Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,821
Ahhaah mi nilimuambiaga marufuku kukanyaga hospitali ,,nikamchukia balaa lenyewe linalala usingizi mzuri mi nahangaika



Ahhaah mi nilimuambiaga marufuku kukanyaga hospitali ,,nikamchukia balaa lenyewe linalala usingizi mzuri mi nahangaika



nilimsindikiza wife nilichokiona tuwaheshimu wake zetu na wakina mama kwa ujumla.



ahaha mm nakumbka hapo saa 2 usk nipo hoi..nikamuita Dk wa kiume !nikamwambia nisikilize vzr nachoumwa maana manesi hawatak kunpa panadol!heehe nikamweleza nitabirie dk ntazaa saa ngapi!akaniambia ww utazaa saa 11!jaman yale maumiv hayafai jaman!niliumwa uchung toka saa 1 asbh nikajiopen saa 11 alfajir !nilipelekwa labor na mume wangu !jaman nilikuwa namuuma mgongon ananiambia mbiti unaniumiza mie sielew ktu! asbh naitwa jina langu mume kaja niletea uji jaman niliangusha kilio sio cha nchi hii !bas mwenzangu akawa anacheka tu!
nilianza kutembea fresh baada ya miez 2 nilikua natembea km narudi nyuma !nikaambiwa mtoto alikalia 'masozi 'za miguu !yaan huwa tunakumbshiana na Mr nacheka hatari !najipanga nirudi tuu tena siwez ishi bila ya bbygal jaman!



Mmmhh shikamooh mama mie nilivyoenda leba nasikia nilisema "uwiii wanaume wote wafe" manesi wakanijibu afe wa kwangu tu maana waume zao bado wanawapenda hahahhaha sitaki kusikia leba maana akili haikuwa yangu mweehh shkamooh mama


sorry nimecheka mana wenzio woote zimenitoa machozi....wewe umenichekesha na hayo majibu ya manesii 


hahaha nakuja hukoo nitoe ushuhudaNa sisi wanaume ngoja tukafungue yakwetu ya maumivu tuliyoyapata wakati wakufanyiwa tohara..tena bila ganzi
Shit hole go you tube uwaambiewanawake wa siku hizi shida tupu...... hii nini sasa.
nani asiyejua kuwa mnazaa kwa uchungu, hata kwenye biblia imeandikwa, sasa kuja kusimuliana humu ni kujikosea heshima wenyewe, wala haina maana, mnawadhalilisha wanawake wenzenu
Tena na wewe mimba ya Jr lazima ikusumbueYan nimepitia comment zote nimeogopa ndo najiandaa kwenda kushika ujauzito wa jr ooooh jaman nimesisimka mwili kabisaaa
Hahaha lkn raha ya kutafuta ela ni ujue kuzitumia na mtu unaempenda ss mm sioni kama kuna maumivu hapo chiefMngejua maumivu wanaume tunapata mnapotutenganisha na hela zetu wala msingeleta huu uzi.

poleni wanawake ila mliambiwa mtazaa kwa uchungu mlidhani Mungu anatania, hata sisi huku tunavyotafuta tunatafuta kwa jasho kweli kweli mle, mpendeze mfurahi na kuzaa pia.



Mm nadhani wanastahili hongera sana kuliko polePoleni sana wanawake..
Dunia imebadilika chief, tupo karne ya 21 tunakimbilia ya 22Mwanamke uliyefundwa huwezi kusema haya mambo hadharani
Ni eidha ulizaa ukiwa mwanafunzi/mwanachuo au umekuwa mama kabla ya wakati wako.
Vinavyofanyika/kutokea leba ni siri, kuvimwaga hadharani hapa ni kujivua nguo. Ndio maana hata manesi/wakunga hawavitoi nje.
Inapoteza uhalisia na laana ya ki asili ya kuwa mwanamke.atazaa kwa uchungu


yani sijui nikupe zawadi ganii Cajojo!
Jamani jamani jamani kila nikiingia leba naanza na neno nitatoka salama humu? Huwa nakata tamaa kabisaaa hasa maumivu ya mgongo na kiuno yakichachamaaa euwiiiììii huwa naomba msaada hata wa mtu asiehusika. Sitakaa nisahau mwanangu wa kwanza niliteseka uchungu siku 2 mpka muda wa ku push nguvu sina ikabidi wamvute mtoto kwa vacuum thanks God nilikua kwa hospital yenye specialist mtoto hakupata madhara. Uchungu wa kuzaa hakuna mfanowe ndipo wamama wengi hufariki kwa sbb kuna wengine presha zinapanda au kushuka ghafla kwa maumivu. Wababa kule ni nusu kifo muwe mnatuombea tutoke salama



WAPO.Hakuna mwanamke aliyejifungua mtoto wa kwanza ki asili kwa uchungu halafu mwingine akajifungulia kwa epidural halafu akataka tena kujifungua kwa uchungu...