ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,767
- 127,850
[emoji23][emoji23]kauli zangu zisikuchanganye sana, tabia iko pale pale.Na iwe hivyo kaka [emoji23][emoji23]
Maana kauli zako zingine huwa zinanifikirisha [emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23]kauli zangu zisikuchanganye sana, tabia iko pale pale.Na iwe hivyo kaka [emoji23][emoji23]
Maana kauli zako zingine huwa zinanifikirisha [emoji85][emoji85]
Hata sijui, au machalari au matoke sijui nini hasa inafanya koki imwage kwa nguvu[emoji39]Inabidi ninywe maji mengi eti
Wewe inabidi tufanye taratibu za kufunua kitabu kwanza[emoji23][emoji23]Najua Sana nasema ninacho kiishi mimi
Labda uwe umefuga marioo ila shababi hana masihara,kuna mawili kukutengua au kukupeleka ahera...mwanaume ni mwanaume tu hata kama mama ndio unatawala nyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nitashtukia ngumi eeeh labda sio Mimi na ukinigusa lazima ulale mahabusu ili ukome
Halafu mifano yao huchukulia kwa walio wazinzi lakini wale walio ishi kikamilifu kama Ayubu huwa hawazungumuziwi ila wale wazinzi wenzaoSiyo makusudi wakati wanaume wenzio humu kila siku wanasema mwanaume kuchepuka ni lazima hata mwanamke amfanyie nini na halafu ni wapi Mungu alisema amewaumba wanaume mshindwe kuwa na mwanamke mmoja?
Na kwahiyo mwanamke naye akichepuka utamvumilia tu maana ni shida na raha si ndiyo?
Na aliposema mwanaume awe na wanawake wengi ni wapi?ndio maana yake sasa utafanyaje inabidi uvumilie au kam vipi unafile divorce tu hamna namna utamlazimisha mtu mzima na kashaamua kufanya yake
alafu mungu pia hajasema mwanamme aishi na mke mmoja hata kwenye bible hamna iyo kitu
Hongera sana kwa kujitambua, waache wahangaike na wanawake wengi mwishowe wanaishia kupata tezidumeNdugu pole sana, nikuambie tu ukweli mumeo amekukosea amekuomba msamaha hivo katambua kosa lake, msamehe. Usipofanya hivo shetani unaemkaribisha ni mkubwa zaidi ya kucheat, utaumiza watoto wasio na hatia bure.
Kingine, usidanganyike et mwanaume haridhiki na mke mmoja, nimeoa nina mke mmoja na ninatosheka sana, hizo ni tamaa za shetani tu. Mungu awasaidie sana
Muulize huyo Selemani ni mtoto wa nani hata hajui, amekariri hapohapo kwenye wake wengi ndio atajua kilichompata baada ya hayo yote? Unajisumbua bure madame
Alafu unamtaja Allah kwenye ushauri wako wa hovyo kama huu....! Kwakweli ni hatari SanaNa wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
[emoji23][emoji23]kauli zangu zisikuchanganye sana, tabia iko pale pale.
I mean from no where tu mwanaume amwambie mwanamke sikutaki nimekuchoka nakupa talaka na mwanamke awe hajafanya kosa lolote.lazima mwanamke agomeKwamba hakuna wanawake wanaoinitiate suala la talaka?
Halafu mifano yao huchukulia kwa walio wazinzi lakini wale walio ishi kikamilifu kama Ayubu huwa hawazungumuziwi ila wale wazinzi wenzao
Ukiona hivyo ujue huu uzi hauni husu. Hakuna maisha mazuri na ya amani kwa sisi tulio oa kama kuto kucheat. Ila daah, acha tu,mwanamke mmoja hatoshi hatoshi, ila sababu ya uana ume wetu tunavumilia.Jurjani sijakuona kwenye uu Uzi unakula sikukuu Nini rafiki yangu, hafu mchoyo mbona hujanialika mwenzako
Yusuf wamtaje wapi, wakati uaminifu wake mpaka akawa PM nchi ya watu na mabwege wakamtumikia mie upuuzi huo siutaki kabisa, kama mtu ananitaka na nimzinzi akafie mbele na wazinzi wenzie huko!Si ndio hapo sasa. Watu kama kina Yusufu hawawatolei mifano ila kutwa kina Suleiman utafikiri Mungu aliwatuma kumbe walifanya kwa utashi wao.
ulisha wauliza hao wanawake kama walikuwa happy?kwakweli mwanaume kucheat sio jambo la makusudi mwanaume kutamani wanawake tofautitofauti ni asili mzungu tu ndo kaja kutuvuruga
alafu kwenye kuapa shida na raha ni kwa ujumla wake hawajasema kwenye magonjwa na umaskini tu
sema wanandoa hiyo phrase ya shida na raha naona wanaichukuliaga poapoa
alafu wanawake wa saivi sijui vipi mbona zamani wazee waliishi ndoa za wake wengi na mambo yakawa fresh tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unazungukaa sanaaa...!! Me sijasema kuoa wake wengi ndo kuliwafanya wawe juu kiimani au kuwainuaa..!! Pia Mungu hakuwahukumu kwa kosa la kuoa wake wengi isipokuwa mambo yao wenyewe mengineMkuu kwani haujui yaliyowapata hao as a result of wao kuwa na wake wengi?
Halafu unafikiri kwa sababu wao walifanya basi Mungu ndiyo alikuwa anasupport?
Yawezekana pia haujui kuwa kilichowabeba ni imani na hekima zao na si kuoa wake wengi!
Msiwe mnapenda kutolea mifano ya hao watu wakati story zao mmezisoma juu juu tu!
Unajua laana walizoachiwa baada ya hizo tamaa? Soma vizuri Bible kuna makosa yao kuna watu mpk leo wanalipaAbrahamu Baba wa Imani alichepuka na Mfanyakazi wakee...!!
Mtume alioa wanawake karibu 100...
Sulemani na hekima zake alikuwa na wanawake 1000...!!
Sasa nitajie mwanamke ambae aliwahi kuwa na wanaume japo wawili akabaki salamaaa...