Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Cheki pm yakoNipe location nifike chap...
Cheki pm yakoNipe location nifike chap...
Wanawake wNapenda watoto wao tuu.Mwanamke sio kwamba hapendi, anapenda Ila hahesabiki kuwa anapenda Kwa sababu yeye ni mpoekaji na sio mtoaji.
Upendo upo kwenye kutoa zaidi kuliko kupokea.
Kihisia anapenda
Ila kisheria hapaswi kupenda
Mban unanaitukanaaa mkuu najuwa nilikosea kuandiakaQqqmmmkkk
Wanawake wNapenda watoto wao tuu.
Boss nipo.HV @ huyu member wetu konda msafi yupo wapi kijna wetu huyu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nafurahi kukuona kwa Kweli Ni kitambo sijakusoma kbsa mkuu kumbe upo jamvini umetulia una tumbua tozo zetuBoss nipo.

Nipo kaka. Hata situmbui tozo zetu. Nipo tu nafanya mambo yanayonipa furaha.Nafurahi kukuona kwa Kweli Ni kitambo sijakusoma kbsa mkuu kumbe upo jamvini umetulia una tumbua tozo zetu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna kitu uko tofauti jaribu kufuatilia hilo. Kama vipi angalizia kwa wajanja wajanja usome codesSina dharau wala sifa,ni mtu very humble…Yaani hata nilivyokuwa mdogo nikiwa na nguo mpya naona jau kuivaa kisa watu wasinione na nguo mpya so Mimi sio mtu wa show off
Haihusiani na hiyo, ila kuna kitu kikubwa hapo, ndio maana nasisitiza fuatilia hili, kiundani, kuna vitu vingi sana nilitaka kufafanua ila tatizo muda , nikipata muda nitafafanua na kutoa visa halisi ila itapendeza na wewe ukipata jibu sahihi la.kuulizia huko nilipokushauri. Ila na sisitiza unaweza kuouuza ila utakumbuka ushauri wangu au maelezo yangu haya. Naomba uweke kwenye record yako. Na pia nasisiti,a mtu akikushauri uende kwa mganga usikubali, ndipo huko utakapo fungamanishwa na maagano usiyoyajua yasiyokuhusu, na mtu mwingine aliyeimgia ndio yanaaenda kwwnye kizazi kingine. Nitafanua hapa kwa video ya shuhuda panapo majaaliwa.Can this be true? Kuna kipindi Nipo mdogo bibi yangu alinipiga na kanga wakati kimila kijana wa kiume akipigwa na kanga ni kwamba hata oa….can this relates to what I am going through ?
Haihusiani na hiyo, ila kuna kitu kikubwa hapo, ndio maana nasisitiza fuatilia hili, kiundani, kuna vitu vingi sana nilitaka kufafanua ila tatizo muda , nikipata muda nitafafanua na kutoa visa halisi ila itapendeza na wewe ukipata jibu sahihi la.kuulizia huko nilipokushauri. Ila na sisitiza unaweza kuouuza ila utakumbuka ushauri wangu au maelezo yangu haya. Naomba uweke kwenye record yako. Na pia nasisiti,a mtu akikushauri uende kwa mganga usikubali, ndipo huko utakapo fungamanishwa na maagano usiyoyajua yasiyokuhusu, na mtu mwingine aliyeimgia ndio yanaaenda kwwnye kizazi kingine. Nitafanua hapa kwa video ya shuhuda panapo majaaliwa.
Tafuta hela mkuu mwandiko wako tu umechoka...Halafu unajiitaje lukaku au umefanana naeNaomba ufafanue plz ukipata muda
Pole mkuu! Naona shida zaidi iko upande wako kuna namna flani ama unafake maisha au unarahisishs sana mambo kuliko uhalisia!Habari za humu wadau,
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani,
Hapana, anakuja na mafuriko ya pesaHuyo wa kuoa anashuka kutoka mtini?