Mwanamasala,
..move on...achana na masuala ya kale ya Chifu Makwaia na Nyerere.
..Makwaia hakupata kitu lakini Bomani,Samuel Sitta[waziri tangu enzi za Nyerere],Mark Bomani, George Nhigula,Pius Yasebasi Ngwandu,Ernest Nyanda,Charles Kabeho, etc walikuwepo kwenye system muda mrefu.
..wabane wabunge wako wa Mwanza/Shinyanya/Tabora wahakikishe maendeleo yanapatikana ktk kanda yenu.
..mimi nimeona mbunge wa Musoma Vijijini Mh.Mkono amejenga shule ya kisasa kabisa jimboni kwake kwa kutumia fedha zake mwenyewe.
..hivi kweli wabunge wa Usukumani/Unyamwezini mmoja mmoja wanashindwa kufuata mfano wa alichofanya Mh.Mkono?
..actually nilifarijika kusikia juhudi za John Shibuda kupeleka vijana toka jimboni kwake kusomea course za ualimu. nampongeza kwa hilo.
..wabunge wengine kama Chenge,Samuel Sitta, Rostam Aziz,Lau Masha,Lucas Selelii,Salum Khamis Salum,...sijui wanachokifanya huko majimboni kwao. i hope they are doing something lakini havitangazwi na vyombo vya habari.
NB:
..naomba mtuletee listi ya wabunge wa majimbo ya uchaguzi ya Mwanza,Shinyanga,na Tabora.
..yule Mpambe wa Mwalimu hakuwa mtoto wa Chifu Makwaia?
..kuna Inpector General wa Polisi, akiitwa Pundugu alikuwa mtu wa Usukumani?