Wanyamwezi na wasukuma

Wanyamwezi na wasukuma

Ni binadam kama mimi na wewe, na wameumbwa kwa mfano wa Mungu... hiyo si sifa tosha?
 
Wasukuma wachapakazi sana na wana upendo. Wanyamwezi wavivu, wapiga majungu na hawana maendeleo kabisa, wengi wakija mjini huwa mashoga.
 
Wasukuma wachapakazi sana na wana upendo. Wanyamwezi wavivu, wapiga majungu na hawana maendeleo kabisa, wengi wakija mjini huwa mashoga.
Jamaniiiiii haki mbavu sina. Naomba mnyamwezi ajibu hapa, hii haiwezi kubaki hivi. loh!
 
Jamaniiiiii haki mbavu sina. Naomba mnyamwezi ajibu hapa, hii haiwezi kubaki hivi. loh!

Mimi ni Mnyamwezi; majungu hata sijui kuyapika. Nitakupa live whenever there is a need! Ni mchapakazi na nina Award za kutosha; nina akili na ninajitambua pia!
 
Wasukuma wachapakazi sana na wana upendo. Wanyamwezi wavivu, wapiga majungu na hawana maendeleo kabisa, wengi wakija mjini huwa mashoga.

Upendo mliouonesha Igunga kwa magamba eeh! We both know that majority ya wanaojiita wanyamwezi wa Igunga ni Wasukuma!
 
Hawapendi unafiki, hawacheki na wewe mchana ili wakuroge usiku, nyingine ni kama alivyosema NN, boneka!
 
Hawana la kujibu hata wenyewe wanajua nimeongea ukweli mtupu. Wanapenda sana u mwinyi na usultani.

Sidhani ni vyema kuwaita waswahili wa Isevya; kanyenye na ng'ambo kuwa ni wanyamwezi ni sawa na kusema waswahili wa Ujiji ndio waha! Wanyamwezi wako Sikonge kama walivyo waha Kibondo na Kasulu!

Hao waswahili ndio wanaopenda umwinyi Kama wasukuma wa ngokolo shinyanga na wasukuma wa bukene!
 
Back
Top Bottom