Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
Kwa kiasi fulani Yes.Hivi mjamzito asipofanya mapenzi kipindi chote cha ujauzito,anaweza akapata shida kujifungua?
Kwa kiasi fulani Yes.Hivi mjamzito asipofanya mapenzi kipindi chote cha ujauzito,anaweza akapata shida kujifungua?
Umecheka au umesikitika?[emoji46][emoji46][emoji46]
Hongera love [emoji4]Hapana. Mbona mi nilijifungua fresh tu
[emoji122][emoji122][emoji122] asee we mwanamkee...[emoji1][emoji1][emoji1]Nani anataka epidural? Mi siziamini sana zitakua na madhara makubwa sio.kila kitu kizuri kwa afya bora hayo maumivu tutayavumilia yanaisha na ni natural mwili unafanya kazi yake.
Asante darlingHongera love [emoji4]
MmmmmhKwa kiasi fulani Yes.
Ongera kwa kufuzu hilo somo. Ya tatu itachukua dk 10Nilijifunza ujauzito wa pili wala haikuchukua two hours nilikua nimeshajifungua nilipiga zoezi mwanzo mwisho na uchungu unakua wa haraka. Ila kuna complications zingine ziko nje ya uwezo wa mama
Unaijua ganzi kwanza chief [emoji1][emoji1][emoji1] alafu jiulize anachomwa wapi hiyo ganzi sasa!!?Mi nilijuaga leba mtu anapigwa sindano ya ganzi kabla process haijaanza kumbe ni hivi hivi [emoji15] [emoji15] ,sipati picha
Ya tatu tayari nilianza kuumwa saa moja asubuhi saa tatu nikawa nimejifungua so nimementain masaa mawiliOngera kwa kufuzu hilo somo. Ya tatu itachukua dk 10
Ndio raha ya kuwa Mwanaume hiyo chief [emoji41]-KULA KWA JASHO NA KUZAA KWA UCHUNGU.
-WANAUME TUMEUMBWA MATESO KUANGAIKA.
-MWANAMMKE MAUMIVU MASAA KAZAA LAKINI MWANAMME JASHO LINAMTOKA 24/7 365 DAYS.
Wabongo tunaweza. Tatzo ni miundo mbinu. Hauwez kuingia wakat kuna wanawake wa watu wanajifungua. Manake unaweza kukuta chumba cha kujifungua kina vitanda vi 4Watu weupe raha yao mwanaume anakuwepo kumshuhudia mkewe akipush lkn wabongo nani anaweza
Labda watoto, kuhusu wanaume mbona tunakuwaga nanyi kabisa labor mule [emoji38][emoji38]Tunahitaji mafundisho zaidi lakini siyo sehemu Za wazi Kama hizi ambako wanaume wanatusoma na watoto pia!
Kila ktk maisha kinahitajika mafundisho iki kiweze kufanyika Kwa usahihi !
Cajojo leo umenipa burudani kabisa [emoji4][emoji4][emoji4][emoji122][emoji122][emoji122]Hichi kitu kinafundishwa mpk shule kwenye level ya juu kwa waliochukua pcb sasa na darasani tunakuwepo wavulana na wasichana. Haya mambo yanatuhusu wake kwa waume maana hata leba mara nyingine wanazalisha wanaume. And kama sikosei humu hakuna under 18.
[emoji122][emoji122][emoji122]Sidhani kama kuna kitu kigeni chochote duniani, uchungu na leba ni mambo ya kawaida kabisa uliza wanaosomea udaktari, kwa dunia ya leo iliyoendelea watu watakushangaa kusema jambo kama hilo, ukiingia YouTube kunazo hadi video ya kuzaa.... Sasa sielewi unazungumzia siri katika muktaza gani
Zinakuwag kama miaka 100Tatizo huwa ni zile dakika 15 tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifanya nicheke[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmhh shikamooh mama mie nilivyoenda leba nasikia nilisema "uwiii wanaume wote wafe" manesi wakanijibu afe wa kwangu tu maana waume zao bado wanawapenda hahahhaha sitaki kusikia leba maana akili haikuwa yangu mweehh shkamooh mama
Mimi hapaWatu weupe raha yao mwanaume anakuwepo kumshuhudia mkewe akipush lkn wabongo nani anaweza
UsiogopeYan nimepitia comment zote nimeogopa ndo najiandaa kwenda kushika ujauzito wa jr ooooh jaman nimesisimka mwili kabisaaa
Like tu?
Nimeshindwa kuiexpress kwa emoji...ila machozi yamenitoka, huzuni + furaha + amani + faraja = hata sielewiiUmecheka au umesikitika?