Averoes
JF-Expert Member
- Jan 30, 2014
- 986
- 513
Katika Rushwa kosa ni kutoa na kupoke rushwa. Sasa mtoa rushwa (Kuku mgeni) aende mahakamani tena mahakama ya Kunguru na anaeshitakiwa awe Kunguru atageuziwa kibao kuwa yeye mwenyewe ametoa rushwa. Na hao kunguru walomtapeli wanaruka na utajiri wao wa dezoHuyo jamaa nadhani ametapeliwa mwaka 2011/12 na kama angekuwa na ushahidi angekuwa ameenda mahakamani.
Kwa kifupi, tapeli ametapeliwa!