Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Tuna akili sana.
Tuna maguvu sana.
Wasichana wetu ni wa ukweli.
Tunapenda sana nyama.
Tunapenda sana viazi.
Umesahau Mbowhoto! Sijui nimepatia spelling?
Tuna akili sana.
Tuna maguvu sana.
Wasichana wetu ni wa ukweli.
Tunapenda sana nyama.
Tunapenda sana viazi.
Narudia mimi ni Mnyamwezi na ninajijua!
na mnajulikana. Ofisini mna sumu kali zaidi ya nyoka. Wachonganishi sana nyie
Sikubaliani nawe hata chembe! Ofisini kwetu tuna mnyantuzu mmoja ni kichomi the whole Ofisi!
Come on sina vita na wasukuma coz narelate nao sana; lkn sioni kosa la msukuma mmoja au wawili ndio inajudge tabia za wote! Na siamini sana kuhusu makabila na tabia rather ni individual na tabia or a smaller community na tabia! Nyamwezi is a big tribe to generelize; unajua kuna vijikabila vingapi within that kabila? And this happen to many big kabilas!
jamani naomba kufahamishwa.
mada zakujadili makabila huwa sizipendi!
Nafahamu ya wanyamwezi:wanapendelea kula viporo zaidi..
wanyantuzu sio wasukuma, wale ni wanyarwanda
Mimi ni Mnyamwezi; majungu hata sijui kuyapika. !
nawapenda sana wanyamwezi.
nawapenda sana wanyamwezi.
usije ukadhani tunazungumzia Wamarekani weusi! Hawa wa Tabora ni hopeless kabisa.
very hopeless mkuu,usije ukadhani tunazungumzia Wamarekani weusi! Hawa wa Tabora ni hopeless kabisa.
Tuna akili sana.
Tuna maguvu sana.
Wasichana wetu ni wa ukweli.
Tunapenda sana nyama.
Tunapenda sana viazi.