kkenzki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 1,514
- 2,536
Kuna duka linaitwa nas mobile shop lipo 1st floor, China plaza, Kariakoo. Wapo Instagram pia nas_mobile_shopHizi umenunua wapi
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Kuna duka linaitwa nas mobile shop lipo 1st floor, China plaza, Kariakoo. Wapo Instagram pia nas_mobile_shopHizi umenunua wapi
Awei kwa kiasi flani wanajitahidi sana kwny bass na kuchuja music....pia uimara wao ni absolutely fantastic....nnazo nlinunua 2017 october mpk sasa zipo na hamna sikio lililoharibika tho sa hv nimezihifadhi nazitumia kama backup. Nilizinunua Moshi pale maduka ya ghorofani...Dar nlizunguka kkoo sikuzipata.Awei nimezitumia both inner ear na zile zenye sponge. Mi napenda inner ear kwa sababu ukizivaa mziki wake unajaa. But nazo ni adimu sana sikuhizi so nikipita kuulizia nazikosaga mara nyingi.
Yeah Moshi ndio sehemu pekee utazipata, au Arusha. Likely zinatoka Nairobi tu kama majority of electronics za MoshiAwei kwa kiasi flani wanajitahidi sana kwny bass na kuchuja music....pia uimara wao ni absolutely fantastic....nnazo nlinunua 2017 october mpk sasa zipo na hamna sikio lililoharibika tho sa hv nimezihifadhi nazitumia kama backup. Nilizinunua Moshi pale maduka ya ghorofani...Dar nlizunguka kkoo sikuzipata.
Sent using Samsung Galaxy
Daaah umenikbusha mbali kweli hzo earphone za awei nilichukua nami moshi pale stand kwa 8k tu mwaka 2015 zinapiga balaa,but nikipoteza nikipokuja dsm nikitafuta maduka karibia yte bila mafanikio.Awei kwa kiasi flani wanajitahidi sana kwny bass na kuchuja music....pia uimara wao ni absolutely fantastic....nnazo nlinunua 2017 october mpk sasa zipo na hamna sikio lililoharibika tho sa hv nimezihifadhi nazitumia kama backup. Nilizinunua Moshi pale maduka ya ghorofani...Dar nlizunguka kkoo sikuzipata.
Sent using Samsung Galaxy
Nimetumia headphone na earphone za aina nyingi,now natumia jbl ni nzuri sana,naweza kuiita ni mnyama,maana ina tofauti ndogo sana jbl headphone View attachment 1069408
Arusha ni adimu sana....Moshi ndio penyewe wanapoziuza.Yeah Moshi ndio sehemu pekee utazipata, au Arusha. Likely zinatoka Nairobi tu kama majority of electronics za Moshi
Hizi ulizipataje, JBL sounds fantastic
Huku Dar hata hawazifahamu kabisa...mm nilizipenda bei yake ni kitonga but zipo quality.Daaah umenikbusha mbali kweli hzo earphone za awei nilichukua nami moshi pale stand kwa 8k tu mwaka 2015 zinapiga balaa,but nikipoteza nikipokuja dsm nikitafuta maduka karibia yte bila mafanikio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh..huo ndio ugonjwa wake...Hahah za mziki mnene zipo sema adimu nilizowahi Tumia ni TDK beats by dre, Sony EX-088, Skull Candy, brand za kichina kuna Jumong, Awei na Currently Konycoi sema zishazingua zimepungua sauti upande mmoja.
Wana headphone pia?Kuna duka linaitwa nas mobile shop lipo 1st floor, China plaza, Kariakoo. Wapo Instagram pia nas_mobile_shopView attachment 1069405
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Siku hizi zimepotea sana
Zinakera, ngoja ntaenda mobile plaza pale nikaone hali ikoje
Ukizikuta za ukweli...mziki unataka kupasua masikio unishtue!Zinakera, ngoja ntaenda mobile plaza pale nikaone hali ikoje
Ntakushtua
Aliexpress mkuu, KZ wanatengeneza earphones za aina nyingi sana na bei tofautitofauti, anza na za bei rahisi kama ED2 na ATE, hizo mimi nimezitumia mno zina mziki mzuri sana, ATE zina mziki mzuri zaidi hasa kama ni mpenda bass, ila zina tabia ya kukata waya kwandani upande mmoja (iskuogopeshe lakini, ni mara chache sana kukatika...hasa kama unazikunjakuja saaana, japo waya wake hautangle kirahisi), ATE pia huwa zinawasumbua watu jinsiya kuweka maskioni, waya wake unatakiwa upite nyuma ya maskio. ED2 ziko simple zaidi. Kila nikinunua mtu akizijaribu lazima azing'ang'anie. Sasa hivi ninazo KZ AS10 na ZS3