mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 14,191
- 19,115
Brazil waliingia mkenge kwa kuachana na staili ya soka lao la samba lenye burudani ya kufa mtu, linalowekeza kwenye vipaji na wakaiga soka la ulaya linalo-base kwenye mpira wa kibiashara zaidi kuliko burudani!!
Tusahau kuibuka na kuendelezwa kwa vipaji kama Pele, Maradona, Ronaldo og, Ronaldinho, Messi, nk.
Tunachoshuhudia jwa sasa ni soka la pass linalokwepa kukabiliana mtu kwa mtu. Kukabiliana mtu kwa mtu ndo hutoa nafasi ya kuonesha kipaji! Soka la leo ni kama draft-one touch! Kupigana chenga ni nadra sana, kuvushana kanzu ndo kabisa ni kama kaka kuona! Msimu unaweza kuisha bila kuona watu wakivalishana kanzu!!
Kwa kifupi soka kuwa biashara zaidi kulikoni burudani zaidi kumeharibu mambo!
Tusahau kuibuka na kuendelezwa kwa vipaji kama Pele, Maradona, Ronaldo og, Ronaldinho, Messi, nk.
Tunachoshuhudia jwa sasa ni soka la pass linalokwepa kukabiliana mtu kwa mtu. Kukabiliana mtu kwa mtu ndo hutoa nafasi ya kuonesha kipaji! Soka la leo ni kama draft-one touch! Kupigana chenga ni nadra sana, kuvushana kanzu ndo kabisa ni kama kaka kuona! Msimu unaweza kuisha bila kuona watu wakivalishana kanzu!!
Kwa kifupi soka kuwa biashara zaidi kulikoni burudani zaidi kumeharibu mambo!