Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

nimesoma ulichoandika nikajumuisha na watu walivyocomment nimejifunza ww ni mshamba huna hilo gari wala hulipwi 1m+ sasa cha kufanya ww piga nyeto ukiona na mkono unakataa basi kanunue kamba y katani ni 2000 tafuta stuli nenda ufukweni mwa baharini kwenye msitu wa mikoko kajitundike ujinyonge mpka ufe huna faida. yaani unatongoza malaya wakati ni swala la kutumia hela yako alaf unatidanganya ww sio mshamba oya kwan unatuonaje wan jf
 
Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.

Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.

Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.

Nawasilisha.
Una uakika hizo hela ulizo nazo unazitoa? au ziko benk zimelala?
 
Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.

Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.

Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.

Nawasilisha.
Hiyo nenda kaulize kwa Babu au Bibi mzaa ( Baba au Mama), tumia trick yoyote unayoweza, kisha utaleta jibu
Ila usiogope kusikia kusikia tatizo lolote alilolifanya ....linakuandama wewe.na mwisho kama ni swala huko nyuma walifanya maagano na mizimu, fanya mpango mapema kujinasua, hutanielewa kwa sasa ila utanielewa baadaye na kujinasua, kuna mawili, uende kanisani uombewe au utambike , , ,
 
Mademu hawataki wanaume washamba, rekebisha hilo tu hata bure wanakupa, acha swaga za kishamba hawazimiki nazo.

Zingatia ushauri huu!

Pia wanawake hawapendi mwanaume mwenye tabia za Kike. Wanaofanana nao kitabia. Kumbuka wenyewe hawapendani Kwa tabia zao.

Miongoni mwa tabia hizo
1. Kutokujiamini
2. Kuringa
3. Kususa Kama jinga
4. Kupenda kubembelezwa Kama toto la kike.
5. Kushindwa kujieleza/kutetea hoja zako.
6. Kufikiri Kwa vile umevaa vizuri au unapesa ndio maana utamvutia.
Mwanamke havutiwi na kazi au pesa zako kimapenzi, isipokuwa anavutiwa na haiba yako kama Mwanaume.
Pesa zitamvuta akiwa na njaa au shida tuu.

Hivyo kazi yako nzuri au Gari lako halina mahusiano yoyote na hao viumbe.

Ili uwe na wanawake uzoefu nao. Wanawake wanapenda Wanaume wenye uzoefu nao.
Ndio maana wanataka wanaume wakubwa kuwazidi lakini sio Hilo wanalomaanisha isipokuwa wanataka wanaume wanaoweza kuwa-control, kuwafanya wawe wanawake.

Kama huna demu ni ngumu kupata Demu.
Wanawake ni Kama pesa, bila kuwa na pesa huwezi kuipata Pesa
 
Mshukuru Mungu sana kwa kuwa anakupigania na kukutenga na uovu,Wewe ni uzao wa Isaka mtoto wa Ibrahimu.Epuka tamaa za kimwili neema hii ya kimungu izidi kukufunika,mwili wako ni hekalu la Mungu
 
Mshukuru Mungu sana kwa kuwa anakupigania na kukutenga na uovu,Wewe ni uzao wa Isaka mtoto wa Ibrahimu.Epuka tamaa za kimwili neema hii ya kimungu izidi kukufunika,mwili wako ni hekalu la Mungu
Mkuu umegeuza hii thread kuwa jukwaa la mihadhara?
 
Back
Top Bottom