Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Utakuwa king'ang'anizi na majigambo mengi.
Itakuwa ukipewa namba humpi mtu hata nafasi ya kupumuwa, msg za umekula nyingine, siku hiyo hiyo nakupenda za kumwaga na dedication za nyimbo za Celine Dion, hajakaa sawa ushamwambia mimi nina gari na pesa nyingi (huku shilingi kipande hutumi) hapo lazima upigwe block.

Mapenzi ya kihindi yanatakiwa yasindikizwe na pesa, ile baby umekula inasindikizwa na muamala. Sasa wewe unataka kumchatisha mtu na maswali ya unanipenda kweli, mimi mzuri??, Umelala na wanaume wangapi.
Tumia huo mshahara wa 1m+ kuhonga uone utakavyo gandwa.
umemaliza
 
Sina dharau wala sifa,ni mtu very humble…Yaani hata nilivyokuwa mdogo nikiwa na nguo mpya naona jau kuivaa kisa watu wasinione na nguo mpya so Mimi sio mtu wa show off
Hii comment inaonyesha kuwa una issues tatizo lako hauna confidence, uko una hizo material things ila hauna pigo za ki alpha,

Kuna wanawake wengine nao wana gari na pesa kwahiyo kumpata itabid uwe na confident umthibitishie kwamba uko vzr besides material stuffs
 
 
Nimesoma ulichoandika nikajumuisha na watu walivyocomment nimejifunza ww ni mshamba huna hilo gari wala hulipwi 1m+ sasa cha kufanya ww piga nyeto ukiona na mkono unakataa basi kanunue kamba y katani ni 2000 tafuta stuli nenda ufukweni mwa baharini kwenye msitu wa mikoko kajitundike ujinyonge mpka ufe huna faida. yaani unatongoza malaya wakati ni swala la kutumia hela yako alaf unatidanganya ww sio mshamba oya kwan unatuonaje wan jf
 
Unalalamika wakati Mungu anakuepusha na Mengi... wewe unadhani kutombaa kila demu ni sifa ?
 
Back
Top Bottom