Whats your talent...???

Whats your talent...???

Vipaji vyangu

1: kulia machozi kama mvua
2: kuhudhuria misiba hata uwe vingunguti natokea hm Bunju mpaka huko hata kama hunihusu
3:woga, naogopa sana wazee hasa wenye sura mbaya. (Hichi kipaji au tabia?? )
4: ......naomba hichi nisikiweke wazi kuna watoto humu.
 
It's'your lucky day, i can play the guitar
And I. Can sing too.
Naongea lugha nane, nne international. 🙂

hehehe we ni full package unafaa kuwa wifi! Mi najifunza french, english ishakua yebo yebo. Afu after french nihamie mandarin. (kichina)
Ntakua nakuja kwako kuchukua Guitar classes!
 
Mtoto wa kiume una kipaji cha kuiga sauti kama ya rihanna na jordin spark kwanini isingekuwa kama ya chris brown au trey songz
 

Ricky ndo kipaji chako hicho? Umeni dissapoint jamani..


@young master uje na wewe kwa mwali tukajifunze kupiga guitar! Its even sexier when a guy plays it.. Trust moi!
 
Mtoto wa kiume una kipaji cha kuiga sauti kama ya rihanna na jordin spark kwanini isingekuwa kama ya chris brown au trey songz

Nimesema hata kama iwe ya rihanna na Jordin Sparks nikimaanisha kuwa hata za kike naweza kuiga. Nina uwezo wa kuigiza sauti ya Chris Brown bila kukosea ila tray songz he is not my fan.
 
Nimesema hata kama iwe ya rihanna na Jordin Sparks nikimaanisha kuwa hata za kike naweza kuiga. Nina uwezo wa kuigiza sauti ya Chris Brown bila kukosea ila tray songz he is not my fan.

ooooh! Sasa nimekupata ila ongera kwa vipaji vyote una budi kumshukuru mungu
 
kwa nini lovely Amyner? Nishawahi kukuongopea?

Umesahau mara hii juzi tu uliniahidi nini then mpaka leo kimya..lol. Nakutania.. Nimepata mwalimu labda uje kutu join, two experts can bring out an awesome student!
 
Back
Top Bottom