mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,141
- 3,452
21 na 22 ni tamu
Hawa wetu wa siku hizi ukifanya kama tulivyo fanyiwa sisi jela inakungoja mayai si mayai matoy si matoy watu tulikuwa manunda kweli kulikuwa na mchezo mbaya sana unachukua jiwe la mviringo kama mpira unalivisha soksi yaani kama chandimu vile kisha unamlia timing jamaa unamwambia piga jamaa anajikunjua huko ule ulikuwa uuwaji.
Yaani wazee wa zamani ndio hivyo, mimi mother bwana alikuwa kama simba, sasa huwa namkumbusha anacheka sana ,anadai ndio maana nipo leo labda angeniacha ningekuwa keko mpaka leo,maana nilikuwa mwizi wa mia mia za kula mihogo schule.Dah namkumbuka mzee wangu Mungu amlaze mahali pema peponi,Aaaminn .
Sikumbuki kama nilliwahi kupitisha siku 3 home bila mzee kunipa mikwaju labda kama kasafiri lakini kama yupo lazima nile mikwaju tu
Yaani wazee wa zamani ndio hivyo, mimi mother bwana alikuwa kama simba, sasa huwa namkumbusha anacheka sana ,anadai ndio maana nipo leo labda angeniacha ningekuwa keko mpaka leo,maana nilikuwa mwizi wa mia mia za kula mihogo schule.
Usiogope buana, mie nilivyo mpole!Mmh wewe naogopa kucheza nawe
Utoto una mambo mengi ya ajabu halafu kuna ile dogo anakuja kupakaza home"nimewakuta wanafanya matusi"ilikuwa lazima uchezee kichapo cha nguvu hapoHii kitu siwezi sahau niliumiza msela wangu miguu alikaa ndani kama wiki mzima
Unanikumbusha mbali sana nikiwa mdogo kijijini kwetu mwana ,nilikuwa nikilala kwenye vile viwanda vya kamba bibi ananikuta chini nimeanguka kila siku asubuhi, akamuua kutafuta vigogo vinne bhna, nikawa na lala kama kwenye kishimo cha mraba, sasa bakora zako asubuhi kabla ya hii mbinu ya 2 ninomaaa, nikatamani kuhama kijiji nipoteleee nisipokujua .Mie siku mmoja Nilimsifia mama wa jirani ananenepa kwa sababu ya wanakura ubwabwa kila siku niliongea mbele ya mama NIKACHAPWAA ! Niliambiwa Nina tamaa !
19. Ukipigana na mtoto mwenzio, akakupiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
20. Ukipigana na mtoto mwenzio, ukampiga ukirudi nyumbani, utachapwa.
Yale maisha yalikuwa ya uzima mkuu, na kila aliyezaliwa kuanzia 88 kushuka chini alikutana na kibano toka kwa wazazi. ..sasa watt wetu digital life, ukimfinya atalia wiki nzima na majilani watajaaaHapa ndo palikuwa panasababisha nijiuliza wazazi wanataka nini.
Halafu kuna ile ukiibiwa kalamu ukaja kuomba nyumbani unapigwa, ukiwa huombi kabisa kalamu kwa kipindi kirefu unajulikana unaiba unachapwa.
Yale maisha yalikuwa ya uzima mkuu, na kila aliyezaliwa kuanzia 88 kushuka chini alikutana na kibano toka kwa wazazi. ..sasa watt wetu digital life, ukimfinya atalia wiki nzima na majilani watajaaa
Kichapo kipi dada valentina?Nimemiss kuchezea kichapo....
Kuna fimbo zingine ni soft kabisa haziumi bali unasikia raha ukichezeshewa kichapo.Nimecheka sana,
Me nilikua bingwa wa kukimbia vichapo, nilikua muoga sana wa fimbo.
Kuna fimbo zingine ni soft kabisa haziumi bali unasikia raha ukichezeshewa kichapo.
Kile cha udogoniKichapo kipi dada valentina?
Hivi navyo visa sasa, kuna kichapo soft tena! !!Kuna fimbo zingine ni soft kabisa haziumi bali unasikia raha ukichezeshewa kichapo.