Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine

Baada ya kumuacha anakutumia text

"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"

Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Ndio umeshachunwa HIVYo ila bado unagangania ngozi.
 
Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine

Baada ya kumuacha anakutumia text

"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"

Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Dah Pole sana mjukuu wangu 😀 😀 😀 😀
 
Usimuache, jitahidi umpe muda KWANZA amsahau yule wa KWANZA ila jitahidi naawe kumuandaa kiaina kama kumshikashika usiomne mzigo KWANZA alafu ye MWENYEWE atakuletea INAOMEKANA HAMNA muda mrefu bado hajakuzoea, kama HAIELEWEKI PIGA teke tembea mbeleeee
 
Usimuache, jitahidi umpe muda KWANZA amsahau yule wa KWANZA ila jitahidi naawe kumuandaa kiaina kama kumshikashika usiomne mzigo KWANZA alafu ye MWENYEWE atakuletea INAOMEKANA HAMNA muda mrefu bado hajakuzoea, kama HAIELEWEKI PIGA teke tembea mbeleeee
Alooh unanipa tamaa sema yule mpuuzi ukijifanya unampetipeti anapiga vizinga sio vya nchi hii na nilivyo na huruma najikuta natoa hadi namba za Siri za mpesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom