Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,275
Hakuna anayezaliwa anajua. Hata wewe huenda ulikuwa mshamba before, au hata now huenda ukawa bado mshamba.Washamba kama huyu Mnyiramba wakioneshwa Jiji nao ujifanya wajuwaji.
Hakuna anayezaliwa anajua. Hata wewe huenda ulikuwa mshamba before, au hata now huenda ukawa bado mshamba.Washamba kama huyu Mnyiramba wakioneshwa Jiji nao ujifanya wajuwaji.
Huenda ni gundu, wengin tumelelewa alpha males, so we're alpha males,
Wadada tunapenda hela asa mbona mwenzako bila bila?
Nawewe una tatizo kama la mleta mada?Hayo yote ya nini? Wastage of time
Kabxaa mkuu...sema ndo ivo nahc kuna kukataliwa tuKweli au unachangamsha genge?
Kukataliwa mbona kawaida tu. Sio kila mdada lazima umpateHabari za humu wadau,
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako Poa. Ila changamoto inakuja mimi kupata mpenzi sijui ninamkosi gani, najaribu kuwatongoza napata na number mara baada ya muda wengine wanakublock with no reason, wengine simu zao hazipatikani hadi leo yaani ili mradi tu nipate shida.
Sasa kuna siku nimeenda mitaa ya sinza kununua wale wadudu (japo sipendi hii tabia) nikapata huduma basi nikachukua namba ya huyo mdada, nikaanza kuchati nae pia anaanza kuniringia. Hadi nimechoka maana hadi malaya ananiringia, wakati ukiniona nina mwonekano mzuri, maisha mazuri halafu naringiwa.
Je, ni mkosi au vipi maana mara ooh wanaume tupo wachache, mara ooh kuwa na pesa utakula mademu mpaka basi ila kwangu sio hivyo.
Nawasilisha.
Unakataliwa vipi na mwanamke ambaye anauza mwili wake Kwa malipo? Tena na namba za simu wameziweka wazi tu Kwa wateja?Kukataliwa mbona kawaida tu. Sio kila mdada lazima umpate
Mshamba ni yule aliyepata kazi kupitia shemeji yake. Mara baada ya kuanza kazi tu na ki mshahara cha 1 m.. Kenda kukopa gari isiyomuingizia chochote zaidi ya kumnyonya mafuta, mara kaenda kupanga upande mzima kwa tsh laki tatu kwa mwezi halafu anaseSifa za mtu mshamba ni zipi niweze kufanya analysis
Mimi sina uhaba na mbususu. Nikimtaka demu namchana live tunamalizana. Am not like mtoa postNawewe una tatizo kama la mleta mada?
Kuna namna nyingi za kwenda Kariakoo.Mimi sina uhaba na mbususu. Nikimtaka demu namchana live tunamalizana. Am not like mtoa post