Kikubwa ninachoshindwa kuelewa kwenye hili ni inakuaje watu waliokua wakimtukana Mange wakimuita hana akili, wakimtukana kila aina ya tusi chini ya jua hili leo wanamuona kua ni mtu jasiri anaetetea nchi na mwenye upendo wa dhati? Miezi michahe mlikua mkimtukana kwa vile tu alikua akiandika ubaya wa upande wao, lakini leo kwa vile anaandika mabaya ya upande mwingine, mabaya ya mtu wasiye mpenda, mtu wanayeona anawanyima riziki basi watamsifu Mange kwa mapambi na shangwe za kila aina. Nadhani wewe unaeshabikia wakati ulikua ukimdharau upimwe akili, usimuamini muongo hata akisema ukweli.