Wanawake wanaumwa au wamerogwa?

Wanawake wanaumwa au wamerogwa?

Hahahahaa mwishoni huwa mnabaki na ile ya "" yeyote nitakae letewa na Mungu"
Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aisee [emoji1] sasa nasema hivi nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
 
Mwanaume akinipenda[emoji7]/akanijali/akaniheshimu
Huo ndio mvuto wangu/Degree/masters/urefu/uzuri/biashara ya maana ndio hio yani everything.
Mwanaume anaekupenda akakupa Attention zote hata akiwa John mad dog ni sawa [emoji44][emoji30] sasa awe mrefu ili umchongee jeneza au
 
Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aisee [emoji1] sasa nasema hivi nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
Anatafuta mke, rafiki changamkia fursa
yerickonyerere_BwKZXQ8BfqT.jpeg
 
Inaonesha kabisa tyr upo kwnye ndoa
tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
 
tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
tumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
ah weeeee labda kama wakufumbe macho

usimuone huyo muoaji maana

wasisahau kuziba na maskio yako maana unaweza usimuone muoaji

ila sauti ukiiskia ukajua huyu hela ipo huyu hela hamna,ana kitambi au hana

mwisho ukamkataaa

Hilo jambo haliwezekani labda tusubiri PEPA TWO laa uumbaji wa binadamu

Mungu anaweza muumba kiumbe wa hvyo uliyemuongele.a
 
SHIDA WAIKISHA OLEWA, WANAKUA NA JEURI SUGU, DHARAU ZA HOVYO HOVYO, NA KIBURI CHENYE KUTU. !!! WALIACHIKA AU KUWA NA NDOA NGUMU WANAKIMBILIA KUFANYA ZIARA ZA KUSHITUKIZA KWENYE MAKANISA YA MITUME NA MANABIII. WE UNAFIKIRI WOTE HAWAKUWAHI KUOLEWA PALE??? HALAFU WACHAGA WENGI KWELI
Hahahahahahaa wachaga mmemsikia huyu jamaa!!!?????
 
Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aisee [emoji1] sasa nasema hivi nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
Mimi nasubiri ule upepo unibebe unileta hapo, hata sijui unavumia wapi kwa sasa
 
Mwanaume akinipenda[emoji7]/akanijali/akaniheshimu
Huo ndio mvuto wangu/Degree/masters/urefu/uzuri/biashara ya maana ndio hio yani everything.
Mwanaume anaekupenda akakupa Attention zote hata akiwa John mad dog ni sawa [emoji44][emoji30] sasa awe mrefu ili umchongee jeneza au
Utaniretea mrejesho wa mvua itakayoshuka kwnye pm yako
 
Back
Top Bottom