Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Mafeminist naona washalala baada ya kupigaa ngonjeraa za kumpoteza dada wa watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sema dada tulia na ndoa yakooo lasivyo utapataa tabuu sanaaaa walimwengu hawafaiii...!! Atakwambia achana na mumeoo kisa kacheat yeye huku ndoa yake mumewe ana watoto wa nje kabisaa lakini anakomaa tuu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee toka hapaaaah, tunampa ushauri murua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana kaka mimi niko radhi niitwe majina yote lakini siko tayari kuhandle stress za mtu mzima tena anayenikosea makusudi kabisa

Eti cheating is inevitable, woii si bora nitafute pesa nizunguke duniani nikichoka nife tu nijue moja.

Halafu cha kushangaza badala mtafute namna muache ndiyo kwanza mnatulazimisha wanawake tuvumilie, yaani mmefanya kama kucheat ni kitu ambacho mtu hawezi kuacha ana akiacha atakufa.
Yaani hapo huyo mwanaume anaekulazimisha uvumilie ndio mjinga,na kukubali kuvumilia wakati huna amani moyoni na unaumia ni ujinga nao pia. Sijawahi,wala siwezi kumlazimisha mtu avumilie pasipo na upendo. Anapotaka tu aondoke
 
Haya tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtamponzaaa
Tuponze kwa kipi, hebu acha jamaa m1 huko nje ale kimasikhara mke wa mtu, km vile mume wa mtu aivyokula kimasikhara binti m1 huko nje. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dadangu nimekwambia mruhusu mumeo aoe mke mdogo ili ukae mlee tu watoto wenubasi. Wanaume sisi asili yetu ni polygami, hata mm nna mke ila nna wanawake wako mikoa tofauti, nnapoishi nna mmoja dar mmoja mwanza mmoja na bukoba mmoja owte ni wanawake wangu and wanajuana na wote wana watoto wangu na ninawajibika kwao na kila mtu ana nyumba yake sio ya kupanga nimewajengea in case heta nikitangulia mbele za haki wanangu wasiteseke. And still I am 39 years now. Wanawake wangu wananipenda sana huwa nawakusanya kila skukuu tunafurahia pamoja na wanangu. Hiyo ndo style nloamua kuishi na wote wamekubaliana na mm
We ni genius
 
Mie siondoki, mbna wee ulipoanza hukuondoka? Tunakaa wote hapa ila kila mtu akatafute furaha na amani nje.
Kusema ni rahisi, vinginevyo unataka ununuliwe gunia la mkaa😂🤣😂!
👇
Wimbo uliobora 8:6-7
...Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.

Hivyo wapendwa msilete masihara ktk Mambo haya...ni magumu Sana hasa kwa wanaume kuyavumilia!
Tumia njia mbadala wa ku'review' utundu wako na kuongeza kujali mbona utamfanya Kila siku atulie kwako tu!
 
Mie siondoki, mbna wee ulipoanza hukuondoka? Tunakaa wote hapa ila kila mtu akatafute furaha na amani nje.
Kusema ni rahisi, vinginevyo unataka ununuliwe gunia la mkaa😂🤣😂!
👇
Wimbo uliobora 8:6-7
...Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.

Hivyo wapendwa msilete masihara ktk Mambo haya...ni magumu Sana hasa kwa wanaume kuyavumilia!
Tumia njia mbadala wa ku'review' utundu wako na kuongeza kujali mbona utamfanya Kila siku atulie kwako tu!
 
Mie siondoki, mbna wee ulipoanza hukuondoka? Tunakaa wote hapa ila kila mtu akatafute furaha na amani nje.
Kusema ni rahisi, vinginevyo unataka ununuliwe gunia la mkaa😂🤣😂!
👇
Wimbo uliobora 8:6-7
...Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.

Hivyo wapendwa msilete masihara ktk Mambo haya...ni magumu Sana hasa kwa wanaume kuyavumilia!
Tumia njia mbadala wa ku'review' utundu wako na kuongeza kujali mbona utamfanya Kila siku atulie kwako tu!
 
Ni ngumu sana mwanaume kuwa na sehem moja tuu ya kuchomeka dubwana lake.Ijue formula hii itakusaidia sana.

Kikubwa uheshimiwe tuu. wanaume hawaachi kucheat.
 
Ili upate sehemu ya kujiliwaza. Maisha yenyewe mafupi
Hahaaaa ndo manake, utajisikia muruaaaa
Kwani Nani anataka mtu huyo huyo kila siku ma by the way hata ukiwa mwema kwake vipi ataendelea tu na utaumia.
Mind your own business fanya yanayokufurahisha tuuu
Moyo wa mwanamke haunaga reverse enjoy your lifee
 
"sisi wanume wote" is such a strong word. Things are not the same and i dont think they will ever be. Kama unaelewa maana ya ndoa lakini.
Sasa ww bishana na mchangiaji! Ukweli ndo huo, duniani hutapata mume wako tu, wanaume ndivyo tulivyo, hatuwezi kuwa tunakula mboga ile ile kila siku tukirudi home, lazima tubadili, tunatofautiana tu namna za kuficha siri ili wake wasijue, ndo maana ukiwa legelege kwenye kuficha siri unakamatwa.
Alinikamata wife na picha za mchepuko za lodge ndoa ikiwa na miaka2 na miezi8, baada ya hapo hajawahi kunikamata tena hata na msg, miaka sasa! Ni upgrade mbalimbali tu zinatumika kwenye mfumo wa ufichaji siri
 
Kusema ni rahisi, vinginevyo unataka ununuliwe gunia la mkaa😂🤣😂!
👇
Wimbo uliobora 8:6-7
...Na wivu ni mkali kama ahera. Mwako wake ni mwako wa moto, Na miali yake ni miali ya Yahu.

Hivyo wapendwa msilete masihara ktk Mambo haya...ni magumu Sana hasa kwa wanaume kuyavumilia!
Tumia njia mbadala wa ku'review' utundu wako na kuongeza kujali mbona utamfanya Kila siku atulie kwako tu!
Hamna hata ufanye Nini wanaume Ni selfish sanaa, esp kashajionea. Kama aliona amepunguza utundu kwanini asiongee nae warekebishe waenjoy
Na tangu nianze kucheat inawasaidia Nini zaidi ya kuharibu furaha za familia, kusababisha wake zenu roho mbaya na kuishi na nyie kwa kujihami(kuficha hela)
Na akipata mtu akamtongoza akiwaza ushamcheat anakubali fastaaa tofauti na asingekuw anajua umecheat
Enjoy your life baby hawanaga jemaaaa
 
Sasa ww bishana na mchangiaji! Ukweli ndo huo, duniani hutapata mume wako tu, wanaume ndivyo tulivyo, hatuwezi kuwa tunakula mboga ile ile kila siku tukirudi home, lazima tubadili, tunatofautiana tu namna za kuficha siri ili wake wasijue, ndo maana ukiwa legelege kwenye kuficha siri unakamatwa.
Alinikamata wife na picha za mchepuko za lodge ndoa ikiwa na miaka2 na miezi8, baada ya hapo hajawahi kunikamata tena hata na msg, miaka sasa! Ni upgrade mbalimbali tu zinatumika kwenye mfumo wa ufichaji siri
Wanawake ndo wanataka mhogo huo huo kila siku?? Ukute hata round mbili huwez kila siku unakuja umechoka
We tafuta hela tushibe vijana wa boda wapige show za ukweli wakati upo busy kwa mchepuko ukirudi mwepesiiiiiii
 
Back
Top Bottom