Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 5,557
- 8,195
- Thread starter
- #81
Kitu gani sasa kilifanya hadi hukukataa na ukampa shoo wakati alikukata hisia? Je ni siku hiyo tu au aliendelea kuwa hivyo siku zoteSikufichi
Ni vitu vidogo sana vinakata hisia
Kama mpo kwenye stage ya ugelfriend hapo ngumu kuvumiloa
Inavumiliwaga ndoa tu
Kwa mfano harufu ya viatu,jasho kali,yaani usafi wa mtu kwa ujumla unakata hisia sana
Ujanani i dated a doc mmoja so alitokaga shift ya masaa mengi tukaenda nyumbani
Huku na huku alivua viatu nikasikia ile harufu
Sikufichi ile siku dah
Siisahau hadi leo
Ila wanascience huwa hawajijali kuanzia advance shule mpaka maishani