Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Mama sabrina looo pole shogangu yani ulivyoelezea yote yalinikuta mimi, mtoto alisukumwa na manesi watatu huku dokta naye anavuta jamani wanaume wangejuaga kwa kweli wasingeletaga dharau, acha mama aitwe mama, toka nitoke leba aisee nimekuwa mgumu balaa hata nipitie kitu gani sijui kama maumivu yake yatafikia ule uchungu.

Shikamoooni wamama jamn
Sema shikamooni wanaume,ni wanaume wanaokupeni hiyo mizigo,bila wanaume sifa ya kuitwa mama msingeipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom