Watanzania tuchutame, Uchaguzi Mkuu nchini Kenya umetuacha uchi



Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Ila hadi leo bado kuna watu wanasimama na kusema eti 2020 kulikuwa na uchaguzi na wameshinda kwa kishindo kwa asilimia 99 nchi nzima, Na maeneo mengine wamepita bila kupigwa?",
 
Leo Kenya imekua na akili kwa wa TZ mbona kila siku huwa tunajigamba tupo juu kwa kujisifia, refer to uzi wa Nairobi vs Dar.
 
Uh - Oh!
Hii ni kali. Ni baadhi ya maneno yanayosemwa wakati wa akili inaporuka, na baadae hujutiwa.

Naomba uniwie radhi juu ya swali langu hili: "Nchi ya makondoo", mwelevu atashindwa vipi kuyamudu na ukondoo wao?

Simama kidete uyachunge vizuri haya makondoo.

Nilichosema hakibadiliki boss, kiko hivyo hivyo.
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

Tanzania hatujawahi kuwa na uchaguzi huru ila wa 2019/20 ulitia fora sababu ya mwendawazimu aliyekuwa madarakani
 
Uchaguzi hautakuwi kuwekwa live inabidi kusubiria matokeo tu na ukishapuga kura nenda nyumbani upesi.. wamekosea sana ilipaswa hata vituo vya TV na radio kuzimwa kwa muda
 
2020 upinzani ulikuwa unajaribu uchaguzi ukaangukia kwenye kujichafua.

Unashindanaje na mtu aliyenunua madege, anajenga matreni ya umeme, mafuta hayapandi kiajabu, hakuna mifumuko ya bei ya ajabu hadi wali ukawa sio chakula cha anasa tena.

Anajenga mahospitali, miundo kama yote, mashule. Kifupi hatukutakiwa hata kufanya uchaguzi. Ni ubishi tu wa upinzani.
Hivi una akili timamu kweli wewe ujui hizo ni kodi zetu na ni wajibu wao kuyafanya hayo ? Ndio maana mlikuwa mnamuabudu
 


Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.

Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.

Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa

Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?

marehemu
 
Kenya mpaka wamefikia hapo walichapana na damu ikamwagika, naomba sisi tusipitie njia kama hiyo ila kuna mijitu inatulazimisha kufika uko kwa wizi wao wa kura
Yaap shida waBongo tunadhani waKenya wamefika Sababu yakuchekeana wamechapana na The Hague walifika now Kila mtu anamuheshimu mwenzie hakuna kitu kinatokea kama MANA jangwani...cccm wanajua Kura zikipigwa na kuhesabiwa kwa Uwazi watu watamaliza uchaguzi saa3 asubuhi...na wenyewe watakuwa kwenye jumba la makumbusho
 
Back
Top Bottom