Wanawake hawanipendi

Wanawake hawanipendi

Hauko vizuri kwa lolote, tatizo ni ushamba hapo wala sio kingine. Ushamba unaweza bebwa kwenye misifa, dharau au namna nyingine ila ni ushamba ndani yake.
Ule ushamba wa kutojua ungefanya uonewe huruma uchunwe, sasa sio huo

Sina dharau wala sifa,ni mtu very humble…Yaani hata nilivyokuwa mdogo nikiwa na nguo mpya naona jau kuivaa kisa watu wasinione na nguo mpya so Mimi sio mtu wa show off
 
Inategemea unachati nao nini, huenda wakaona kama bado hujakua. Kwa hapo kwenye malaya hao ndio hawapendagi mazoea kabisa wanachojali ni utoe pesa upewe huduma baasi.

 
Sio wote ni block,wengine wanadisappear tu
Jaribu kuwaacha waendeleze wao story. Kwamba utakapochukua namba, wasiliana nae mara moja mbili lakini ushaweka wazi nia yako kwao halafu potezea.
Mwenye kuvutiwa na wewe ataendeleza maongezi, ukiona kimya ujue hakuwa na nia na wewe.

Saa nyingine Mungu hutuepusha na mabaya kwa kutokutupa tunachohitaji. Atakuja tokea mmoja atakaekuelewa na maisha yataendelea.

Ushauri, epuka wafanyabiashara wa wazi wa miili, ni rahisi kukuaminisha wanakupenda ili kukutumia mwisho wa siku waje kukuumiza kwa kupigwa miti mbele yako ikiwa tayari ushapenda.
 
Back
Top Bottom