makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,219
JokaKuu
Nashukru kwa kunielewa katika baadhi ya vipengele kwenye postings zangu.
Kusema kuwa Urais haumaanishi maendeleo si kweli. Kama Rais atakaa pale Ikulu kwa miaka 5 au kumi halafu tusione maendeleo basi huyo hatufai.
Ni kweli Nyerere ametawala taifa hili kwa miaka 24 hakuleta maendeleo si Butiama wala Tanzania yote. Wewe unategemea kweli kwa sera za siasa ya Ujamaa na Kujitegemea zingeweza kuleta maendeleo yeyote kwao Butiama au Taifa hili??Joka Kuu huwezi kunishawishi kuwa Rais hahusiani na Maendeleo ya nchi husika iwe Tanzania au nchi yeyote duniani.
Tunamshukru Nyerere kutuletea Uhuru na mambo mengine kama umoja na mshikamano. Lakini hili la Maendeleo Baba wa Taifa mimi ninampa below average. Kila Mtanzania anajua Tanzania imeanza kubadilika economically and Politically baada ya Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi(rtd president) al-maarufu Mzee Ruksa.
Amekuja Mkapa akazama kwenye Utandawizi ikawa kila kitu ni kubinafisisha au kwa lugha nyingine kugenisha kila kitu. Kwa hiyo Mkapa alizama kwenye kujinufaisha mwenyewe na wawekezaji.Hata Mkapa huko kwao Nanyumbu nasikia hajajenga hata nyumba. Nasikia alikuwa akienda likizo anafikia nyumba ya ma-padre! What a shame. Lakini the same president nasikia ana nyumba sijui kama kajenga au kanunua a very executive house huko Lushoto kwa Wasambaa. Pengine na huko kwa wakwe zake Kilimanjaro.
Kwa hiyo mimi nasema Rais ni chachu ya maendeleo,anaweza aidha akajenga au akaharibu kabisa uchumi wa nchi. Hivo bado narudi kwenye point yangu kuwa hulka ya mtu inaweza ika-contribute a lot economically and politically.
Hapo mwanzo nilisema kuwa Wasukuma na Wanyamwezi ni watu waadilifu,waaminifu na Wachapa kazi. Kwa hiyo siku wakipewa nafasi ya kuingia pale Ikulu wanaweza kubadilisha mambo. Tuna watu wachapa kazi wazuri kama kina John Pombe Magufuli Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo. Unategemea mtu kama huyu akipewa Ikulu kutakuwa na ubabaishaji? Magufuli ame-prove kwamba anaweza ku-fit any Ministry kwa maana hiyo anaweza kukaa hata Ikulu.
Tuna kina Dk. William Shija,ambaye sasa yuko Uingereza kama Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuia ya Madola. All these are prominent figures from the Sukuma and Nyamwezi tribes!!!!
Mheshimiwa Sitta ni kweli amekuwepo kwenye madaraka katika karibu awamu zote tangu enzi za Mwalimu. Sitta hana ufisadi wa aina yoyote labda kama unataka kumzushia au kumpakazia. He is clean na ni mchapa kazi mzuri tu na ndiyo maana sasa hivi anaendesha Bunge letu kisomi kwa slogan ya "Standard and Speed)si ubabaishaji kama wa kina Pius Msekwa(mkara!). Spika ambaye alikuwa very biase kwa CCM against Upinzani. That is not democracy at all.
We need people who can bring changes to our country. Hatutaki blaa blaa,ubabaishaji na usanii mwingi. We want changes now not tomorrow,we have the people who can bring those changes. These people are Sukumas and Nyamwezis.
Habari ya kwamba Wabunge wa mikoa ya Shy,Mza na Tbr hawajaleta maendeleo siyo kweli mheshimiwa Joka Kuu. Hawa wabunge wana-fight sana bungeni kwa ajili ya Mandeleo katika mikoa yao lakini serikali inawatilia kauzibe. Utakumbuka kwenye kikao cha Bunge la Bajeti mwaka huu. Kulitolewa hoja nzito sana na Mheshimiwa Selelii kuhusu Barabara ya Segera-Chalinze. Kuwa barabara hiyo iko kwenye kiwango cha lami lakini ilikuwa imeanza kupanuliwa tena iwe 2 ways. Selelii akahoji inakuwaje barabara ya lami iendelezwe kupanuliwa ilhali kuna barabara zilishapigiwa kelele Bungeni tangu enzi za Mwalimu ziwekwe lami lakini mpaka leo hakuna lami. Kila Bajeti hakuna fedha. Na hii ni kwa mikoa hiyo tu ya Wasukuma na WANYAMWEZI. Mikoa mingine ya kina Shukru Kawambwa na kina Pesambili Mramba(fisadi) fedha ya kujenga na kupanua mabarabara kwenye maeneo yao ipo...!!!!Why???Kwanini???
Nashukru kwa kunielewa katika baadhi ya vipengele kwenye postings zangu.
Kusema kuwa Urais haumaanishi maendeleo si kweli. Kama Rais atakaa pale Ikulu kwa miaka 5 au kumi halafu tusione maendeleo basi huyo hatufai.
Ni kweli Nyerere ametawala taifa hili kwa miaka 24 hakuleta maendeleo si Butiama wala Tanzania yote. Wewe unategemea kweli kwa sera za siasa ya Ujamaa na Kujitegemea zingeweza kuleta maendeleo yeyote kwao Butiama au Taifa hili??Joka Kuu huwezi kunishawishi kuwa Rais hahusiani na Maendeleo ya nchi husika iwe Tanzania au nchi yeyote duniani.
Tunamshukru Nyerere kutuletea Uhuru na mambo mengine kama umoja na mshikamano. Lakini hili la Maendeleo Baba wa Taifa mimi ninampa below average. Kila Mtanzania anajua Tanzania imeanza kubadilika economically and Politically baada ya Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi(rtd president) al-maarufu Mzee Ruksa.
Amekuja Mkapa akazama kwenye Utandawizi ikawa kila kitu ni kubinafisisha au kwa lugha nyingine kugenisha kila kitu. Kwa hiyo Mkapa alizama kwenye kujinufaisha mwenyewe na wawekezaji.Hata Mkapa huko kwao Nanyumbu nasikia hajajenga hata nyumba. Nasikia alikuwa akienda likizo anafikia nyumba ya ma-padre! What a shame. Lakini the same president nasikia ana nyumba sijui kama kajenga au kanunua a very executive house huko Lushoto kwa Wasambaa. Pengine na huko kwa wakwe zake Kilimanjaro.
Kwa hiyo mimi nasema Rais ni chachu ya maendeleo,anaweza aidha akajenga au akaharibu kabisa uchumi wa nchi. Hivo bado narudi kwenye point yangu kuwa hulka ya mtu inaweza ika-contribute a lot economically and politically.
Hapo mwanzo nilisema kuwa Wasukuma na Wanyamwezi ni watu waadilifu,waaminifu na Wachapa kazi. Kwa hiyo siku wakipewa nafasi ya kuingia pale Ikulu wanaweza kubadilisha mambo. Tuna watu wachapa kazi wazuri kama kina John Pombe Magufuli Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo. Unategemea mtu kama huyu akipewa Ikulu kutakuwa na ubabaishaji? Magufuli ame-prove kwamba anaweza ku-fit any Ministry kwa maana hiyo anaweza kukaa hata Ikulu.
Tuna kina Dk. William Shija,ambaye sasa yuko Uingereza kama Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuia ya Madola. All these are prominent figures from the Sukuma and Nyamwezi tribes!!!!
Mheshimiwa Sitta ni kweli amekuwepo kwenye madaraka katika karibu awamu zote tangu enzi za Mwalimu. Sitta hana ufisadi wa aina yoyote labda kama unataka kumzushia au kumpakazia. He is clean na ni mchapa kazi mzuri tu na ndiyo maana sasa hivi anaendesha Bunge letu kisomi kwa slogan ya "Standard and Speed)si ubabaishaji kama wa kina Pius Msekwa(mkara!). Spika ambaye alikuwa very biase kwa CCM against Upinzani. That is not democracy at all.
We need people who can bring changes to our country. Hatutaki blaa blaa,ubabaishaji na usanii mwingi. We want changes now not tomorrow,we have the people who can bring those changes. These people are Sukumas and Nyamwezis.
Habari ya kwamba Wabunge wa mikoa ya Shy,Mza na Tbr hawajaleta maendeleo siyo kweli mheshimiwa Joka Kuu. Hawa wabunge wana-fight sana bungeni kwa ajili ya Mandeleo katika mikoa yao lakini serikali inawatilia kauzibe. Utakumbuka kwenye kikao cha Bunge la Bajeti mwaka huu. Kulitolewa hoja nzito sana na Mheshimiwa Selelii kuhusu Barabara ya Segera-Chalinze. Kuwa barabara hiyo iko kwenye kiwango cha lami lakini ilikuwa imeanza kupanuliwa tena iwe 2 ways. Selelii akahoji inakuwaje barabara ya lami iendelezwe kupanuliwa ilhali kuna barabara zilishapigiwa kelele Bungeni tangu enzi za Mwalimu ziwekwe lami lakini mpaka leo hakuna lami. Kila Bajeti hakuna fedha. Na hii ni kwa mikoa hiyo tu ya Wasukuma na WANYAMWEZI. Mikoa mingine ya kina Shukru Kawambwa na kina Pesambili Mramba(fisadi) fedha ya kujenga na kupanua mabarabara kwenye maeneo yao ipo...!!!!Why???Kwanini???