Kummilikisha mtu mmoja mitandao mitatu mistake
Mark ameifanya hii mitandao kuwa na sheria moja akizima anazima kote
Ni kama serikali ilivyoiminya mifuko ya jamii ikaifanya kitukimoja mwishowe na sheria zimekuwa moja likitokea la kutokea ni kote kote
Nimefuta pilau nikijua storage
Duniani kote haipatikaniWapendwa kwangu sipati mtandao wa Facebook pamoja na Insta ila mingine yote inapatikana, nauliza je ni kwangu tu au pia kuna wengine pia wamepata tatizo kama la kwangu, au inabidi tuanze kutumia VPN
Duniani koteWapendwa kwangu sipati mtandao wa Facebook pamoja na Insta ila mingine yote inapatikana, nauliza je ni kwangu tu au pia kuna wengine pia wamepata tatizo kama la kwangu, au inabidi tuanze kutumia VPN
Hii balaa ,ndio shida ya kumtegemea mtu mmoja, sasa nimeanza kuelewa kwanini Trump anapiga kelele kuhusu hawa wamiliki wa hii mitandao,she...zi zaoYes. Balaa tupu. Marc sijui kapatwa na nini?
Telegram mambo safiDuniani kote haipatikani
Hata hiyo VPN now haifanyi kazi kaeni tu kwa kutuliaSipati FB wala Insta inabidi tuanze kuikumbuka VPN
Intaneti ipo sema hiyo mitandai ndio haipatikani kwa sasaUlimwengu unaelekea wapi.
Ulimwengu bila Internet utakuwa vipi.?
Acha uzwazwa wewe unawaza ngono tu hujui hii mitandao ni biashara na watu tunapoteza pesa nyingi kwa kukosa hii huduma.Nimefurahi sna angesima kabsa week nzima akili ziwakae watu mnk imekuwa kichochoro Cha umalaya mtandao huu Ni uraibu wa ngono tu unafanywa uko..kwenda izimwe kbsa
Heeeem ngooooja kwanza.
Unasemaaa?