dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
JK huyu huyu aloua wazanzibar katika chaguzi zilopita au wamefanana majina??Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
JK huyu huyu aloua wazanzibar katika chaguzi zilopita au wamefanana majina??Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
Wewe hujui kama watanganyika kila chaguzi mnakuja ZANZIBAR na kuuwa wazanzibar kama wao wakiuana si wa mwanzo nyinyi mshatuua Sana tu Kwa chaguzi zenu za kihuniWakianza kuuana ndio utajua hujui
PopomalismHamia Kenya
Salute...Nchi imejaa wajinga na wapumbavu hii tutachutama vipi?
Watu wanawaza ngono, umbeya na mpira tu lkn mambo ya msingi wala hawaongelei
Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Punguza upumbavuHamia Kenya
Uh - Oh!
Hii ni kali. Ni baadhi ya maneno yanayosemwa wakati wa akili inaporuka, na baadae hujutiwa.
Naomba uniwie radhi juu ya swali langu hili: "Nchi ya makondoo", mwelevu atashindwa vipi kuyamudu na ukondoo wao?
Simama kidete uyachunge vizuri haya makondoo.
Unasimamiwa na JK? Hivi wewe una kiwango gani cha uelewa mbona aibu nasikia mimi!Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo we.bavicha
CCM wenyewe taulo likianguka badala ya kuchutama wao wana bong'oa kuokota taulo mchana kweupe!Lakini toka lini nyani akaona kundule? CCM haijawahi kuwa na aibu hata mara moja. Hebu tazama viongozi tuliowahi kusukumiziwa na CCM!
Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Hivi una akili timamu kweli wewe ujui hizo ni kodi zetu na ni wajibu wao kuyafanya hayo ? Ndio maana mlikuwa mnamuabudu2020 upinzani ulikuwa unajaribu uchaguzi ukaangukia kwenye kujichafua.
Unashindanaje na mtu aliyenunua madege, anajenga matreni ya umeme, mafuta hayapandi kiajabu, hakuna mifumuko ya bei ya ajabu hadi wali ukawa sio chakula cha anasa tena.
Anajenga mahospitali, miundo kama yote, mashule. Kifupi hatukutakiwa hata kufanya uchaguzi. Ni ubishi tu wa upinzani.
Zanziba no jimbo letu acheni upumbavuWacha ungese wewe hujui kama watanganyika kila chaguzi mnakuja ZANZIBAR na kuuwa wazanzibar kama waowakiuana si WA mwanzo nyinyi mshatuua Sana Tu Kwa chaguzi zenu za kihuni
Sina la kusema, nimepigwa butwaa. Najiuliza kama ule nilioushuhudia nchini Tanzania mwaka 2020 ulikuwa ni uchaguzi kweli.
Tukubali tusikubali, huu uchaguzi nchini Kenya umetuvua nguo na kutuacha uchi wa mnyama na kama bado tunazo tuchutame.
Nafuatilia matokeo yanavyotiririka kwenye TV na kushuhudiwa na dunia nzima , bila kusubiri ruhusa
Eti siri katika kuhesabu kura, really? Kura zikishapigwa kuna siri gani tena? Si ni kutangaza tu matokeo? Huu ujinga aliuanzisha nani hapa Tanzania?
Yaap shida waBongo tunadhani waKenya wamefika Sababu yakuchekeana wamechapana na The Hague walifika now Kila mtu anamuheshimu mwenzie hakuna kitu kinatokea kama MANA jangwani...cccm wanajua Kura zikipigwa na kuhesabiwa kwa Uwazi watu watamaliza uchaguzi saa3 asubuhi...na wenyewe watakuwa kwenye jumba la makumbushoKenya mpaka wamefikia hapo walichapana na damu ikamwagika, naomba sisi tusipitie njia kama hiyo ila kuna mijitu inatulazimisha kufika uko kwa wizi wao wa kura
Kwamba yeye ndio kawaambia Matokeo yasitangazwe na bunduki?Uchaguzi wa Kenya unasimamiwa na JK wa Tanzania, usisahau hilo