Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Hahaa mwehu wewe
Atajua mwenyewe bwana asije akaja tu pm kupima upepo
Atajua mwenyewe bwana asije akaja tu pm kupima upepo
Hahaa,umeshinda mkuuNi vyema mtoto wa kwanza akiwa wakike. Dont ask me why!
Hahaha nasema kweliHahaa mwehu wewe
Ndio maana bas unatusumbua kaka zakoKuwa last born kuna raha yake ila huwa natamani ningekuwa na mdogo wangu. Yaani angekuwa mwanangu kwakweli.
Nimejikuta hadi wakubwa zangu nawaita "dogo" lol.
Boss sio kwa kutukandia huku daahNyie mitoto ya mwisho mnakera sana... mivivu hadi mnakera!
Miaka kadhaa iliyopita si nikaenda kuishi na uncle wangu... mtoto wa mwisho kwa bibi na babu yangu!! Basi yule jamaa akawa anataka hadi nguo nimfulie! Akaacha kunipatia nguo zake baada ya kugundua naziloweka tu naenda kuzianika... sipendi ujinga mimi!
Yote 9, kumi unaweza kukuta anapiga kelele kishenzi kukuita! "Chigee! Chigee... njoo mara moja!" Nakumbuka enzi hizo nishamaliza Six, kuamka mapema sio lazima! Utashangaa kelele zote hizo anataka umpe viatu vyake ambavyo vipo chini ya 10 toka alipo... yaani kwavile anakunywa chai, ndo basi tena anaona taabu kuinuka na kwahiyo anataka mtu amletee!
Hayo yakapita! Nikiwa nimeshaanza maisha yangu huku nikiwa nikiwa naenda home siku za weekend peke yake; nikawa naumwa na hivyo kulazimika ku-settle kwa muda pale kwa wazazi! Hapa napo, tuna mdogo wetu wa mwisho!
Hili nalo, likinywa chai kila kitu litaacha hapo hapo! Likija kwenye meza yangu iliyojaa makokoro kibao, basi kama ni sinia au kikombe, hesabu ataacha hapo hapo!! Hili hata kuzima taa haliwezi! Sioni anachokiweza zaidi ya kufua na kupiga pasi nguo zake mwenyewe! Ngoja liumwe sasa... hata kumeza dawa, halitaki!
Aisee, nyie watu mnaboa sana!!!
Ukikutana na mimi wa kwanzaRaha ya kuwa wa mwisho watu wote macho yanakuwa kwako ila kero yake ni kwamba hata uwe na mvi kama zangu watakuona mtoto tu na usiombe itokee mkusanyiko wa kifamilia may be msiba yaani kila kitu utakuwa unatumwa wewe aargh hupati hata wasaa wa kukaa chini, halafu wazo lolote utakalotoa linaonekana la kitoto. Mimi wa mwisho ila nimekua kigumu balaa huwezi hata kunijua
Ukikutana na mimi wa kwanza
what a nice combination!!
Hahahaa asee we jamaaHalafu inatokea sasa ushamzukia PM kuomba yale mambo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mkuu hiyo dunia ulipo kuna keyboard?!Ambao bado hatujazaliwa tunakoment wapi ?!
Mnh! Kumbe na wewe!! Tell me kwamba nimedanganya hayo niliyosema kuhusu nyie viumbe!!Boss sio kwa kutukandia huku daah
Aaah wap rafiki sema ulimpata asiyejua kupet pet, mwanamke kudekezwa ni sunaa atiNyie wa kwanza wanyanyasaji sana yaani
Bible inasema...Ni vyema mtoto wa kwanza akiwa wakike. Dont ask me why!
Sio kweli kumbuka sisi ndio wa kutumwa na kila mtu yaani ilifika mahali nilikuwa natamani kuwa na mdogo wangu mradi nipate mtu wa kumtuma yani nione how it feels kunwambia mtu fanya hivi, nenda kule, njoo hapa maana sijawahi kupata hiyo chanceMnh! Kumbe na wewe!! Tell me kwamba nimedanganya hayo niliyosema kuhusu nyie viumbe!!
Si ndio nashangaa mimiAaah wap rafiki sema ulimpata asiyejua kupet pet, mwanamke kudekezwa ni sunaa ati
Hiyo kweli tabu ya wa mwisho kutumwa tuna mtuma huyo mpaka analia haiwezekani dada zake/kaka zake wainuke yy kakaaSio kweli kumbuka sisi ndio wa kutumwa na kila mtu yaani ilifika mahali nilikuwa natamani kuwa na mdogo wangu mradi nipate mtu wa kumtuma yani nione how it feels kunwambia mtu fanya hivi, nenda kule, njoo hapa maana sijawahi kupata hiyo chance
Usishangae come this side mamiiSi ndio nashangaa mimi
😂😂😂😂😂😂Hahaha mwenza niache bwana walah akija aibu ataona yeye
Hiyo kweli tabu ya wa mwisho kutumwa tuna mtuma huyo mpaka analia haiwezekani dada zake/kaka zake wainuke yy kakaa