Whats your talent...???

Sasa huyu young master naye kawa mtume au?...eti anapredict the future...hata kama uwongo lakini siyo kihivyo bwana...mtu hawezi kuwa kuwa na talent zote hizo labda awe Genius.....
 
Vipaji vyangu

1: kulia machozi kama mvua
2: kuhudhuria misiba hata uwe vingunguti natokea hm Bunju mpaka huko hata kama hunihusu
3:woga, naogopa sana wazee hasa wenye sura mbaya. (Hichi kipaji au tabia?? )
4: ......naomba hichi nisikiweke wazi kuna watoto humu.

hiyo numero two kiboko that is what we call a real natural born talent!msiba wa SK hope hukucheza mbali
 
Sasa huyu young master naye kawa mtume au?...eti anapredict the future...hata kama uwongo lakini siyo kihivyo bwana...mtu hawezi kuwa kuwa na talent zote hizo labda awe Genius.....

Inamaana huamini?
 
Binafsi nina kipaji kikali katika music ila sijawahi kuweka juhudi sana kukiendeleza hvyo nmebaki kama mtu tu wa kufanya critic analysis ya music kwa ujumla japo sijawahi kusomea.
Nina uwezo mkubwa wa ku-compose music mfano nmefanya kazi kwa karibu sana na mwanamuziki wa injiri hapa nyumbani David Robert.

Performance yangu ya kwanza nilifanya wakati nipo form 2 pale Jitegemee Sec (miaka 15 iliyopita) na performance yangu ya mwisho nlfanya wakati nipo form 4 pale pale Jiteute!

Skillz nyingine ndogo ndogo nnazo ila Music ndio kila kitu kwangu!
 
hah! huamini? pata picha nikikusimulia movie ya bruce lee miaka ile... namaliza stori nina jasho jingi! na wewe msikilizaji unaenjoy vya kutosha! sijui kwa nini nilikuwa sitozi viingilio!
Hahahaaaa nasikia JB na Majuto wametoa movie mpya...angalia then utanisimulia...
 
Nna kipaji cha ngono zembe. Afu kipaji changu kinaimarika mpaka sasa nimepewa kipaji cha kuwamega watu wa jinsia yangu. Kuna mtu wa kiume mwenye sura nzuri na macho ya kuvutia humu jamvini nimmege?

Tafazali aniPM kwa ajili ya serious business..... Ntaprefer yule anayejiona ni mzuri na anasumbuliwa sababu ya uzuri wake.....

mungu wangu! We babu....
 
Back
Top Bottom