Wanyamwezi na wasukuma

Tangu uhuru makabila haya yamepigwa chini na makabila madogo madogo!Maendeleo ya mikoa yao yako chini sana,ingawa natural resources nyingi zinatoka huko.Kisiasa tangu akina James Mapalala,Kasanga Tumbo,
Chief Fundikira na Chief Makwaia wapigwe chini na Nyerere ,mikoa hiyo haina uwakilishi kabisa katika maamuzi ya serikali.

Ukiangalia mafisadi wengi wanatoka makabila madogo madogo!Wapinzani wa serikali pia ni kutoka makabila madogo.Mpaka haya makabila yaibuke ,yaseme enough is enough,ufisadi na stupidity ya nchi yetu utaendelea milele.Tujadili!!!!!!!!!!!!!!!!

Wewe MWANZA hakuna maendeleo au maendeleo ya MWANZA yapo chini! Acha hizo bana! Wasukuma wanamaendeleo sana tu! Bado ule uwanja kuwa Internationa Airport
 
Hawa wasukuma ni watani wangu hawa wa JADI, hahaha kuna jamaa tuna fanya nae kazi ni wa huko mwanza hahaha jamaa ana simu kama nne hivi halafu zote za KICHINA, akiongea hana sound proof ni kelele tupu haha majigambo ndo nyumbani pale. KUna siku nilikuwa na my wife wangu Bar flani kule mitaa ya Kibamba, wife alikuwa na rafiki yake pale, akaja msukuma mmoja hivi, alipomwona wife jamaa udenda ulimtoka sana alidhani ni mtoto wa kitusi akaanza kunadi sera zake, mara ooh nna magari ya mafuta yanaenda kongo kumbe jamaa ni dereva tuu, rafiki ya wife alipoona jamaa anataka kuharibu akatutambulisha kwake fasta, jamaa aliposikia jina langu akagundua kumbe kuna mtani wake pale akaamua kutolea hasira eti MTANI HUNA AKILI WEWE KABISA UKO BAA NA UNAKUNYWA SODA, wote kwenu hamna akili hahahaha nilicheka sana. Msukuma mwingine huyu mwanajeshi nilikuwa kwenye dala dala mitaa ya Upanga karibu na Red Cross anamponda mwalim eti Nyerere mjinga sana alituogopa wasukuma, ama laa leo watanzania wote tungekuwa tunazungumza kisukuma, yeye akaona wasukuma wataendelea sana akaamua kuleta lugha ya kijinga hii ya watu wa pwani, eti kwa kuwa wasukuma ni wengi basi angehalalisha LUGHA yao kutumika, Mjeshi anasema mimi ningekuwa mwalimu nafundisha kisukuma sasa hahahaha watu wacha wacheke.
Mazee Nchi hii ni tajiri kila kona sio kwa wasukuma na wanyamwezi peke yao, lakini wenye dhamana ya uongozi ktk taifa hili hawajali maslahi ya taifa hata kidogo, Km una kumbu kumbu mwaka 2007 km sikosei kuna sehemu Tanga wananchi waligundua GOLD wakawa wanachimba, serikali ikawatimua eti wamevamia hifadhi ya MISITU- sasa hivi ukifuatilia unaweza kuta kuna mtu keshaweka fence eneo hilo anavuna raslimali zetu taraatibuu.Na hata ile Hoteli ya Che Nkapa Kule wilaya moja hivi Tanza wanasema imejengwa juu ya madini huko ndani ya Hoteli kuna machimbo mjanja ana siphoned to rasilimali zetu. Kuler Morogoro matombo huko kuna RUBY-Tunduru kule madini kibao nchii hii imebarikiwa mkuu, Cha mwisho tuache UKABILA JAMANI
 
Na mimi nikianza kumwaga cha nyumbani........!!!?,I am civilized man.

chu! bhebhe ngalu, uliyomba ubustaarabu yaya guyomba ja mukaya? lekagi bhagosha.....chu! nalema gete.....neyo nahaya gukolwa!
 
Chenge alipowajibishwa wasukuma si mlimpokea kwa ngoma? Ama kweli ni ukarimu. Haya sasa mafisadi mnawachagua wenyewe halafu mnalalama.
 
Tangu uhuru makabila haya yamepigwa chini na makabila madogo madogo!Maendeleo ya mikoa yao yako chini sana,ingawa natural resources nyingi zinatoka huko.Kisiasa tangu akina James Mapalala,Kasanga Tumbo,
Chief Fundikira na Chief Makwaia wapigwe chini na Nyerere ,mikoa hiyo haina uwakilishi kabisa katika maamuzi ya serikali.

Ukiangalia mafisadi wengi wanatoka makabila madogo madogo!Wapinzani wa serikali pia ni kutoka makabila madogo.Mpaka haya makabila yaibuke ,yaseme enough is enough,ufisadi na stupidity ya nchi yetu utaendelea milele.Tujadili!!!!!!!!!!!!!!!!

Umetumia vigezo gani kupima maendeleo ya usukumani na unyamwezini?
Acha ukabila.
 
Bibi yangu aliniambia kuwa walikuwa hawasagi mahindi mashineni kisa eti unga utanuka chuma. Ni kweli kabisa kwani mashine hupoteza ladha na kuongeza halufu kwenye unga.Hizo ndio mila zetu wasukuma,ukikuta wasukuma wanakula hakuna kusalimiana wewe nawa anza kula baada ya hapo salamu. lyangwi debe
 
chu! bhebhe ngalu, uliyomba ubustaarabu yaya guyomba ja mukaya? lekagi bhagosha.....chu! nalema gete.....neyo nahaya gukolwa!


Aise,hii thread imenifurahisha kweli kweli. Nene nali nsukuma kamo,ontuzu ku ba Chenge namhala o vijisenti na Cheyo namhala o kujaza watu mapesa!!!

Nimem-quote Ameoba maana amenifurahisha sana alivyonyambulisha kikwetu pale. Yaani ngalu Ameoba nimesoma nikaona kama niko Ntuzu kabisa.

Ok ngoja na mimi nichangia thread hii kama ilivyoanza. Kwamba huko Usukumani na Unyamwezini maendeleo hakuna tangu uhuru au kiswahili cha kisukuma/kinyamwezi MAENDELEO KUDUHU!

Huu ni ukweli ambao mtu yeyote mwenye busara,hekima na akili hawezi kuupinga. Hivi ni nani asiyejua kuwa DHAHABU NA ALMASI ya nji hii inatoka kanda ya Ziwa kwenye mikoa inayokaliwa na Wasukuma na Wanyamwezi kwa maana ya Mwanza,Shinyanga na Tabora? Tunajua Mara nako Dhahabu ipo lakini huko ni kwa Wakurya bwana. Bado mikoa hii ina utajiri wa mazao ya kilimo kama PAMBA, kuna MINOFU ya samaki wa Ziwa Victoria, kuna Ng'ombe wamejaa kwenye mazizi lakini maendeleo KUDUHU(hamna)!

Sasa ninachotaka kusema ni kwamba utajiri huu wa madini hauinufaishi mikoa hii ya WASUKUMA NA WAMYAMWEZI. Mikoa hii ndiyo yenye barabara mbovu kuliko mikoa yote ya Tanzania,ukija kwenye shule za sekondari(IV na VI) hakuna kitu pale. Labda hizi za KATA za mheshimiwa JK na waalimu wake wanaoitwa Vodafasta.

Barabara nzuri za lami na shule nyingi za sekondari pamoja na High school baada ya uhuru zilijengwa mikoa ya Kaskazini kwa maana ya Kilimanjaro, Arusha na Tanga. Yaani serikali ilikuwa inahamisha raslimali za Wasukuma na Wanyamwezi kwenda kuendeleza Mikoa ya watu wengine.

Ndiyo maana sera ya CHADEMA ya MAJIMBO mimi niliipenda maana ina sema kila mkoa au eneo husika linatajitegemea kiuchumi kwa maana ya kutumia raslimali zilizoko kufanya maendeleo muhimu. Kwa sera kama hii basi mikoa ya WASUKUMA na WANYAMWEZI ingelikuwa ni ULAYA!!!

Ndiyo maana nchi kama USA zimeendelea kwa kutumia sera kama hii. Lakini hapa TZ sera kama hii inaonekana ni ya kubagua maeneo kitu ambacho si kweli kwa maana bado raslimali hii iliyoko kwenye eneo husika itagawiwa kwa maeneo ambayo hayana kabisa.

Kwa wale wanaosema kuwa Wasukuma ni mafsadi sikubaliana nao. Sina haja ya kupiga kelele sana lakini wanaweza kujifunza toka kwa Spika wa VIWANGO NA MWENDO Mheshimiwa Sam Sitta mbunge wa URAMBO kwa Wanyamwezi!!!

Nitaendelea.
f
 
Na ukiangalia vizuri haya maadili yanatupeleka kubaya sisi wasukuma
1. Wabunge wetu wakimya kuliko
2. Hawana ushirikiano mfano wangeunda uomja wa kanda ya Ziwa ili kuongelea
hayo Makoye2009 aliyoyaongelea hapo juu.

Uzuri wa wabunge wetu ni wa zee wa ndhoho tabu
 
Namaanisha..siku nyingi sana....tulikuwa tukiimba wimbo huo na marehemu mama pamoja na kucheza...tuki "timba" miguu chini....

May God rest her soul in Peace.

R., kumbe na wewe wa nyumbani?

Poa ile mbaya!, jamani, sorry If I reminded you of sad times....

Lakini yea, that's how they dance it, kupiga miguu chini.

Poa.
 
Duh sasa na kisukuma kimeingia humu sasa kazi, yalio pita yamepita hatuwezi kukumbuka yaliyo tendeka nyuma ili watu wajikwamue kimaendeleo tutaweza kusababisha mgongano na mvutano tu, hapa cha msingi ni kusonga mbele kwani sasa wasukuma na wanyamwezi wamesha pata wasomi wengi na wazalendo ambao wanaweza kulibadilisha hili.
 
Invisible,
Ukabila ukiongelewa haugawi watu...lakini udini mmmm! mnachekesha sana nyie mnaojiita MODs
 
Invisible,
Ukabila ukiongelewa haugawi watu...lakini udini mmmm! mnachekesha sana nyie mnaojiita MODs

Lawama hii kwa Invisible haina msingi. Ukabila umeongelewa katika level ipi kwenye thread hii na members wameitikia vipi kuhusiana na swala lililoletwa? Na kwa upande wa dini unaotaka kufananisha na haya yaliyoletwa hapa, ni thread ipi au hoja ipi ya kidini ambayo unataka kufananisha na hii kwenye kugawa watu? Tafadhali naomba link kama ipo ili kuisoma. Ahsante.
 
chu! bhebhe ngalu, uliyomba ubustaarabu yaya guyomba ja mukaya? lekagi bhagosha.....chu! nalema gete.....neyo nahaya gukolwa!

Kisukuma chako kinaonyesha wewe ni mnyantuzu kabisaaaaaaa. Si kweli! Alikolwa tubone?
 
Wewe naye!!!!, ukabila ndio utaleta maendeleo Tanzania na Africa, najua utabisha lakini ni kwakuwa haujafungua mabano kwa fikra...pole.
 
Huyu jamaa hajaeleweka maana kama wasukuma kwenye utawala wako kibao,na mafisadi wako kibao akina diallo,chenge.nk
 
njooni Kilimanjaro mjifunze nini maana ya maendeleo..............tumeni wajumbe tutawafundisha
 
Back
Top Bottom