Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Kama unakwenda kuishi mwenyewe sawa.ila kama unakwenda kujaribu kitafuta mwanaume wa ndoto zako,my dear kunywa maji tu ulale.

Binafsi yupo mama namfahamu,na huwa namsifu kwa moyo wake wa chuma,alipogundua mzee amedaka mwanamke mwingine na amelowea huko,hata kazini anatafutwa,alimtema mbali na kuwa alikuwa na watoto wanne wadogo.

Mama huyo yupo mpaka leo maisha yananedelea na watoto wameshakuwa watu wazima kila mtu na maisha yake.
Kuolewa sio lazima lakini hainizuii kuolewa.
Msikariri maisha nyie.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani babe we unaupenda udhindhi?

We jichetue tu, nakuangalia ujue!!!
Mi hata sipendi, napenda na wewe tuu[emoji23][emoji23]
 
Hivi huwa wanafikiri wao wanatutosheleza kwa kila kitu eeh? Ni vile tu tunawapenda na kuwaheshimu basi tunawalindia tu heshima. Wasijitoe ufahamu.
Wanaume waliooa ni vinara wa kuchepuka, na kwako hata hakufanyi vizuri unaishia kumhurumia tu yeye na mkewe.
Wanaume wengi na stress hizi za maisha wanavumiliwa tu, pia huku Africa umalaya wa mwanaume ni prestige, Kuna wanaume hawasimamishi Ila michepuko kila corner shoga angu yeye michepuko yake alikuwa anawachezea hawawezi kitu Yani kikubwa alichoangalia hela tu.
Kikubwa mtu jipende nafsi yako hii kujifanya penda mtu waweza kufa siku si zako
 
Katafute kuridhishwaa alafu talaka ikuhusu ukaridhishwee vizuriii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani Mimi najali basi as long as I was happy and enjoyed I don't care kabisa, Mimi naishi kwa principles zangu I don't care about what other people think about me. Mimi ka kitu hakinipi furaha Cha Nini jamani.
 
Kama msemaji wa wanaume Tanzania(Tanzania men's official spokeman)
Swala lako tumelijadiri kwa kina na limetulia muda mwingi Sana tumetoa mapendekenzo ya awali

1 Ndugu mjumbe akuombe msamaha ndani ya week mbili mfululizo yani (frequently)

2Ndugu mjumbe awahi saa moja nyumbani kwaajiri yako na watoto hii inaoption ya kuchelewa ikiwa umemwagiza sehemu kadha wa kadha akupatie mrejesho kila baada ya dkk 5

3kwa iman yenu mumkaribishe Mungu kwenye familia yenu kwa kufunga na kusali ili ikafanyike baraka na amani ,samehe Saba Mara 70 ujiweka karibu na Mungu wetu mwenye kusamehe

4kwa unyenyekevu mkubwa umoja wetu pamoja na wajumbe wa mkutano na mkuu wa itifaki pamoja na kurugenzi ya habari pamoja na bodi ya wanaume Tanzania (TMB) tunamuombea msamaha wa dhati Ndugu mjumbe kwani hakuna mkamilifu duniani na kwa hakika amekukosea sana pia kosa si kosa kosa kurudia kosa

5 na wee shemeji Sasa msamehe mwenzio aishi kwa amani eee mnawatoto ujue

Imetolewa na @tanzaniamen'spokeman

Pia kurugenzi ya mawasiliano,bodi ya wanaume (TMB) kupitia
@tanzaniamen'spokeman
Inawatakiwa wajumbe wote na familia zao na taifa kwa ujumla Eid Mubarak
 
Mke wangu anafanyaje hivi????? Anataka kushindana na mimi??? Uliwahi sikia mwanamke kaolewa ndoa mbili kwa wakati mmoja?? Ebu acheni ufeminist...
Feminist kwan kipi? Kumbe kwako inauma eeeeh? Bas na mwenzio anaumia vile vile same to u, anaeua kwa upanga nae atakufa kwa upanga.
Kwan unavopanda mbegu za mahindi unategemea kuvuna mpunga? Khaaaaaah toka hapaaaah.
 
Uwiii sipati picha ingekuwa mke ndio kacheat[emoji134][emoji134][emoji134]
Angeitwa majina yooote, ila hapa mwanaume anatetewa eti ndio ubinadamu huo. Kwani wanawake sio binadamu? Mbona wao wanajitahidi kuwatunzia heshima!!!
Mtu hata afanye wape eti sisi sio upendo tamaa, kah wakati hata wao hutofautiana taste kuanzia kujali Hadi tendo.
Halafu wameungana wote hapa kumnafikia kah, dada usiachane na mumewe mpuuze utafte kidumu tofauti na wewe uridhike muendelee na life, na usirudie kumpa moyo mtu yoyote
 
Utakuwa sio rijali babe, maana wanasema rijali lazima uchovye chovye kila mahali.
Kwa hiyo ninavyokufanya kumbe hata sijafika kunako[emoji2307][emoji2307][emoji2307]. Kuchovya sio sababu ya urijali, mtu unaweza kuonyesha urijali wako kwa mkeo/mumeo bila hata kutoka nje. Wapo kibao hawaridhishi ndani, hawaridhishi nje, basi tu ili mradi waonje zote wanazoziona.
 
Kwa hiyo ninavyokufanya kumbe hata sijafika kunako[emoji2307][emoji2307][emoji2307]. Kuchovya sio sababu ya urijali, mtu unaweza kuonyesha urijali wako kwa mkeo/mumeo bila hata kutoka nje. Wapo kibao hawaridhishi ndani, hawaridhishi nje, basi tu ili mradi waonje zote wanazoziona.
Babe kunywa fanta pasheni hapo lipia halafu utanidai hiyo mia5, ila kama vipi unaweza tu ukaamua usinidai[emoji85][emoji8][emoji8]
 
Unampaga jicho? Jitafakari huenda unambania kitu alichokifata nje ya ndoa. Pigana mama umsikilize mumeo
Wanaume tuliumbiwa utoto fulani kwenye akili kuhusu mapenzi.... Tunapenda vikolombwezo vidogovidogo ambavyo ni vya ajabuajabu ujue
 
Kwani Mimi najali basi as long as I was happy and enjoyed I don't care kabisa, Mimi naishi kwa principles zangu I don't care about what other people think about me. Mimi ka kitu hakinipi furaha Cha Nini jamani.
Jiongeleshee tuu...! Ukipewaa talaka ndo utajua hujuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata uliecheat nae anarudi kwa mke wake labda kama ni kiben ten
 
Mtu hata afanye wape eti sisi sio upendo tamaa, kah wakati hata wao hutofautiana taste kuanzia kujali Hadi tendo.
Halafu wameungana wote hapa kumnafikia kah, dada usiachane na mumewe mpuuze utafte kidumu tofauti na wewe uridhike muendelee na life, na usirudie kumpa moyo mtu yoyote
Mbona umekazania sana achepuke?? Kwani akiomba talaka kuna shida gani? Yani wewe solution yako ni kuchepuka na atiwe mimba tu!
 
Pole Dada !

Kukosea kupo.
Jamaa amekosea na kaomba msamaha, sisi wanaume kuomba msamaha sio rahisi, umeumizwa sawa, umia lakini samehe.

Tiba ya moyo wako iko katika kusamehe kwako. Si kweli kwamba huwezi kusamehe, unaweza. Sio rahisi lakini unaweza. Jitahidi samehe.

Nakuhakikishia inawezekana kusamehe na kurudi katika huba hata zaidi ya mwanzo.

Tumia hii changamoto kuclaim huba na furaha ya ndoa yako. Make him feel that what he did was wrong, that you are the Queen and he is all yours. Mungu kawapendelea hii nguvu wanawake- Itumie. Claim your husband back, get him in your arms and treat him like a King.
Mbona wanaume sisi wepesi tu.
Don't let the devil win! Be smart and God will help you.

Nakutakia ndoa yenye furaha.
 
Mbona umekazania sana achepuke?? Kwani akiomba talaka kuna shida gani? Yani wewe solution yako ni kuchepuka na atiwe mimba tu!
Sio nyie huwa mnasema kuchepuka kunaleta heshima ya ndoa? Mnaonaje nae akaitafuta hii heshima?
 
Back
Top Bottom