Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Kuna muda kwenye biashara zinakata steam ya mambo mengine mengine

Au maumivu ya mahusiano yaliyopita ukayaleta kwa mapya

Na kukosa pesa pia
Kwa mujibu wa maelezo yake ya nyuma alishapigwa matukio hivyo inawezekana point no 2 ikawa sahihi ila ndio asiwe na hisia za kuzagamuana ila awe na husia na kibunda changu hapana kwakweli
 
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine

Baada ya kumuacha anakutumia text

"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"

Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Anataka umpe ahadi za maokoto hakuna kingine hapo.
Anakupa presha tu ili ujitutumue mfukoni.
Chaguo ni lako kusuka au kunyoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom