Dada sky tunaendana sana, gap kubwa kati ya wa mwisho na aliyefuatana, kutopigwa bakora just coz tumekuwa bila ndugu zetu.Wote walichezea bakora za mzee lakini mimi sikuonja hata moja .zaidi ya kufinywa na mama kwa uvivu wa kula. Kichapo nilichezea kwa brother mkubwa tena alikuwa ana watime wazazi wako kazini.
Yaani hata mimi baba hakuwahi hata kunifinya na alikuwa ananipenda hadi wengine wanalalamika kuwa ananipendelea. Akitununulia zawadi mimi lazima ninunuliwe zaidi ya moja. Ukitaka timbwili na baba basi niguse.Wote walichezea bakora za mzee lakini mimi sikuonja hata moja .zaidi ya kufinywa na mama kwa uvivu wa kula. Kichapo nilichezea kwa brother mkubwa tena alikuwa ana watime wazazi wako kazini.
Nilijua tu utakuwa kamwisho wewe.Dada sky tunaendana sana, gap kubwa kati ya wa mwisho na aliyefuatana, kutopigwa bakora just coz tumekuwa bila ndugu zetu.
Ila "side effect" kubwa ni kudekezwa...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama mimiHuwa naona raha pale familia nzima wanavyonitreat kama mtoooto kumbe mama zima!! [emoji3][emoji3][emoji3]
Acha kabisa kudeka kwake had raha....Mimi ni wa mwisho niliyetokea ki bahati. Mpaka kesho kaka yangu ninaemfuata ana mind nimemnyang’anya title yake. Kuna gap ya five years kati yetu. Maana yake wote walipokuwa boarding nilikuwa home alone kama the only child.
Dada mkubwa ndiye alinifundisha taugh life kama kufua , kupiga deki, kupika. Bila yeye ningekua spoilt rotten.
Karibuni ma last born wenzangu.
Wewe unasomeka kabisa "wa mwisho kwa mama", unadeka sana[emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua tu utakuwa kamwisho wewe.
Tena mama zima lenye.
Hehehehe mimi nilikuwa na roho mbaya kwa mdogo wangu wa mwisho nikiona anadekezwa namtafutia tu sababu alie.Lenye watoto[emoji23][emoji23]
Usikute we ni mdogo wangu haya mafake id's haya...Mimi kaka yangu tulifuatana kwa kupishana 3years hivyo tumepigana sana. Na hivyo nilikuwa mchokozi wala mama hakunitetea likitokea la kutokea. Ila baba ndio hakutaka hata niguswe. Nikipigwa asubuhi nasubiri muda baba anarudi naanza kulia upyaaaaa.
Ila nilipobaki na mama tu ndio alinidekeza balaa, hadi vyombo tulikuwa tumewekeana zamu ya kuosha🙈🙈🙈🙈