Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Labda kwa sababu unataka kuwa emotional dependent, yaani uko mpweke sana hivyo unatafuta mtu wa kuwa naye karibu kihisia na kushare nae maisha na kukaa nae kwa muda mrefu. now that's where your problem is.

Tatizo jingine ni kwamba asilimia kubwa ya mabinti wengi siku hizi ni wauzaji indirect na wapo kwa ajili ya faida na kimaslahi zaidi na tamaa za kila aina plus ubinafsi uliopitiliza. Hivyo maana yake hawana shida ya kukaa na mtu mmoja kwa muda mrefu means wakiona wewe unataka kuweka kambi na kuwapa attention na muda wa kutosha basi wanapotea mazima kama dark matter, au wanasema "unawasumbua, una shobo, unawapotezea muda na kuwaharibia soko."

Na tatizo jingine ni kwamba unashindwa kutofautisha kati ya mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious ya life making na fuckgirls aka hookers au hanging and banging fuckbitches. Kulitambua hilo wala halihitaji akili za kusolve global warming na hunger crisis bali ukiwaona tu unajua huyu ni mwanamke smart, mwenye malengo anayejitambua na kujiheshimu (wife material) na huyu ni kiruka njia, mcharuko na malaya mmoja mwenye njaa na tamaa ya pesa means ni mfanya biashara inderict hata akijificha. mfano kuna kagirl kamoja kanajiita business lady na entrepreneur kumbe kanauza nyuchi kwa laki, you see that bullshit?

Hivyo mkuu kama unataka mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano serious na kutengeneza maisha basi angalia ana sifa na tabia gani. Ila kama unataka some beautiful girl for fucking basi ukikutana nae nenda moja kwa moja kwenye point na dhumuni la kukutana nae kwamba nia ni kubang up her ass as hard as possible alafu kila mtu afe kivyake, mnapanga sehemu ya kukutana na bei then mnamaliza biashara hakuna kupotezeana muda.

Binafsi sifanyi chochote ili kumridhisha mwanamke bali nafanya kila kitu kwa maslahi na faida yangu mwenyewe hivyo sina muda wa kulilia wanawake na kujishusha self esteem na especially kushusha my huge ego just for some little pussy lakini nikimtaka lazima nitampata tu.

Na ushauri wa mwisho ni chase your goals not holes.
 
Upendo wa Bwana Mungu ni mkuu mno, anakuhitaji umtumikie yeye. Njoo kwa Yesu akusafisha dhambi zako, uwe mtu unayekubalika na Mungu na watu.
 
Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.

Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.

Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.

Nawasilisha.
Yaani umepanga halafu unasema una maisha mazuri? Hapo ndio tatizo linapoanzia.
 
Muda wako haujafika ukifika utapata mtu sahihi
 
Sina dharau wala sifa,ni mtu very humble…Yaani hata nilivyokuwa mdogo nikiwa na nguo mpya naona jau kuivaa kisa watu wasinione na nguo mpya so Mimi sio mtu wa show off
Usikute huwa unazungumza mwenyewe ukiwa na hao watu ndomana wanakukimbia..kuna tatizo unalo
 
Nimesoma ulichoandika nikajumuisha na watu walivyocomment nimejifunza ww ni mshamba huna hilo gari wala hulipwi 1m+ sasa cha kufanya ww piga nyeto ukiona na mkono unakataa basi kanunue kamba y katani ni 2000 tafuta stuli nenda ufukweni mwa baharini kwenye msitu wa mikoko kajitundike ujinyonge mpka ufe huna faida. yaani unatongoza malaya wakati ni swala la kutumia hela yako alaf unatidanganya ww sio mshamba oya kwan unatuonaje wan jf
Dar huyu mshamba anaanza kutongoza malaya
 
Mkuu Fikiria kuoa! Wako wanawake wengi wanatafuta fursa hiyo,hasa hasa mikoani.
 
Mademu hawataki wanaume washamba, rekebisha hilo tu hata bure wanakupa, acha swaga za kishamba hawazimiki nazo.
Mkuu mpe maelekezo swagga za kishamba kama zipi aanze kula mizigo na wautumie vizuri mshahara wake...
 
Back
Top Bottom