Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Mkuu ukiingia kweny mahusiano usiongee sana kua mpenzi mtazamaji sana pale unapotakiwa kuongea ongea na sio sana usizidishe. . Pia jitahid uwe unapendeza na unyunyu uwe wa kutosha hapo utakula hadi wasiolika...pia punguza ubahili aiseh
Usingeweka hicho kipande cha mwisho ningesema unatania🤣🤣🤣🤣
 
Mtu akisoma vzuri ulichoandika hapa anapata jibu huna akili ndio maana hata malaya ambao hawachagui ila wanakuona Useless Hopeless... inshort hata ukipata mke atakuona the same na vijana mtaan wasio hata na maisha watakugongea
 
mtu akisoma vzuri ulichoandika hapa anapata jibu huna akili ndio maana hata malaya ambao hawachagui ila wanakuona Useless Hopeless... inshort hata ukipata mke atakuona the same na vijana mtaan wasio hata na maisha watakugongea
🚶🚶
 
Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.

Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.

Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.

Nawasilisha.
Utakuwa na jinni MAHABA WEWe Mimi Sina huo mshahara nafanya kazi nalipwa buku tano kwa siku na nna demu mkali sometimes nawakimbia coz ya financial status wako kibao SI LAZIMA uwe na hela inaonekana unajiskia Sana na uto tuela twako🤣,au SIO mzuri kwenye kuwakaza vizuri,piga MASHINE acha utoto🤣🏃
 
Back
Top Bottom