Wapi nitapata headphones zenye akili?

Wapi nitapata headphones zenye akili?

Nunua Ya Zilizokuja iPhone mkuu kwa bei ya 25000 Kama Upo Arusha Nenda Nakumat Ukajipatie Ni Hatare Mimi Nanayo Mwaka Na Miezi Miwili Sasa
Mkuu ntajuaje kama ndiyo iliyokuja na iPhone?
 
Acha kulialia wewe, mtu analeta biashara anayoona ina wateja wengi, bongo wateja wengi ni kama nyie mnaotaka headphones za elfu20 kushuka chini, sasa hiyo ni headphone au takataka?! Ingia online chukua headphones za maana, laki3 inakuja mpaka mlangoni kwako!
View attachment 251975
Tobi!eh tooba! ka sim kangu ka nusulaki ,hizi si zitanitia maradhi mtoto akizivutavuta kama alivyozoea kuvuta ndevu zangu!
 
Unaweza pia kuagiza mbele kama accessory ya hiyo simu, utapata.

Tatizo bei kaka, earphone za monster ni dola 99, na headphone ni dola 300, mtu akinunua highend smartphone anazipata bure, hivyo ukimpa mtu asiezitumia earphone za simu yake hata 30,000 anakuachia.

Mimi hufanya hivi kupata acessory kama charger (zenye technology ya quickcharge), earphone na usb cable
 
Ubora wa head set/phones sio tu kudumu muda mrefu, bali pia ubora wa sauti na material, zinakaaje masikioni/kichwani, uzito, functions inazoSapoti etc etc. Kwa mfano earbud za OFIA zina pin ndefu sana kiasi kwamba unapochomeka kwenye simu na ukaweka simu mfukoni basi kuna hatari ya kuharibu 3.5port ya simu yako
 
Acha kulialia wewe, mtu analeta biashara anayoona ina wateja wengi, bongo wateja wengi ni kama nyie mnaotaka headphones za elfu20 kushuka chini, sasa hiyo ni headphone au takataka?! Ingia online chukua headphones za maana, laki3 inakuja mpaka mlangoni kwako!
View attachment 251975


Huwezi kumshauri mtu mwenye simu ya laki 3, anunue ibeatz unazodai ni za laki tatu.
wakatu zipo earphone nzuri tu zunazofunika ibeatz kwa price chini ya hiyo.
labda infact unataka mauzo/sifa ambazo ni za kijinga kwa mtu mwenye mawazi chanya.

Colar you mean earphones if not headphones.
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kumshauri mtu mwenye simu ya laki 3, anunue ibeatz unazodai ni za laki tatu.


wakatu zipo earphone nzuri tu zunazofunika ibeatz kwa price chini ya hiyo.


labda infact unataka mauzo/sifa ambazo ni za kijinga kwa mtu mwenye mawazi chanya.




Colar you mean earphones if not headphones.



Off course hapa kuna vitu vya kuangalia, sisemi kwa beats ndio headset poa kuliko zote. Hapa kuna swala la kununua jina "beats" kama mdau mmoja alivyosema headset original za SONY, PHILIPS, IPHONE,HTC na zinginezo ni nzuri, tatizo zilizoko kwa machingas na kwenye vibanda ni clone.

Pia, ni ngumu kumiliki simu ya laki2 au 3 then unanunua headset ya laki 1 au 2



Kitu kingine, Sio kila simu inakubali kila headset!
 
Last edited by a moderator:
Acha kulialia wewe, mtu analeta biashara anayoona ina wateja wengi, bongo wateja wengi ni kama nyie mnaotaka headphones za elfu20 kushuka chini, sasa hiyo ni headphone au takataka?! Ingia online chukua headphones za maana, laki3 inakuja mpaka mlangoni kwako!
View attachment 251975

Nimekupata mkuu. Ni duka gani linauza nikanunue?
 
nlipoina hii thread,,,nkaingia kwnz gheto kuzihesabu,..
idad ya nlizozitunza baad ya kuharibika ni 19,..ni hasar kwa kwel
 
Tatizo bei kaka, earphone za monster ni dola 99, na headphone ni dola 300, mtu akinunua highend smartphone anazipata bure, hivyo ukimpa mtu asiezitumia earphone za simu yake hata 30,000 anakuachia.

Mimi hufanya hivi kupata acessory kama charger (zenye technology ya quickcharge), earphone na usb cable

Tatizo kaka hadi umpate mtu wa aina hiyo. Unless uagize simu nzima.
 
Ni kweli zinazokuja na simu zinakaa sana mimi nimetumia nokia hadi miaka 6 inadunda tu. Tatizo ni mziki ni mwembamba mimi nataka subwoofer za masikioni.

hahaaahah..subwoofer si utapitiwa na magari aiseeh
 
Huwezi kumshauri mtu mwenye simu ya laki 3, anunue ibeatz unazodai ni za laki tatu.
wakatu zipo earphone nzuri tu zunazofunika ibeatz kwa price chini ya hiyo.
labda infact unataka mauzo/sifa ambazo ni za kijinga kwa mtu mwenye mawazi chanya.
Colar you mean earphones if not headphones.

Thank you Brother,
U just spoke my mind. Huyu bwana hela haijui, muache kama alivyo.
 
Last edited by a moderator:
Acha kulialia wewe, mtu analeta biashara anayoona ina wateja wengi, bongo wateja wengi ni kama nyie mnaotaka headphones za elfu20 kushuka chini, sasa hiyo ni headphone au takataka?! Ingia online chukua headphones za maana, laki3 inakuja mpaka mlangoni kwako!
View attachment 251975
duh mie nadunda na Nec za tsh 5000/=
 
nlipoina hii thread,,,nkaingia kwnz gheto kuzihesabu,..
idad ya nlizozitunza baad ya kuharibika ni 19,..ni hasar kwa kwel

Unauziwa kitu chenye quality ndogo ili kisidumu, then urudi tena kununua...hence repeated sales/profits to dealers. Its the type of business done in the 3rd World. Same case wit other electronics.
 
Back
Top Bottom