Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #101
tan taraaaa!...
Is this a wedding?
tan taraaaa!...
Vipaji vyangu
1: kulia machozi kama mvua
2: kuhudhuria misiba hata uwe vingunguti natokea hm Bunju mpaka huko hata kama hunihusu
3:woga, naogopa sana wazee hasa wenye sura mbaya. (Hichi kipaji au tabia?? )
4: ......naomba hichi nisikiweke wazi kuna watoto humu.
Embu mlete nipate kusikia kutoka kwake mwenyewe na sio kusimuliwa na mtu.
Sasa huyu young master naye kawa mtume au?...eti anapredict the future...hata kama uwongo lakini siyo kihivyo bwana...mtu hawezi kuwa kuwa na talent zote hizo labda awe Genius.....
I hope desh desh hatapaona hapa.
hiyo numero two kiboko that is what we call a real natural born talent!msiba wa SK hope hukucheza mbali
kupiga chabo!
Dogo acha uongo
Sasa ukilia si unawapa kazi ya kukubembeleza wasikilizaji?
Kumbe huwa unabipiwa?
Unaruhusu kupigiwa na ODM? Mie ndo huwa nabonyeza batani zake.
we were talking about guitar experts jamani.....
Hahahaaaa nasikia JB na Majuto wametoa movie mpya...angalia then utanisimulia...hah! huamini? pata picha nikikusimulia movie ya bruce lee miaka ile... namaliza stori nina jasho jingi! na wewe msikilizaji unaenjoy vya kutosha! sijui kwa nini nilikuwa sitozi viingilio!
Nna kipaji cha ngono zembe. Afu kipaji changu kinaimarika mpaka sasa nimepewa kipaji cha kuwamega watu wa jinsia yangu. Kuna mtu wa kiume mwenye sura nzuri na macho ya kuvutia humu jamvini nimmege?
Tafazali aniPM kwa ajili ya serious business..... Ntaprefer yule anayejiona ni mzuri na anasumbuliwa sababu ya uzuri wake.....
mungu wangu! We babu....
we najua kipaji chako
hapana inabidi walie pia, maana wanapata direct from movie, wakinibembeleza ni sawa na kubembeleza tv... usiombe nikusimulie picha ya kihindi... ntacheza sana pia!