliyopewa Mark Zuckerberg miaka ya 2000.

Internet lazima i shift kutoka Web 2.0,kuja Web 3.0
So kuna 90% empty space kwenye Market.
Unatakiwa wewe na idea yako, who know unaweza kuwa the next Zuckerberg?

Chagamoto ya Web 3.0

Changamoto ya Web 3.0 ni uchanga wake,
Currently, ipo 10% tu kwenye development
Hii inafanya development ya Dapps iwe ngumu kuliko normal apps, kwa sababu ya uchache wa tools

Japo platforms kama Euthereum zimeondoa ugumu wa ku implement Blockchain yako from the scratch, lakini kuna a lot of works to do.

Impact ya Web 3.0 kwenye Web development

Kawaida, Application yoyote ina part mbili, Front-end na Back-end
Kwenye Web 3.0,frontend haijabadilika,
Still utatumia Html, Css, na Javascript

Kitu ambacho kimebadilika kabisa, ni Back-end
Cha kwanza, kwa kua Web 3.0, ni decentralized, Client server model, haipo

Hakuna centralized server wala client,na back-end haiwi hosted kwenye single server kama tulivyozoea

Backend ina runs on BlockChain, au Euthereum virtual machine,

Architecture yake ni ngumu (kwa maoni yangu)
Pia your favorite programming language haito tumika, at least kwa sasa.

Programming languages zinazotumika kwenye Web 3.0 kwa sasa ni Javascript na solidity.

Kwahio, maoni yangu ni, Web 3.0 ni opportunity kubwa sana kwa developers

Lakini ina learning curve kubwa sana,

Web developer, 0748333586
Fursa hiyo


 
Back
Top Bottom