Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,404
- 58,941
Aisee..atanipeleka alipoiokota Kwakweli na kipigo kitamuhusuJust imagine mtoto wako anakuja na 100,000/= eti anasema ameokota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..atanipeleka alipoiokota Kwakweli na kipigo kitamuhusuJust imagine mtoto wako anakuja na 100,000/= eti anasema ameokota
Hakika wewe ni mzazi wa aina yakeInategemeana na kiwango cha hela alichookota...akiokota mia au mia mbili anapaswa kukalipiwa na kuzitupa hizo hela. Akiokota kuanzia elfu 10+ anapaswa kupongezwa kwa kuwa na bahati nzuri!
😂😂😂😂😂Mimi niliiba kofia ya mwalimu mkuu siku ya ijumaa nilipofika nyumbani nikasema nimeokota, kisha mjomba siku ya pili akaivaa shuleni kwenye kikao cha wazazi.
HahahahUsitunge story au kuleta story za hearsay hapa.
Sawa mzee baba
Duh!naomba na mimi unitag mkuuSawa mkuu nikitulia. Kuna dogo aliokotaga mdoli kilichomkuta huwezi amini. Nimezidi kushangaa kisa cha miaka mingi hivyo eti leo haya mambo tunayaona hata NETFLIX!!
Sawa mkuuDuh!naomba na mimi unitag mkuu
Daaah noma sana mkuu...Enzi za udogo wangu nilikuwa machachari Sanaa,japo wazazi walikuwa wakali Ila haikusaidia,tulikuwa yunaokota Nazi zimeandikwa kuruani si tunapasua na kulaa hatujali maandishi,mayai yalio andikwa kuruani yunaokota tuna ya kaanga kitu pwani!
Nitarudi kusimulia kisa cha mdoli. Haya mambo yanatisha sana.
RTD na simulizi za cheichei shangazi daaah zamani sana mkuu...Nikiwa mdogo niliwahi kusimuliwa hadithi na mama yangu ambayo inatokana na mchezo wa redio. Enzi hizo RTD.
Nikipata muda ntaandikaBina simulia basi
Sawa mkuuNikipata muda ntaandika
Hahahaaaa sawa mkuu...Huko wanakoziokota pesa ni wapi, itabidi nikusanye na majirani atufundishe na sisi tukaziokote
Tena ni zawadi ya milele kwa maana alama itabaki sikioni miaka nenda rudiNikiwa mdogo niliwahi kusimuliwa hadithi na mama yangu ambayo inatokana na mchezo wa redio. Enzi hizo RTD.
Kijana aliyefahamika kwa jina la Kizibo alihukumiwa kunyongwa kwa makosa ya wizi,u nyanganyi na kudhuru ili aibe.
Kabla ya hukumu kutekelezwa aliomba aje mama yake mzazi ili kumpa neno la mwisho.
Kizibo alimwambia mama asogee ili kumnong'oneza, kilichofanyika ni kumng'ata sikio na kutoa kipande kisha kumpa unumbe kuwa umekuwa chanzo cha haya yote na hii ndiyo zawadi yako kwa kutonikanya.
HakikaTena ni zawadi ya milele kwa maana alama itabaki sikioni miaka nenda rudi
Wrong profession ila watoto wapo katika right professions za kuokota pesa za burebure/dezodezo.Huko wanakoziokota pesa ni wapi, itabidi nikusanye na majirani atufundishe na sisi tukaziokote, huenda wazazi wake wapo kwenye wrong profession