reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,932
Hahaa umbuje hapa sitiii nineoooTuache mkuu na jumapili mkuje kwa wingi basi mlima wa moto mtuchague
Hahaa umbuje hapa sitiii nineoooTuache mkuu na jumapili mkuje kwa wingi basi mlima wa moto mtuchague
Hahaha ebu ongea chochote jamaniHahaa umbuje hapa sitiii nineooo
EwaaaaHahahha sitasahau
Nikajua uko kwa maombi ya kufunga na kuomba ili soon ushone sare na kucheza kwaito kwa shughuli yangu?
What's wrong babe
amini..amini.amini nakuambia..hakika upepo wa kisulisuli utaniangushia miguuni pako....nawew utakua umeokota ndizi chini ya mmbilimbiNaomba upepo wa kisulisuli ukikupiga ufanye kuniona mimi mkuu![]()
Maisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
Hahaaa mkuu usifanye masikhara na jua kuzama yaniHa ha nimecheka sana hii comment yako, hasa hapo ulipoanza ,,,,"sasa nasema hivi nimepunguza....
Endelea kupunguza isiwe joke.
vigezo vyote tupa kulee ili mradi me tu yatoshaaUonyeshe tuu dadiii dear, tupate muda wa kushona sare!Nikajua uko kwa maombi ya kufunga na kuomba ili soon ushone sare na kucheza kwaito kwa shughuli yangu?
Hallelujahamini..amini.amini nakuambia..hakika upepo wa kisulisuli utaniangushia miguuni pako....nawew utakua umeokota ndizi chini ya mmbilimbi
Km hatatoa Mahari yetu apite tuu na huo upepo wake. Haiwezekani akubebe km mweweHahaha ebu ongea chochote jamani
Maisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi





rudi ulipotoka 


Mkuu, ondoa hayo mabano mabaharia tuchungulie fursa tafadhali
, yaache hivo hivo mabaharia siyo husband material nyieeMaisha yangu yote nimewahi pata mpenzi m 1 tu ninaesema kweli YULE alikua mwanamke
Ni mwanamke tuliekua tukishindana kila mtu kumjali mwenzake
Leo nitamnunulia Kiatu,kesho atanletea vest kesho kutwa nitampa hela ya saloon
Sijakaa vizuri nimeletewa suprise ya Jeans,,ataniomba hela akaninunulie WALLET maana kaona niliyonayo imechakaa
Kesho yake nitaenda town ntamtungulia POCHI la maana
Nitamtoa out this week end,next week end ataniambia twende mahali nimealikwa na marafiki zangu
Tukifika kwakua nakua kama mgeni ataagiza everything mwisho atalipa BILL kisha ataniambia leo niliku suprise
Nilitaka nikutoe out mimi
Aseee yule mwanamke utamfanyia hiki atakulipa kwa kile With lots of love
Ila huwezi amini SISI WANAUME (hasa mimi) macho juu juu Nilimpoteza yule manzi
SASA HIVI NAKUTANA na vinguchiro Vinanikomesha hivyo Hela zinantoka na bado zinaendelea na sioni hata ahueni
Natafuta siku nikatubu MLIMANI sio kwa vi mauza uza hivi ninavyokutana navyo
Unakutana na kidada kinakupendaaa kinakuita bebe unakinunua/kifanyia kila kitu ila kenyewe kapo TU
walai dunia hii kuna wanawake na ma washi washi
[/QUOTE
Mkuu pole sana
Hahaaa, huu upepo utajuta safari hiiMimi nasubiri ule upepo unibebe unileta hapo, hata sijui unavumia wapi kwa sasa
