Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,748
- 103,534
Hapo jazba iko wap?Tatizo nn ama kuna demu amekuzingua,maana unajibu na jazba
Hapo jazba iko wap?Tatizo nn ama kuna demu amekuzingua,maana unajibu na jazba
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine
Baada ya kumuacha anakutumia text
"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"
Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Huwezi kujua tatizo ni nini mpaka asemeDah ila hawa watu wabaya sana ndio aseme hana hisia na mimi kama tatizo ni kibunda si aseme niongeze kama maamua kuwa mkweli
Mkuu usikute anakuonea huruma kukupa UKIMWIKivipi mkuu hebu jazia jazia kidogo
Kama kitu gani masai dada hebu nipe dokezo nishughulike nachoHuwezi kujua tatizo ni nini mpaka aseme
Na kuna vitu ving vinakata hisia sana
Hivi una kitambi?Hata kama coz utakuwa umekula chumvi nyingi hebu nipe uzoefu bibie hatimae niokoe kibunda changu kilicholiwa
Upo sahihi kabisa,Mpotezee, usishoboke naye kabisa na wala akikupigia simu usipokee...
Ipo siku atajileta mwenyeweeee
Kwanini hizo hisia zake hazikukata kwa kuchukua hela za jamaa? Huo nao ni utapeli tu.Huwezi kujua tatizo ni nini mpaka aseme
Na kuna vitu ving vinakata hisia sana
Umeona eeeh au kaswende😁Mkuu usikute anakuonea huruma kukupa UKIMWI
Hicho ndio kinanipa tabu mkuu why baada ya kuchukua ngawira mara kadhaa ndio leo aseme hana hisia tena anasema kazitafuta weee ila zimekataa katakata😆Kwanini hizo hisia zake hazikukata kwa kuchukua hela za jamaa? Huo nao ni utapeli tu.
Acha nae bhana fanya issue zingine👍Hapana alooh siwezi kuwa mrefu kiasi hiki halafu nifuge kitambi nipo vyedi kiasi
SikufichiKama kitu gani masai dada hebu nipe dokezo nishughulike nacho
Hii mbinu nishaanza kuitumia nitaleta mrejesho mara baada ya kusema hana hisia namimi nikaitikia sawa halafu nikakausha hata sikumhojiMpotezee, usishoboke naye kabisa na wala akikupigia simu usipokee...
Ipo siku atajileta mwenyeweeee
Alimradi Tu mleta mada asipate Amani ya Moyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda unakibamia, siku hizi wanaita kipilipili kichaa.
Hicho ndio kinanipa tabu mkuu why baada ya kuchukua ngawira mara kadhaa ndio leo aseme hana hisia tena anasema kazifuta were ila zimekataa katakat
Tatizo kibongo bongoKwanini hizo hisia zake hazikukata kwa kuchukua hela za jamaa? Huo nao ni utapeli tu.