Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Wanawake walivyo wengi hivi tena una kipato bado unahangaika pole sana.

Uahauri PUNGUZA UBAHILI wanawake wengi cku hizi hawapendi ubahili na maneno mengi.

Ukikupa No. Muombe cku moja umtoe OUT hata kabla ya kumtongoza hata akija na friend yake poa.

wapeleke eneo kiwango wape pombe kama wanakunywa na msosi safi.

Baada ya hapo wape hata rafiki yake mpe 20 ya usafr unayemtarget mpe 30.

Baada ya hapo kesho yake waaulize tu mlifika salama.

Kaa siku 3 bila kuonesha shobo yoyote tena ukiweza kaa kimya.

Cku 4 mpigie mpe salam mwambie umemmis, Weekend inayofuatia mwenyewe atakupa kitumbua bila hata kutumia nguvu.


LAKINI KAMA UNAJIELEZA SANA SANA KWA SMS WANAKUONA MSHAMBA TU.
Sasa mzee hapa unafeli kuna mwanangu mmoja aisee yule jamaa akitoa hela nyingi kwa manzi ni 10,000 akizidisha ni 20,000 yeye ni mzee wa love story, confidence za kufa mtu yani manzi yoyote.yule anamfata na kuchukua namba baada ya siku kadhaa anakuambia ameshakula mzigo aliwahi pandisha new force mtoto mkaree hatari toka Dsm hadi Mbeya...nkt wengine wanawapandisha pipa aisee hii dunia kuna watu wanakula mademu wazuri..bila gharama...
 
Mkuu mpe maelekezo swagga za kishamba kama zipi aanze kula mizigo na wautumie vizuri mshahara wake...
Sasa uko na demu unaanza kumletea mambo ya Archimedes principal demu gani yupo interested na pumba kama hizo?
 
Utakuwa na jinni MAHABA WEWe Mimi Sina huo mshahara nafanya kazi nalipwa buku tano kwa siku na nna demu mkali sometimes nawakimbia coz ya financial status wako kibao SI LAZIMA uwe na hela inaonekana unajiskia Sana na uto tuela twako🤣,au SIO mzuri kwenye kuwakaza vizuri,piga MASHINE acha utoto🤣🏃
Mkuu unamuoenea bure tu..yeye hata stg ya kukaza hafiki...sasa watajuaje kwamba hakazi vzur?mi nahc kuna mikosi fln iv mtu unakuwa nayo tu
 
Sasa uko na demu unaanza kumletea mambo ya Archimedes principal demu gani yupo interested na pumba kama hizo?
Hahahaha labda hua anasemaga unajua nina gari na mshahara wangu ni 1m plus you know...
 
Mkuu unamuoenea bure tu..yeye hata stg ya kukaza hafiki...sasa watajuaje kwamba hakazi vzur?mi nahc kuna mikosi fln iv mtu unakuwa nayo tu
Acha ujinga, yani mademu wote hawa waliojaa ushindwe mwenyewe unasingizia mikosi?

Subiri ukuwe ndio utajuwa mikosi inafanaje, kazi huna, Luku imeisha, gesi imeisha na mwenye nyumba anasubili pango, huko Tigo nivushe, m power kote hutakiwi unanuka madeni hapo ndio utajuwa mikosi inafananaje.
 
Labda kwa sababu unataka kuwa emotional dependent, yaani uko mpweke sana hivyo unatafuta mtu wa kuwa naye karibu kihisia na kushare nae maisha na kukaa nae kwa muda mrefu. now that's where your problem is.

Habari za humu wadau,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+,
Sikiliza hii kisha tafakari .
 

Attachments

  • VID-20220906-WA0000.mp4
    6.2 MB
Pata mda wa self reflection na meditation. Sometimes we are the problem ila hutaki kuangalia
 
USHAMBA MWINGI. MAANA HATA ULIVYOANDIKA TU UNAONEKANA UNA USHAMBA. NA UNAVYOPENDA KUNING'INIZA FUNGUO ZA GARI KWENYE LOOKS ZA SURUALI WANAKUONA TU UNA USHAMBA MWINGI SANA
 
USHAMBA MWINGI. MAANA HATA ULIVYOANDIKA TU UNAONEKANA UNA USHAMBA. NA UNAVYOPENDA KUNING'INIZA FUNGUO ZA GARI KWENYE LOOKS ZA SURUALI WANAKUONA TU UNA USHAMBA MWINGI SANA

Mbona unaongea kwa hasira sana mkuu? Nini shida?
 
Hauko vizuri kwa lolote, tatizo ni ushamba hapo wala sio kingine. Ushamba unaweza bebwa kwenye misifa, dharau au namna nyingine ila ni ushamba ndani yake.
Ule ushamba wa kutojua ungefanya uonewe huruma uchunwe, sasa sio huo
Nawe acha ushamba basi. Ukiwa na hela umemaliza yote. Jamaa afundishwe namna ya kutumia hela yake
 
Back
Top Bottom