Whats your talent...???

Whats your talent...???

Binafsi nina kipaji kikali katika music ila sijawahi kuweka juhudi sana kukiendeleza hvyo nmebaki kama mtu tu wa kufanya critic analysis ya music kwa ujumla japo sijawahi kusomea.
Nina uwezo mkubwa wa ku-compose music mfano nmefanya kazi kwa karibu sana na mwanamuziki wa injiri hapa nyumbani David Robert.

Performance yangu ya kwanza nilifanya wakati nipo form 2 pale Jitegemee Sec (miaka 15 iliyopita) na performance yangu ya mwisho nlfanya wakati nipo form 4 pale pale Jiteute!

Skillz nyingine ndogo ndogo nnazo ila Music ndio kila kitu kwangu!

Unaonaje kama ungeendeleza kipaji ulichonacho kwa kuingia katika sanaa ya muziki ya bongo fleva?
 
Mi nakipaji cha kujamba wakat wowote ukitaka nifanye hivyo,kuchezesha **** 1,kukojoa mikojo yote mi2 at per na kuhamisha nyeti yangu kuiweka popote ntakapo nihisipo kuna hatari ya kubakwa(nyingine ni sifa cjui!)
 
Mi nakipaji cha kujamba wakat wowote ukitaka nifanye hivyo,kuchezesha **** 1,kukojoa mikojo yote mi2 at per na kuhamisha nyeti yangu kuiweka popote ntakapo nihisipo kuna hatari ya kubakwa(nyingine ni sifa cjui!)

Embu nihamishie nyeti yako ije kwangu maana nimeimiss kweli.
 
Mi nakipaji cha kujamba wakat wowote ukitaka nifanye hivyo,kuchezesha **** 1,kukojoa mikojo yote mi2 at per na kuhamisha nyeti yangu kuiweka popote ntakapo nihisipo kuna hatari ya kubakwa(nyingine ni sifa cjui!)

Mhmmm!!! Mimi nina wasi wasi na hicho kipaji cha kujamba. Huko nyuma pako sawa kweli? Hawajakucameroonize? Sasa kama unajamba kila wakati hayo makalio si yatakuwa yameshaoza? Ila angalia siku usije ukajamba ukajikuta unajinyea.
 
Mhmmm!!! Mimi nina wasi wasi na hicho kipaji cha kujamba. Huko nyuma pako sawa kweli? Hawajakucameroonize? Sasa kama unajamba kila wakati hayo makalio si yatakuwa yameshaoza? Ila angalia siku usije ukajamba ukajikuta unajinyea.

Hiyo itakuwa kesi ya kumamba wakat unajua unaharisha.Usikariri kuhuc cameron,unataka kunambia kila kila asimamishae anauwezo wa kuzaa!wengine risas za maji master
 
Hiyo itakuwa kesi ya kumamba wakat unajua unaharisha.Usikariri kuhuc cameron,unataka kunambia kila kila asimamishae anauwezo wa kuzaa!wengine risas za maji master

Hilo nalo neno. Ila mie Bunduki yangu inarusha risasi za moto si unaona jinsi ilivyojaa Moshi? embu kaniletee kwanza yale mafuta yangu ya bunduki pale kabatini niisafishe.
 
Hilo nalo neno. Ila mie Bunduki yangu inarusha risasi za moto si unaona jinsi ilivyojaa Moshi? embu kaniletee kwanza yale mafuta yangu ya bunduki pale kabatini niisafishe.

mtume mwanao kafunga shule hana kazi
 
music is my thing.nina tunga,andika(hii ni tofauti na kutunga),napanga(arrangement),naimba(genre zaidi ya tano za muziki)-japo navutiwa zaidi na muziki wa kiafrika,najifunza kutayarisha now,japo najua kazi iliyopikwa nusunusu na iliyo bora ikoje,napiga magitaa matatu ya bass,rythim na solo katika genre nyingi tofauti za muzki,napiga keyboard,marimba,conga,na drums japo sifanyi biashara ya muziki kabisa.i do it for fun!

pia naandika hadithi(drew inspiration from my mother-mwandishi wa hadithi kama kisasi cha mwanamke,jani la mgomba n.k. kwenye magazeti ya heko na motomoto back in the dayz).

napenda michezo sana.nashabikia soka(simba na man united,taifa starz) japo napenda na nacheza basketball(hii sio sana,maybe sababu ya majukumu now).
 
mtume mwanao kafunga shule hana kazi

Mama watoto na wewe una matatizo. Haya bwana ngoja nimtume. Sasa huyu mtoto akiyaona si ataniibia mafuta yangu halafu waende kupakana na yule mtoto wa mwenyekiti wa serikali za mitaa?
 
music is my thing.nina tunga,andika(hii ni tofauti na kutunga),napanga(arrangement),naimba(genre zaidi ya tano za muziki)-japo navutiwa zaidi na muziki wa kiafrika,najifunza kutayarisha now,japo najua kazi iliyopikwa nusunusu na iliyo bora ikoje,napiga magitaa matatu ya bass,rythim na solo katika genre nyingi tofauti za muzki,napiga keyboard,marimba,conga,na drums japo sifanyi biashara ya muziki kabisa.i do it for fun!

pia naandika hadithi(drew inspiration from my mother-mwandishi wa hadithi kama kisasi cha mwanamke,jani la mgomba n.k. kwenye magazeti ya heko na motomoto back in the dayz).

napenda michezo sana.nashabikia soka(simba na man united,taifa starz) japo napenda na nacheza basketball(hii sio sana,maybe sababu ya majukumu now).

U have got such a gifted talent. Use it for the good of mankind. By da way unaweza kunipa baadhi ya genre ambazo wewe unaziimba?
 
U have got such a gifted talent. Use it for the good of mankind. By da way unaweza kunipa baadhi ya genre ambazo wewe unaziimba?

anything from afro,afro-carribean,latin(reggae,salsa,chacha,cumbia,mirengue,rumbha....a bit of RnB .na nyingi zenye direct african taste..talk of music from D.R.C and South Africa in particular).
wa ki-afrika unanifanya niwe huru sana,NAONA NAFANYA CHA KWANGU HASWA,JAPO LUGHA YA MUZIKI DUNIANI KOTE NI MOJA!
 
vipaji vyangu
-KIPAJI MFU
-Football,ningezaliwa miaka ya karibuni hakika ningesakata kapumbu ulaya!nilikuwa nikikuchezea nyuma yaani beki ni noma!hata Messi hapiti!
 
VIPAJI HAI
-Master of Ceremony yaani MC!Hiyo ndiyo kazi yangu napeta nayo jijini Arusha!ingawaje nakamua kotekote ukitaka nije hata mpwapwa kwa kina husninyo naenda!kifupi mimi Natural Speaker!kuzungumza mbele za watu nimezaliwa kwa ajili hiyo!kwa sasa natumia kipaji hicho ktk umc,huwezi kujua naweza kuonekana hata ktk majukwaa ya siasa in the future!
 
-DECORATION yaani kupamba kumbi kwa ajili ya harusi!wanaonijua hawaniiti mpambaji,wananiita Mbunifu wa mapambo!niko na kampuni yangu ya mambo ya sherehe inaitwa The Function House!
 
Back
Top Bottom