JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 55,007
Makoye2009,
..bora ungeanza kuwashika mashati Wasukuma na Wanyamwezi wenzako kuliko kuporomosha lawama to the rest of us kwa matatizo yanayolikabili taifa zima.
..Tanzania nzima ina matatizo kama hayo uliyoyazungumzia kwamba mnayo huko Usukumani na Unyamwezini.
..Chunya na Mererani wameachiwa mashimo wakati madini yao yametoweka. Tanga wameachiwa mapori pale yalipokuwa mashamba ya mkonge, maeneo ya Kusini zao la korosho liliporomoka kutokana na operesheni vijiji. Kilimanjaro wanalia vyama vya ushirika vilivunjwa na kuwatia umasikini, Mbeya,Rukwa,Songea,Morogoro "big 4 regions" wanadai wao ndiyo wanaolisha lakini hawaoni maendeleo etc etc.
..utaona kwamba kila eneo la Tanzania, infact kila kabila, likiamua linaweza kutoa madai kama yako. sasa siyo vizuri kunyooshea kidole maeneo/makabila mengine, wakati sote tunataabika na utawala mbaya wa CCM.
..mwenzako alikuja hapa akalalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za kutumikia ktk uongozi. akaongeza kwamba hata nafasi za ufisadi mmepunjwa, kana kwamba ufisadi ni jambo la kujivunia.
..tumemuonyesha hapa kwamba Watanzania toka Usukumani na Unyamwezini ambao walishika madaraka makubwa ktk taasisi nyeti hapa Tanzania.
..wakati mwenzako analalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za uongozi, wewe unaibuka unadai mlipewa nafasi hizo lakini hiyo ilikuwa ni hujuma kwenu.
..pia nimesikitishwa sana na kitendo chako cha kutoa maneno ya dharau kwa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa "Simba wa Vita." binafsi nadhani inabidi ujipange upya na urudi ukiwa umetulia kidogo. hii lugha na madai uliyoyatoa would make some ppl uncomfortable and not willing to associate with you.
NB:
..kwa taarifa yako Paul Bomani aliwahi kushika nafasi nyeti ya Waziri wa Fedha, kabla hajateuliwa Balozi Marekani.
..pia Paul Bomani hakuwahi kushindwa uchaguzi na hivyo kulazimika kuondoka wizara ya Fedha? wenye kumbukumbu naomba mnisaidie.
..jaribu kuwabana wabunge wa Usukumani na Unyamwezini ili wakusanye nguvu za wananchi kuleta maendeleo huko.
..pia Wabunge wengine huko ni matajiri[Diallo,Masha,Salum Khamis Salum,..] wakubwa, haitakuwa vibaya kama watajitolea kusaidia na kuchangia maendeleo.
..Wabunge kama Selelii nao wajitahidi kuandika project proposals na kutafuta wafadhili kwa miradi mbalimbali, siyo kusubiri kupiga kelele kwenye vikao vya bunge. huyu anapaswa kuiga mfano wa mpiganaji mwenzake Anna Kilango ambaye juzi amechangisha milioni 300 kwa chama cha wakulima wa tangawizi jimboni kwake.
..bora ungeanza kuwashika mashati Wasukuma na Wanyamwezi wenzako kuliko kuporomosha lawama to the rest of us kwa matatizo yanayolikabili taifa zima.
..Tanzania nzima ina matatizo kama hayo uliyoyazungumzia kwamba mnayo huko Usukumani na Unyamwezini.
..Chunya na Mererani wameachiwa mashimo wakati madini yao yametoweka. Tanga wameachiwa mapori pale yalipokuwa mashamba ya mkonge, maeneo ya Kusini zao la korosho liliporomoka kutokana na operesheni vijiji. Kilimanjaro wanalia vyama vya ushirika vilivunjwa na kuwatia umasikini, Mbeya,Rukwa,Songea,Morogoro "big 4 regions" wanadai wao ndiyo wanaolisha lakini hawaoni maendeleo etc etc.
..utaona kwamba kila eneo la Tanzania, infact kila kabila, likiamua linaweza kutoa madai kama yako. sasa siyo vizuri kunyooshea kidole maeneo/makabila mengine, wakati sote tunataabika na utawala mbaya wa CCM.
..mwenzako alikuja hapa akalalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za kutumikia ktk uongozi. akaongeza kwamba hata nafasi za ufisadi mmepunjwa, kana kwamba ufisadi ni jambo la kujivunia.
..tumemuonyesha hapa kwamba Watanzania toka Usukumani na Unyamwezini ambao walishika madaraka makubwa ktk taasisi nyeti hapa Tanzania.
..wakati mwenzako analalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za uongozi, wewe unaibuka unadai mlipewa nafasi hizo lakini hiyo ilikuwa ni hujuma kwenu.
..pia nimesikitishwa sana na kitendo chako cha kutoa maneno ya dharau kwa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa "Simba wa Vita." binafsi nadhani inabidi ujipange upya na urudi ukiwa umetulia kidogo. hii lugha na madai uliyoyatoa would make some ppl uncomfortable and not willing to associate with you.
NB:
..kwa taarifa yako Paul Bomani aliwahi kushika nafasi nyeti ya Waziri wa Fedha, kabla hajateuliwa Balozi Marekani.
..pia Paul Bomani hakuwahi kushindwa uchaguzi na hivyo kulazimika kuondoka wizara ya Fedha? wenye kumbukumbu naomba mnisaidie.
..jaribu kuwabana wabunge wa Usukumani na Unyamwezini ili wakusanye nguvu za wananchi kuleta maendeleo huko.
..pia Wabunge wengine huko ni matajiri[Diallo,Masha,Salum Khamis Salum,..] wakubwa, haitakuwa vibaya kama watajitolea kusaidia na kuchangia maendeleo.
..Wabunge kama Selelii nao wajitahidi kuandika project proposals na kutafuta wafadhili kwa miradi mbalimbali, siyo kusubiri kupiga kelele kwenye vikao vya bunge. huyu anapaswa kuiga mfano wa mpiganaji mwenzake Anna Kilango ambaye juzi amechangisha milioni 300 kwa chama cha wakulima wa tangawizi jimboni kwake.