Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,839
Amina mkuu nimepokea huo unabii.!!Inaonesha kabisa tyr upo kwnye ndoa
Amina mkuu nimepokea huo unabii.!!Inaonesha kabisa tyr upo kwnye ndoa
Mwenyekititumekusikia mkuu, na sisi kwa moyo mkunjufu kabisa, huku tukiwa na heshima tele bila kusahau nidhamu ya khali ya juu, tunasema kuanzia sasa na hata milele, tupo tayari kuolewa na mwanaume yoyote yule anayevaa suruali haijalishi ameletwa na kisulisuli ama kimbunga..!
Ha ha mkuu muda ni mchache mambo ni mengi.Hahahah hautaki kungoja kisuri suri
Kamchukue bana, ndo alikuwa anakusubiria wewe apo! Unamkwamisha ujueSijui amekwama wap yule dada,,,,,nimeomba wanaosali nae wamtonye mana siwez kuingia mule...
Mh. Mbunge wa viti maalum, kabla sijajibu swali lako la nyongeza naomba kufahamishwa nimepewa uenyekiti wa nini..!! 😂Mwenyekiti
Naomba unitoe hapo kabisaa, mimi nasubiria upepo upite! Sitakii kuolewa bila dalili
Uenyekiti wa mlima wa moto!Mh. Mbunge wa viti maalum, kabla sijajibu swali lako la nyongeza naomba kufahamishwa nimepewa uenyekiti wa nini..!!![]()
Gauni ya batiki ya njano na kitambaa kichwani chekundu mkuuOkay ili nikujue vizuri utajifunga kilemba kidogo kichwani rangi chagua na uniambie hapahapa..
Mkuu, ondoa hayo mabano mabaharia tuchungulie fursa tafadhaliChungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aiseesasa nasema hivi nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)
Usisahau kile kiatu chekunduGauni ya batiki ya njano na kitambaa kichwani chekundu mkuu
😂 😂 😂Uenyekiti wa mlima wa moto!
Basi nimekupata kisulisuli wangu...Gauni ya batiki ya njano na kitambaa kichwani chekundu mkuu
huwezi amini
Utaniretea mrejesho wa mvua itakayoshuka kwnye pm yako
Hahahha sitasahauUsisahau kile kiatu chekundu
AmeeeenBasi nimekupata kisulisuli wangu...
Chungu ila ndyo dawa hamna jinsi ,nakumbuka nilikua na vigezo flani hivi si vingi sana ila siku zinavozidi kwenda najikuta napunguza tuu aiseesasa nasema hivi nimepunguza vigezo to zero nahitaji yeyote ili mradi awe jinsia me(joke)