Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,510
Katika udogo wangu nimewahi kuokota mia mia na mia 2 nyingi sana..
Kuanzia siku hiyo nikawa naokota hela kila siku kwa kipindi karibu na mwezi...
Kuna wanaodondosha bahati mbaya na wanazitupa makusudi kwa sababu wazijuazo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia siku hiyo nikawa naokota hela kila siku kwa kipindi karibu na mwezi...
Kuna wanaodondosha bahati mbaya na wanazitupa makusudi kwa sababu wazijuazo wao
Sent using Jamii Forums mobile app