Whats your talent...???

Whats your talent...???

Shortly nina fani ya kumtoa hamu my wife.
Maujuzi hayo we unayo?

Ooohhhh!!!! Nilisahau hiki kipaji mkuu. Nina kipaji cha kuweza kuiteka akili ya mwanamke yoyote kwa sex tu na hata kama alikuwa na mwanaume mwingine atamuacha kwa ajili yangu. Kama huamini nipe wife wako halafu uone kama kesho hajaja kuomba talaka kwako.
 
Unaonaje kama ungeendeleza kipaji ulichonacho kwa kuingia katika sanaa ya muziki ya bongo fleva?

Kwa kiasi kikubwa ujio wa "Bongo Fleva" ndio ulinikimbiza kwenye "music ya bongo"......

Ntafanya kitu kwenye kipaji changu usiogope kaka Y-M
 
Kwa kiasi kikubwa ujio wa "Bongo Fleva" ndio ulinikimbiza kwenye "music ya bongo"......

Ntafanya kitu kwenye kipaji changu usiogope kaka Y-M

nikifungua Studio nitakupa mkataba wa kuja kurekodi nyimbo zako for one year bure.
 
Sasa huyu young master naye kawa mtume au?...eti anapredict the future...hata kama uwongo lakini siyo kihivyo bwana...mtu hawezi kuwa kuwa na talent zote hizo labda awe Genius.....


hv genius sio mtu?
 
Back
Top Bottom