Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,414
- 191,574
Sio headphones mkuu, nadhani unamaanisha zile za kufit maskioni ambazo kimsingi ni earphones/earpiece/earbuds.Kwa kweli nimechoshwa na hizi takataka za kichina. Yaani unanunua headphones unaenjoy kwa miezi 2 na zikijiitahidi miezi 4 basi. Ugonjwa ni uleule bila kujali brand name yaani spika moja inaacha kufanya kazi bila sababu na mchezo ndio umeisha hivyo! Ukienda,kila duka ni hizohizo na hapo naongelea zile za bei kubwa kidogo (zaidi ya 10,000). Sasa naweza kupata wapi headphones nzuri?
Mie pia nakutana na changamoto kama hio maana earphones nyingi mbaya na mbovu (naziitaga manyanga), Moshi na Arusha ndio waweza pata za quality nzuri na brand nyingi maana zinatoka Nairobi.