Wanyamwezi na wasukuma

Makoye2009,

..bora ungeanza kuwashika mashati Wasukuma na Wanyamwezi wenzako kuliko kuporomosha lawama to the rest of us kwa matatizo yanayolikabili taifa zima.

..Tanzania nzima ina matatizo kama hayo uliyoyazungumzia kwamba mnayo huko Usukumani na Unyamwezini.

..Chunya na Mererani wameachiwa mashimo wakati madini yao yametoweka. Tanga wameachiwa mapori pale yalipokuwa mashamba ya mkonge, maeneo ya Kusini zao la korosho liliporomoka kutokana na operesheni vijiji. Kilimanjaro wanalia vyama vya ushirika vilivunjwa na kuwatia umasikini, Mbeya,Rukwa,Songea,Morogoro "big 4 regions" wanadai wao ndiyo wanaolisha lakini hawaoni maendeleo etc etc.

..utaona kwamba kila eneo la Tanzania, infact kila kabila, likiamua linaweza kutoa madai kama yako. sasa siyo vizuri kunyooshea kidole maeneo/makabila mengine, wakati sote tunataabika na utawala mbaya wa CCM.

..mwenzako alikuja hapa akalalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za kutumikia ktk uongozi. akaongeza kwamba hata nafasi za ufisadi mmepunjwa, kana kwamba ufisadi ni jambo la kujivunia.

..tumemuonyesha hapa kwamba Watanzania toka Usukumani na Unyamwezini ambao walishika madaraka makubwa ktk taasisi nyeti hapa Tanzania.

..wakati mwenzako analalamika kwamba Wasukuma na Wanyamwezi mmenyimwa nafasi za uongozi, wewe unaibuka unadai mlipewa nafasi hizo lakini hiyo ilikuwa ni hujuma kwenu.

..pia nimesikitishwa sana na kitendo chako cha kutoa maneno ya dharau kwa Mzee Rashidi Mfaume Kawawa "Simba wa Vita." binafsi nadhani inabidi ujipange upya na urudi ukiwa umetulia kidogo. hii lugha na madai uliyoyatoa would make some ppl uncomfortable and not willing to associate with you.

NB:

..kwa taarifa yako Paul Bomani aliwahi kushika nafasi nyeti ya Waziri wa Fedha, kabla hajateuliwa Balozi Marekani.

..pia Paul Bomani hakuwahi kushindwa uchaguzi na hivyo kulazimika kuondoka wizara ya Fedha? wenye kumbukumbu naomba mnisaidie.

..jaribu kuwabana wabunge wa Usukumani na Unyamwezini ili wakusanye nguvu za wananchi kuleta maendeleo huko.

..pia Wabunge wengine huko ni matajiri[Diallo,Masha,Salum Khamis Salum,..] wakubwa, haitakuwa vibaya kama watajitolea kusaidia na kuchangia maendeleo.

..Wabunge kama Selelii nao wajitahidi kuandika project proposals na kutafuta wafadhili kwa miradi mbalimbali, siyo kusubiri kupiga kelele kwenye vikao vya bunge. huyu anapaswa kuiga mfano wa mpiganaji mwenzake Anna Kilango ambaye juzi amechangisha milioni 300 kwa chama cha wakulima wa tangawizi jimboni kwake.
 
Nilipoanzisha thread hii ya Wasukuma na wanyamwezi nilijua what will happen!Contributors wachache hasa from small tribes wamesema ukabila etc!Ukiangalia makabila makubwa ya Tanzania hayana ukabila kabisa!Huwezi kulinganisha makabila makubwa ya Uganda na Kenya.Historia inaonyesha kuwa pale wakoloni walipofika mwanzo ,ndio makabila hayo yananyodo sana!

Facts zimewekwa vizuri na Bw Makoye!Machimbo ya almasi,geita ,wingi wa pamba,na hata wingi wa mchele toka mkoa mkavu kama shinyanga!
CCM imejitahidi kuua upinzani katika mikoa hii!Kwa Shinyanga mtu aliyekuwa anataka
kuchallenge status quo alikuwa Bob Makani ,lakini CCM walimzima.

CCM imecheza kete vizuri ,maana miaka yote,ma DC,DED,RC ni makabila ya kuja ndio yametawala mikoa hiyo.Sasa elimu ndio inaua mikoa hiyo ,hakuna Varsity or University College!Kuna watu hapa wanacheza na Ukabila card!I am not!
Tunakwenda na facts!i am really fed up!Mikoa hii inachangia GDP kubwa ya taifa ,
lakini viongozi wote wanatake for granted!
 
Wazee hivi mnaonaje tukijitenga na kuanzisha nchi yetu? Hawa jamaa wanatudharau na kutudhurum wakiturudisha nyuma kimaendeleo! Tukilala babu zetu watazidi kuwa maskini huku almasi na dhahabu zikitoka kwetu, tupiganieni sukumaland.
 
mwanamasala said:
CCM imecheza kete vizuri ,maana miaka yote,ma DC,DED,RC ni makabila ya kuja ndio yametawala mikoa hiyo.Sasa elimu ndio inaua mikoa hiyo ,hakuna Varsity or University College!Kuna watu hapa wanacheza na Ukabila card!I am not!
Tunakwenda na facts!i am really fed up!Mikoa hii inachangia GDP kubwa ya taifa ,
lakini viongozi wote wanatake for granted!

Mwanamasala,

..hivi ukiletewa majina ya ma-DC,ma-DED,na ma-RC, ukakuta kwamba hawapangiwi maeneo waliyozaliwa utasemaje?

..pia kwa miaka mingi KAHAWA ilikuwa ikileta mapato zaidi ya PAMBA.

..matatizo ya Mwanza,Tabora,Shinyanga, yanawakabili Watanzania wa maeneo mengine mengi tu.

..maadamu umesema unakwenda na facts labda ungeziwakilisha hapa ili na wengine tujiridhishe.
 
Wazee hivi mnaonaje tukijitenga na kuanzisha nchi yetu? Hawa jamaa wanatudharau na kutudhurum wakiturudisha nyuma kimaendeleo! Tukilala babu zetu watazidi kuwa maskini huku almasi na dhahabu zikitoka kwetu, tupiganieni sukumaland.

Tukijitenga tutaendelea kujitenga.

Kwanza tutanza Wasukuma na Wanyamwezi, then wanyantuzu nolo kwengela kwa Ng'wanamalonde kwenuko, a nbamnho ba MaMalampaka kwenuko bakwengile mu Sukumaland.

Haiiishi hii division, tutafika mpaka kwenye koo na familia.
 
tukijitenga tutaendelea kujitenga.

Kwanza tutanza wasukuma na wanyamwezi, then wanyantuzu nolo kwengela kwa ng'wanamalonde kwenuko, a nbamnho ba mamalampaka kwenuko bakwengile mu sukumaland.

Haiiishi hii division, tutafika mpaka kwenye koo na familia.

blue ray now u sound exactly like nyerere although u despise him.why?
 
blue ray now u sound exactly like nyerere although u despise him.why?

I despise the negatives and cult of personality around Nyerere.

I will not hesitate to hold common grounds with Nyerere's views if I deem that appropriate (by the way, I don't sound like Nyerere, rather we sound the same, big difference) .

Mimi simkatai mtu au kumkubali mtu outright, nakubali na kukataa ideas.Sasa katika hili la umoja, hili ni la msingi, tena mimi nitaenda mbali zaidi ya utaifa ku promote the brotherhood of mankind.Lakini the moment Nyerere atakapotumia preventive detention act kwa kisingizio cha kulinda umoja na usalama wa taifa huku kwa ukweli kabisa akiwa anaendekeza totalitarianism, mimi nitampinga sana tu.

It is not personal, it is political.
 
i despise the negatives and cult of personality around nyerere.

I will not hesitate to hold common grounds with nyerer's views if i deem that appropriate (by the way, i don't sound like nyerere, rather we sound the same, big difference) .

Mimi simkatai mtu au kumkubali mtu outright, nakubali na kukataa ideas.sasa katika hili la umoja, hili ni la msingi, tena mimi nitaenda mbali zaidi ya utaifa ku promote the brotherhood of mankind.lakini the moment nyerere atakapotumia preventive detention act kwa kisingizio cha kulinda umoja na usalama wa taifa, mimi nitampinga sana tu.

It is not personal, it is political.

with all due respect blueray.......
I think kuna kitu hapa very interesting....
Unasema u dont sound like nyere but u sound the same....
Its like unazungumza kama one big figure kwenye siasa za tz..
Ha ha ha.

Next time utasema nyerere sounds like u.

Anyway hiyo brotherhood of mankind in what way???
Kiuchumi unazungumziaje???????

I mean huoni umuhimu wa kuwafuata wachina kwenye economic
policies.??????
 
with all due respect blueray.......
I think kuna kitu hapa very interesting....
Unasema u dont sound like nyere but u sound the same....
Its like unazungumza kama one big figure kwenye siasa za tz..
Ha ha ha.

Next time utasema nyerere sounds like u.

Anyway hiyo brotherhood of mankind in what way???
Kiuchumi unazungumziaje???????

I mean huoni umuhimu wa kuwafuata wachina kwenye economic
policies.??????


Kama Nyerere ana derive principles zake za umoja kutoka katika African order of harmony, Catholicism na Fabian Socialism na mimi nina derive principles za umoja kutoka the African family, New Age Buddhism na antidisestablishmentarianism, how can I sound like Nyerere? the statement carry with it the assumption that I got my ideas from Nyerere, which is far from the truth, this is why I said I don't sound like Nyerere, rather we agree on that, we sound the same. I was not trying to be big, I was trying to show you that Nyerere does not have a trademark on these ideas and these ideas were there even before Rome, Athens , Damascus, Memphis, Babel and the times of Gilgamesh!

It is a bit like the fellow who was told "You look like Denzel Washington" and his answer was "How do you know that Denzel doesn't look like me?"

Brotherhood of mankind in the admittedly Selassian utopia to be pursued but never attained in it's transcendence of artificial barriers to a worldwide oneness, barriers such as nationalities, tribes, religion culture etc.

Kiuchumi naizungumzia kama a bigger market with a bigger potential and less barriers to doing trade.Hawa wanaotaka Mwanza/ wasukuma /wanyamwezi iwe nchi tofauti hawafikirii kwamba ingawa wana uroho wa kuona watapata almasi za Mwaddui na dhahabu za Kahama, bado wadigo wa Tanga na Wazaramo wa Dar watawabana kwenye bandari na kuwatoza kodi kibao, kwa hiyo the more you do away with these artificial barriers the better trading environment you create, so this is actually more practical than it comes across.Wazungu washaungana huko EU, sisi tunataka kutengana watutafune vizuri zaidi kwa kukosa bargaining power hata hii ndogo ambayo supposedly tunayo sasa?

wachina hawana economic policies zao sasa hivi, wame adopt fre market, kwa hiyo kabla ya kujibu swali niulize, do you mean economic policies za free market? Au unamaanisha a political-economy system that is lopsided like that of the Chinese? Politically totalitarian but economically somewhat free? If so, isn't this what we are mimicking without much success now?
 
Tukijitenga tutaendelea kujitenga.

Kwanza tutanza Wasukuma na Wanyamwezi, then wanyantuzu nolo kwengela kwa Ng'wanamalonde kwenuko, a nbamnho ba MaMalampaka kwenuko bakwengile mu Sukumaland.

Haiiishi hii division, tutafika mpaka kwenye koo na familia.

Ebana na wewe wa nyumbani nini?
 
Ebana na wewe wa nyumbani nini?

Heeee, namhala!

Pye mashiku utamanile? nene nokwona weta mamihayo sakala ga kwisunda gete aleho ule munho wa kaya gete, abise bamna Ng'wanza twamanwile kweta chiza munumba. ite chiza.

Gotta brush up my Sukuma son.
 
kama nyerere ana derive principles zake za umoja kutoka katika african order of harmony, catholicism na fabian socialism na mimi nina derive principles za umoja kutoka the african family, new age buddhism na antidisestablishmentarianism, how can i sound like nyerere? The statement carry with it the assumption that i got my ideas from nyerere, which is far from the truth, this is why i said i don't sound like nyerere, rather we agree on that, we sound the same. I was not trying to be big, i was trying to show you that nyerere does not have a trademark on these ideas and these ideas were there even before rome, athens , damascus, memphis, babel and the times of gilgamesh!

It is a bit like the fellow who was told "you look like denzel washington" and his answer was "how do you know that denzel doesn't look like me?"

brotherhood of mankind in the admittedly selassian utopia to be pursued but never attained in it's transcendence of artificial barriers to a worldwide oneness, barriers such as nationalities, tribes, religion culture etc.

Kiuchumi naizungumzia kama a bigger market with a bigger potential and less barriers to doing trade.hawa wanaotaka mwanza/ wasukuma /wanyamwezi iwe nchi tofauti hawafikirii kwamba ingawa wana uroho wa kuona watapata almasi za mwaddui na dhahabu za kahama, bado wadigo wa tanga na wazaramo wa dar watawabana kwenye bandari na kuwatoza kodi kibao, kwa hiyo the more you do away with these artificial barriers the better trading environment you create, so this is actually more practical than it comes across.wazungu washaungana huko eu, sisi tunataka kutengana watutafune vizuri zaidi kwa kukosa bargaining power hata hii ndogo ambayo supposedly tunayo sasa?

Wachina hawana economic policies zao sasa hivi, wame adopt fre market, kwa hiyo kabla ya kujibu swali niulize, do you mean economic policies za free market? Au unamaanisha a political-economy system that is lopsided like that of the chinese? Politically totalitarian but economically somewhat free? If so, isn't this what we are mimicking without much success now?


sasa blue ray....
Huoni nyerere was right kuwafuata wachina....
In the end today china wamefanikiwa against all odds...
Kuhusu free market.....wameanza ku adopt baada ya kufaidika
na sera zao za kulinda na kufunga soko lao for years,,,,,

sisi lazima tulinde soko letu first...
Halafu tufungue taratibu.......

All in all nyerere was right kilichokosekana ni deng wa tanzania,,,,,yeye alikuwa mao wa tz,,,,,how about that...???
 
Heeee, namhala!

Pye mashiku utamanile? nene nokwona weta mamihayo sakala ga kwisunda gete aleho ule munho wa kaya gete, abise bamna Ng'wanza twamanwile kweta chiza munumba. ite chiza.

Gotta brush up my Sukuma son.

Chuuu...gashi ule mna Ng'wanza.....nale natamanile nkoi. Natogwa ugumana geke uli ugukaya. Ilibonekana duli bhinge gete ahenaha. Ila abhana Ntuzu nalibona ite bhinghe un'gunumu...nale nene du.

See, my pops insisted that I learn Sukuma and they never used any other language at home. So I can say my Sukuma is pretty darn good!
 
Chuuu...gashi ule mna Ng'wanza.....nale natamanile nkoi. Natogwa ugumana geke uli ugukaya. Ilibonekana duli bhinge gete ahenaha. Ila abhana Ntuzu nalibona ite bhinghe un'gunumu...nale nene du.

See, my pops insisted that I learn Sukuma and they never used any other language at home. So I can say my Sukuma is pretty darn good!

Same here, complete with the mentioning of family names on greetings and the whole protocol of who is Ng'wa guku, who greets who, the works. But Larry King and Isaac Asimov interfered and demanded an equal share on the limited brainpower, that's where I learned some of my oft misunderstood multitracking.
 
Same here, complete with the mentioning of family names on greetings and the whole protocol of who is Ng'wa guku, who greets who, the works. But Larry King and Isaac Asimov interfered and demanded an equal share on the limited brainpower, that's where I learned some of my oft misunderstood multitracking.

But you know what's strange...? I used to get laughed at for speaking "kilugha"...Like let's say if had friends over at the house and my pops or moms is back from work...I had to greet them in Sukuma...you know the ng'wadela..ng'wa bhaba etc...I used to get so embarassed speaking "kilugha" in front of my friends coz later they'd laugh at me.

But now...looking back...I'm glad they (parents) taught me.
 
But you know what's strange...? I used to get laughed at for speaking "kilugha"...Like let's say if had friends over at the house and my pops or moms is back from work...I had to greet them in Sukuma...you know the ng'wadela..ng'wa bhaba etc...I used to get so embarassed speaking "kilugha" in front of my friends coz later they'd laugh at me.

But now...looking back...I'm glad my I they (parents) taught me.

To me Kisukuma is not Kilugha by any means, it's up there with Swedish in terms of the number of speakers, so anybody who think of this as kilugha doesn't know his/her demographics. And apart from that, even if the demographics were not that huge, this is about culture and anybody who doesn't know their culture is a slave of sorts. Ni ushamba fulani uliochanganyika na utoto. To me it was more about "I know my tribal language, do you know yours?".

Ulughalugha unakuja unaposhindwa kuoperate VCR ku dub tape ya Yo MTV Rap na "The Cosby Show" na "It's a Different World" (remember Dwayne Wayne?) ambayo umeazimwa kwa masaa mawili tu kabla washashi wa mtaa wa pili hawajakugongea kuitaka. lol.

Throwback to the early nineties

kadeem-hardison-as-dwayne-wayne.jpg
 
Tukitaka kujitenga wasukuma/wanyamwezi tutataka kujitenga tena kwa misingi hii

BaNyatuzu
BaNyamwezi
BaSukuma
BaNg'weli (Toka Geita)
Bamnha Nasa
Bamna Masanza
Bamna Busumabu (Toka Kwinba)
Bamna Ngwanza (Toka Bugalika)
Bageshi
BaNg'wagala
 
To me Kisukuma is not Kilugha by any means, it's up there with Swedish in terms of the number of speakers, so anybody who think of this as kilugha doesn't know his/her demographics. And apart from that, even if the demographics were not that huge, this is about culture and anybody who doesn't know their culture is a slave of sorts. Ni ushamba fulani uliochanganyika na utoto. To me it was more about "I know my tribal language, do you know yours?".

Ulughalugha unakuja unaposhindwa kuoperate VCR ku dub tape ya Yo MTV Rap na "The Cosby Show" na "It's a Different World" (remember Dwayne Wayne?) ambayo umeazimwa kwa masaa mawili tu kabla washashi wa mtaa wa pili hawajakugongea kuitaka. lol.

Throwback to the early nineties

kadeem-hardison-as-dwayne-wayne.jpg

Oh yeah I concur with you and that's why I'm so proud of myself now for being able to speak the launguage. How many people do you know who call themselves Chagas or Sambaas but can't utter a word in their language.

Ilikuwa ni utoto tu na kudhani Kiswahili au Kiingereza ndizo lugha za watu walio sophisticated kumbe wala sio hivyo. Kwangu mimi lugha zote ni sawa in terms of functionality kwa sababu zinawezesha watu kuwasiliana katika jamii waishiyo.

NB: Dwayne Wayne na A Different World ni mid to late eighties bana...sio early nineties
 
Wasukuma na Wanyamwezi ni mafundi sana wa Kuandika/kuongea na wengi wao wana elimu nzuri sana......tatizo lenu kubwa ni kwenye action.........ubinafsi umewazidi...nafikiri ukichukua idadi ya watu matajiri nchini over 50% utakuta wanatokea huko........Mwanza/Tabora/Shinyanga.........akina Rupia, Masha, Bomani, Rostam, Chenge, Shindika na wengine weengi tu.......tena ndio WAFADHILI WAKUBWA WA CCM....lol

Sisi wachagga pamoja na mambo mengine, tunapotaka uongozi.....ni kweli inakuwa kwa ajili ya maendeleo yale wananchi wanayataka.......just mcheck Ngawaiya)......tena huwa tunakuwa na malengo.......hatuendi kichwa kichwa..........kiongozi usipotimiza unapigwa chini.........PERIOD.......unaona Mama Kilango anavyohangaika hivi sasa kutimiza malengo aliyojiwekea yeye na wananchi wake.......thats just an example...........

tena usipojenga kule kwetu ndio inakuwa balaa......wananchi hata hawakuangalii usoni..........nyie endeleeni kupiga kisukuma/kinyamwezi.........my friend Mkuu Masanja......hebu fanyeni kweli basi
 
Wasukuma na Wanyamwezi ni mafundi sana wa Kuandika/kuongea na wan elimu nzuri sana....tatizo lenu kubwa ni kwenye action.........ubinafsi umewazidi...nafikiri ukichukua idadi ya watu matajiri nchini over 50% utakuta wanatokea huko........Mwanza/Tabora/Shinyanga.........

Sisi wachagga pamoja na mambo mengine, tunapotaka uongozi.....ni kweli inakuwa kwa ajili ya maendeleo yale wananchi wanayataka.......just mcheck Ngawaiya)......tena huwa tunakuwa na malengo.......hatuendi kichwa kichwa..........kiongozi usipotimiza unapigwa chini.........PERIOD.......unaona Mama Kilango anavyohangaika hivi sasa kutimiza malengo aliyojiwekea yeye na wananchi wake.......thats just an example...........

tena usipojenga kule kwetu ndio inakuwa balaa......wananchi hata hawakuangalii usoni..........nyie endeleeni kupiga kisukuma/kinyamwezi.........my friend Mkuu Masanja......hebu fanyeni kweli basi

Overly licentious, shamefully presumptive, almost childish in simplicity, laughably parochial and criminaly oversimplified.
 
Back
Top Bottom