secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,124
- 28,076
Naona unataka mleta mada asipate msaada 😀.Acha utapeli kijana!
Naona unataka mleta mada asipate msaada 😀.Acha utapeli kijana!
Ndio umeshachunwa HIVYo ila bado unagangania ngozi.Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine
Baada ya kumuacha anakutumia text
"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"
Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Yaah akinusa geto ni kuliwa.Kwahiyo nimekosea rule 1: akinusa tu getto ni kuliwa
Kushataki hujapata utelezi ni kupoteza mdaAmefanya utapeli.
Halafu hajatoa Maelezo ya kutosha kwa Mshikaji,
Utelezi hawezi kupewaKushataki hujapata utelezi ni kupoteza mda
Alooh nimekosa Mimi nimekosa Sana! Tatizo kuipata second chance na kibunda nikiokoe ndio shida naweza poteza vyote kwa pamojaYaah akinusa geto ni kuliwa.
Hawa Gen Z wanapenda hekaheka, usipowapa ukajifanya goodguy unaliwa dadeki.
Pole mkuu, kibunda samehe tu, ila kama huwezi mshawishi mrematch ila kama hujali kuhusu kibunda na kipo cha kuzidi.Alooh nimekosa Mimi nimekosa Sana! Tatizo kuipata second chance na kibunda nikiokoe ndio shida naweza poteza vyote kwa pamoja
Mi naona atafute tu chaka jipyaUtelezi hawezi kupewa
Ana UKIMWIKama kitu gani masai dada hebu nipe dokezo nishughulike nacho
Atapata Chaka jipya Litampiga Vizinga, litamwambia tena "anavuta hisia zinakataa"Mi naona atafute tu chaka jipya
Dah Pole sana mjukuu wangu 😀 😀 😀 😀Hivi mtu unamtongoza anakukubalia unajaribu kumsogeza kunako 6×6 akija anakataa kwakuwa hutaki kumbaka unampetipeti anakaza zaidi unamuacha kumsubiria siku nyingine
Baada ya kumuacha anakutumia text
"nimejitahidi kuvuta hisia zimekataa yani Sina hisia na wewe kabisa"
Hivi hapo shida ni nini ni kuwa ndio nimeshachunwa hivyo au namna gani
Alooh unanipa tamaa sema yule mpuuzi ukijifanya unampetipeti anapiga vizinga sio vya nchi hii na nilivyo na huruma najikuta natoa hadi namba za Siri za mpesaUsimuache, jitahidi umpe muda KWANZA amsahau yule wa KWANZA ila jitahidi naawe kumuandaa kiaina kama kumshikashika usiomne mzigo KWANZA alafu ye MWENYEWE atakuletea INAOMEKANA HAMNA muda mrefu bado hajakuzoea, kama HAIELEWEKI PIGA teke tembea mbeleeee
Atapata tuAtapata Chaka jipya Litampiga Vizinga, litamwambia tena "anavuta hisia zinakataa"