Vifaa vya kuchezea vya watoto vinawafanya wawe wajinga, hakuna udadisi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,707
6,503
Utotoni sisi tulikuwa tunaweza unda gari za kuchezea wenyewe, mipira ya kucheza, midor ya udongo na kadhalika. naakumbuka hadi umeme tulikuwa tunakusanya betri zilizo tupwa jaralani tunazinganisha na balbu tuna zalisha umeme.

Hatukuwa tunaletewa midoli wala mipira ya kuchezea. Ok haikuwepo ya kutosha enzi hizo kama ilivyo sasa.

Now day kuna kila kitu cha mtoto kuchezea na wazazi kama kawaida yetu tuna nunua tu kila kitu kwa ajili ya watoto kuchezea.

Hivi vitu vinafanya watoto wawe wajinga mno tena kupitiliza, Watoto hawawi tena creative, mtoto hawezi unda hata gari la kuchezea la mabox na vizibo vya soda, hawezi tengeneza mpira wake wa kuchezea.

Hii ni hatari sana, na sio ujanja hata kidogo ni mtoto anakuwa mjinga, sasa jumlisha na masomo ya kukaririshwa shuleni mtoto anakuwa mjinga mazima.

nisha acahana na huo ujinga, mtoto anatengeneza mwenyewe citu vya kuchezea.
 
Shida vifaa mnanunua Tu ili mradi, kuna constructive toys nyingi tuu za kufikirisha, Ku challenge na kunoa thinking capacity ya mtoto.
Sasa Kama unafikiria vifaa ni midori na magari hapo Una waharibu watoto.
Kabla ya kununua, focus kwenye age, purpose and interest ya mtoto.
 
Hivi vitu vinafanya watoto wawe wajinga mno tena kupitiliza, Watoto hawawi tena creative, mtoto hawezi unda hata gari la kuchezea la mabox na vizibo vya soda, hawezi tengeneza mpira wake wa kuchezea.

Hii ni hatari sana, na sio ujanja hata kidogo ni mtoto anakuwa mjinga, sasa jumlisha na masomo ya kukaririshwa shuleni mtoto anakuwa mjinga mazima.
First lady mstaafu asnasemaje juu ya hili maana yeye anajua kila kitu
 
Huu ndio ukweli....ndio maana kuna tofauti kubwa ya kifikra kati ya vijana wa sasa na wa zamani......

Michezo ilikuwa imejaa ubunifu na udadisi uliopelekea kuwa werevu......
Udadisi wa michezo ya watoto na utoto haina impact yeyote kwenye maisha kilicho na impact ni hio michezo ina trigger nini kwa mtoto akiwa mkubwa.

Swali ni je, ninyi wakubwa ambao kwenye utoto wenu muliunda magari ya migomba, mbao, mulicheza kigarigari nk je sasahivi ambapo mshakuwa wakubwa mumefanya kipi na kipi mume rush lockets, munaunda labda AI Machines, labda electric Cars, hata vikombe nk hivi ndio tunataka sio ujinga wa utotoni tulijenga magari.

Hao watoto wakikuwa wanachezea vitu vya kutengenezewa leo wanarusha dozens of 🛰 🛰 watoto nyie mumeishia kushangaa tu nini kinapita juu na kuanzisha mada JF
 
Udadisi wa michezo ya watoto na utoto haina impact yeyote kwenye maisha kilicho na impact ni hio michezo ina trigger nini kwa mtoto akiwa mkubwa.

Swali ni je, ninyi wakubwa ambao kwenye utoto wenu muliunda magari ya migomba, mbao, mulicheza kigarigari nk je sasahivi ambapo mshakuwa wakubwa mumefanya kipi na kipi mume rush lockets, munaunda labda AI Machines, labda electric Cars, hata vikombe nk hivi ndio tunataka sio ujinga wa utotoni tulijenga magari.

Hao watoto wakikuwa wanachezea vitu vya kutengenezewa leo wanarusha dozens of 🛰 🛰 watoto nyie mumeishia kushangaa tu nini kinapita juu na kuanzisha mada JF
 
Utotoni sisi tulikuwa tunaweza unda gari za kuchezea wenyewe, mipira ya kucheza, midor ya udongo na kadhalika. naakumbuka hadi umeme tulikuwa tunakusanya betri zilizo tupwa jaralani tunazinganisha na balbu tuna zalisha umeme.

Hatukuwa tunaletewa midoli wala mipira ya kuchezea. Ok haikuwepo ya kutosha enzi hizo kama ilivyo sasa.

Now day kuna kila kitu cha mtoto kuchezea na wazazi kama kawaida yetu tuna nunua tu kila kitu kwa ajili ya watoto kuchezea.

Hivi vitu vinafanya watoto wawe wajinga mno tena kupitiliza, Watoto hawawi tena creative, mtoto hawezi unda hata gari la kuchezea la mabox na vizibo vya soda, hawezi tengeneza mpira wake wa kuchezea.

Hii ni hatari sana, na sio ujanja hata kidogo ni mtoto anakuwa mjinga, sasa jumlisha na masomo ya kukaririshwa shuleni mtoto anakuwa mjinga mazima.

nisha acahana na huo ujinga, mtoto anatengeneza mwenyewe citu vya kuchezea.
Umesahau kidogo pia kuhusu burudani ya kuangalia TV, makatuni yanayoingizia kwa ujanja hoja ya Jinsia na vitu visivyowezekana katika uhalisia e.g. mtu anaruka kama ndege au kutema moto wa mawimbi ya umeme. Watoto hawawezi kuamsha akili ya kudadisi. Wanakuwa maduwanzi jumla. Inasikitisha zaidi pale ambapo ni wazazi ndo wanawawekea chaneli hizo.
 
Huu ndio ukweli....ndio maana kuna tofauti kubwa ya kifikra kati ya vijana wa sasa na wa zamani......

Michezo ilikuwa imejaa ubunifu na udadisi uliopelekea kuwa werevu......
Nyie wa wazee wa zamani ndio mmeshindwa kumaliza umaskini nchini kwetu na kutuachia nchi nzuri, mpaka leo hata misaada ya choo tunapewa na Wamarekani
 
Nyie wa wazee wa zamani ndio mmeshindwa kumaliza umaskini nchini kwetu na kutuachia nchi nzuri, mpaka leo hata misaada ya choo tunapewa na Wamarekani
Kha! Nyie vijana wa sasa kumbe mlitaka mkute mmeachiwa nchi nzuri? eti kwa jasho la wazee. Halafu mchango wenu nyie ungekuwa ni upi? Kama wazee walishindwa, basi nyie vijana waonesheni hao wazee kwamba walichemka kwa nyie wenyewe sasa kuuondoa umaskini, kuiboresha nchi iwe nzuri na kataeni misaada ya choo kutoka Marekani kwa kuvijenga ninyi wenyewe kwa nguvu zenu.
Inashangaza sana kuona badala yake ninyi sasa mmejikita kwenye kunywa Energy iliyochanganywa na Jogoo, mmebobea kwenye kubet na kushinda vijiweni huku mnabishania mpira, huku mtandaoni ni threads za kula tunda kimasihara na kuwalaumu wazee. Onyesheni kwa matendo kwamba na nyie hamjachemka lakini kama na nyie mmeshindwa, basi acheni kupiga makelele na kulia-lia hapa.
 
Maisha yamebadilika mzee now days watoto wanaenda skuli na ma school bus juzi kati hizi mambo ilikua Amna kabisa yaani
 
Back
Top Bottom