Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Tena ni bora nisingezaliwa kabisa, dunia imejaa dhiki na stress za hovyo tu, kila leo namkufuru Mungu.
Wanyama wakituonaga,huwa wanatamani sana wangekuwa kama sisi ila basi tu Mungu alishapanga. Kuwa binadam ni bahati kubwa na inabid uishukuru bahati hiyo
 
Hakuna mwanamke aliyejifungua mtoto wa kwanza ki asili kwa uchungu halafu mwingine akajifungulia kwa epidural halafu akataka tena kujifungua kwa uchungu...
Nani anataka epidural? Mi siziamini sana zitakua na madhara makubwa sio.kila kitu kizuri kwa afya bora hayo maumivu tutayavumilia yanaisha na ni natural mwili unafanya kazi yake.
 
Mama sabrina looo pole shogangu yani ulivyoelezea yote yalinikuta mimi, mtoto alisukumwa na manesi watatu huku dokta naye anavuta jamani wanaume wangejuaga kwa kweli wasingeletaga dharau, acha mama aitwe mama, toka nitoke leba aisee nimekuwa mgumu balaa hata nipitie kitu gani sijui kama maumivu yake yatafikia ule uchungu.

Shikamoooni wamama jamn
Kitu kingine ni wakati wa kukata roho,hiki ndio kichungu zaidi kuliko
 
Mama sabrina looo pole shogangu yani ulivyoelezea yote yalinikuta mimi, mtoto alisukumwa na manesi watatu huku dokta naye anavuta jamani wanaume wangejuaga kwa kweli wasingeletaga dharau, acha mama aitwe mama, toka nitoke leba aisee nimekuwa mgumu balaa hata nipitie kitu gani sijui kama maumivu yake yatafikia ule uchungu.

Shikamoooni wamama jamn
Mi nilijuaga leba mtu anapigwa sindano ya ganzi kabla process haijaanza kumbe ni hivi hivi ,sipati picha
 
Kimsingi ni swala la mapokeo zaidi!
Watu walishatishwa kuwa uchungu unauma Kwa hiyo wakajiwekea vichwani mwao kuwa uchungu unauma sana!
Wengine kuanzia ujauzito wabadekaaaaa weeee mpaka kila Kwenye Nyumba anakereka!
Wengine wanakuwa mzigo hadi Kwa Waume zao!
Mimba ni Baraka Kwanini iwe Kama karaha Kwa family members?
 
Hata hivyo Kwa kuwa Haya ni mambo ya ndani ngoja nisiseme sana!
Nisije kuwa kama Msungo!
 
Wengine kuanzia ujauzito ni kudeka tu na wao!
Kwani mimba ni ugonjwa?
Wengine kupelekesha wanaume wao hata usiku mkuu anadai kula chips Kuku mara vile mara hivi, jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom