Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
Mi sina.
Hata cha kumtandikia mmeo kitanda?
Mi sina.
kupiga chabo!
mi kipaji changu ni kupika, kula na kudo
Kuna siku watakutoboa macho na spoke,shauri yako.
Nina kipaji cha kula mahindi ya kuchoma
unacho bana,cha kuwa binti usiyekosa kuichungulia jf kila siku iitwayo leo hata kama upo bed rest
Mimi ndio nimemwambia.
Hata cha kumtandikia mmeo kitanda?
we unajua nina kipaji gani?
Si cha kubaka kuku???
omg! Nitake radhi, umenikosea heshima.
wapi unachezea kiduku???
nijulishe Tanmo....
Na mahindi ya kukaanga je?
Hayo hayapo labda ya kuchemsha.....
Nna fani ya kuwamwaga mma na kuwatoa hamu!
Kuwamwagia mma na kuwatoa hamu wa kina nani?
YM ! Mdogo wangu wacha basi mzaha! Kujifanya huelewi !
Shauri yako kujifanyafanya huelewielewi, utakuja pitiliza ukawa huelewi kikwelikweli !
wapi unachezea kiduku???
nijulishe Tanmo....