Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,630
- 25,586
Katika nchi yoyote ile huduma za internet ni huduma nyeti sana kwa maana kwamba mahospitali, miundombinu kama usafiri, njia za reli na sehemu zingine nyeti hii ni huduma muhimu isohitaji hata nukta ya sekunde kuhujumiwa.
Kitendo cha TCTA kukata mtandao wa internet nchi eti kwasababu ya kuzuia watanzania wasimsikilize Humphery Polepole ni cha kinyama, cha kutokuwa na uelewa wa mambo na ni cha kikatili.
Fikiria mahospitali, huduma kama za usafiri watu kuhitaji kutumia kadi mitandaoni, matumizi ya simu ka ajili ya shughuli mbalimbali, huduma za mabenki na sehemu nyingie zote nyeti, uzime mtandao kwa masaa mawili, je nchi itakuwa salama kiasi gani?
Najiuliza tu au wana JF nawauliza maoni yenu kama kuna mwenye idea hii ya TCRA ni ujinga, kutokuelewa au ni nini?
Tusema madaktari Mloganzila wahitaji kufanya checkups na membo mengine au katika hospitali zingine kwahitajika matumizi ya mitandao je hali huwaje huko watu hufa au vipi?
Je, pia nini madhara ya hii kitu kwa siku zijazo?
Au kuna njia mbili za internet au VPN zatumika kwa sehemu niyingi kwa siri?
Nani aamua kukata internet nchi nzima kwa masaa mawili?
Kwa sababu Humphery Polepole yeye husubiri masaa mawili yapite ndo hurusha video yake.
Sasa hizi games za TCRA wacheza na Humphery Polepole kwa kutumia maisha ya watanzania?
Humphery Polepole hachezi games bali yupo kwenye kazi ngumu ya kurekebisha uzozo uliopo.
Kitendo cha TCTA kukata mtandao wa internet nchi eti kwasababu ya kuzuia watanzania wasimsikilize Humphery Polepole ni cha kinyama, cha kutokuwa na uelewa wa mambo na ni cha kikatili.
Fikiria mahospitali, huduma kama za usafiri watu kuhitaji kutumia kadi mitandaoni, matumizi ya simu ka ajili ya shughuli mbalimbali, huduma za mabenki na sehemu nyingie zote nyeti, uzime mtandao kwa masaa mawili, je nchi itakuwa salama kiasi gani?
Najiuliza tu au wana JF nawauliza maoni yenu kama kuna mwenye idea hii ya TCRA ni ujinga, kutokuelewa au ni nini?
Tusema madaktari Mloganzila wahitaji kufanya checkups na membo mengine au katika hospitali zingine kwahitajika matumizi ya mitandao je hali huwaje huko watu hufa au vipi?
Je, pia nini madhara ya hii kitu kwa siku zijazo?
Au kuna njia mbili za internet au VPN zatumika kwa sehemu niyingi kwa siri?
Nani aamua kukata internet nchi nzima kwa masaa mawili?
Kwa sababu Humphery Polepole yeye husubiri masaa mawili yapite ndo hurusha video yake.
Sasa hizi games za TCRA wacheza na Humphery Polepole kwa kutumia maisha ya watanzania?
Humphery Polepole hachezi games bali yupo kwenye kazi ngumu ya kurekebisha uzozo uliopo.